Unakopa Tril 18Asante sana Dkt Hangaya , sasa tueleweshe kwenye kipengere kidogo tu hiki chenye utata , naomba niongee kwa sauti ya chini sana , ni hivi , KAMA TUNALIPA MBONA DENI LAZIDI KUPAA ?
Ni hayo tu
Asante sana Dkt Hangaya , sasa tueleweshe kwenye kipengere kidogo tu hiki chenye utata , naomba niongee kwa sauti ya chini sana , ni hivi , KAMA TUNALIPA MBONA DENI LAZIDI KUPAA ?
Ni hayo tu
AminaNawashukuru, namuomba Mungu aibariki nchi yetu.
Ujinga kama huu...Ujinga kama hizi...
Hiyo ni hoja nyingine inayohitaji mjadala wake , tukiingia huko tutaingilia uzi wa watu , tubaki kwenye deni na marejesho yake ambayo Mkubwa anajinadi nayo , lakini cha ajabu deni linazidi kupaa….vipi impact ya huo msaada kwenye acceleration ya maendeleo?
Ujinga zikiwa nyingi unaandikaje ( plural ya ujinga)Ujinga kama huu...
Sio kila neno ni lazima liwe na uwingi. Sio ujinga zikiwa nyingi, bali ujinga ukiwa mwingi.Ujinga zikiwa nyingi unaandikaje ( plural ya ujinga)
Congo DRC wala sio deal saizi! Kule saizi wanajenga viwanda kama tulishindwa kutumia fursa zamani kule baada ya mda tutabaki kusafirisha watu na biashara ndogo ndogo!Nimefarijika kuona hiyo reli inaenda Kigoma, kwa lengo kuu la kusafirisha malighafi kutoka DRC.
Serikali ianze mikakati mapema ya kunufaika na malighafi kutoka Congo. Ikewezekana wajenhe mapema masoko ya madini ya kutosha tu huko Kigoma. Lakini pia wajenge mitambo ya kuchenjua hayo madini, ili yakitoka hapo; ni sokoni moja kwa moja.
NB: Relo iishie mpakani tafadhali. Utakuwa ni ujinga wa hali ya juu iwapo serikali itakubali kushirikiana na hizo nchi kwenye ujenzi wa reli ndani ya nchi zao. Maana sisi tunajenga kwa jasho letu.
Kamwe tusikubali madudu kama yale ya TAZARA! Yaani yale majamaa ni mavivu, na muda wote yanawaza starehe tu! Na mtazamo wangu, nahisi yanachangia karibia 60% kwenye kuizorotesha hiyo reli.
Na chakushangaza, sijui Wachina waliingia mkataba wa aina gani na hizi nchi mbili! Maana sioni sababu ya nchi zote mbili kuendelea kushirikiana kuiendesha hiyo reli ya TAZARA. I wish kila nchi ingejitegemea kuendesha reli yake.
Yani unajipendekeza mpaka unatia aibu.Safi Sana mh.Rais wachane hao mbulula
Lazima wataagiza mizigo kupotia bandarini lakiniCongo DRC wala sio deal saizi! Kule saizi wanajenga viwanda kama tulishindwa kutumia fursa zamani kule baada ya mda tutabaki kusafirisha watu na biashara ndogo ndogo!
Ila Kusema kweli kigoma fursa hiyo ipo ila uwepo wa viwanda vingi DRC kutaifanya reli yetu kukosa mizigo kama cement,nondo nk! Lakini pia upande wa Burundi na Rwanda connection na Karemi,Uvira na kabimba ni kubwa! So kwa maoni yangu reli hii ya kwenda kigoma haitakuw atofauti na ya kwenda mwanza!Lazima wataagiza mizigo kupotia bandarini lakini
Najipendekezaje sasaYani unajipendekeza mpaka unatia aibu.
Mimi naamini bandari iliyotakiwa kujengwa ni ya TAzaraIla Kusema kweli kigoma fursa hiyo ipo ila uwepo wa viwanda vingi DRC kutaifanya reli yetu kukosa mizigo kama cement,nondo nk! Lakini pia upande wa Burundi na Rwanda connection na Karemi,Uvira na kabimba ni kubwa! So kwa maoni yangu reli hii ya kwenda kigoma haitakuw atofauti na ya kwenda mwanza!
Mollel anasema rais anakesha mnooKama mabehewa ya treni ya umeme tunategemea kuyapata juni 2023 kwa maana iyo sgr itaanza utendaji wake kuanzia mwakani katikati au mwishoni 2023 na si vinginevyo
Hapo sawa! Bila kigoma mi nimekaa hapa badari ya kigoma mwaka sasa mizigo unaoongoza pesa ni Construction material na mafuta!Mimi naamini bandari iliyotakiwa kujengwa ni ya TAzara
TAzara ndio inapita mpaka wa tunduma ambako ndio Kuna mizigo mingi ya DRC na Zambia Hadi Zimbabwe, na Tena ni route fup zaidi kuliko hii ya Kati, sijui kwa Nini hatukujenga Tazara
Hii ya sasa tu haitumiki, watu wanaikwepa. Ukiwa na hotel nyota 3 alafu bado hupati wateja, solution sio kujenga ya nyota 5 hapo.bali unapaswa kujua kwa nn hiyo ya nyota 3 watu hawalali.Mimi naamini bandari iliyotakiwa kujengwa ni ya TAzara
TAzara ndio inapita mpaka wa tunduma ambako ndio Kuna mizigo mingi ya DRC na Zambia Hadi Zimbabwe, na Tena ni route fup zaidi kuliko hii ya Kati, sijui kwa Nini hatukujenga Tazara
Mimi nasema kwa Dhati Huyu hata asipokupa sumni neno lake linaondoa utandoutando, mapunye, harara, na kero zote za nafsi na kukuacha na Raha ya Moyo. Kifupi ana tuganga kwa Hotuba zake fupi zenye maneno ya Heri. Sio maneno ya kuua watu na kuwa acha wengine na vihoro.. Inahusuu... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3]Mama 2025/2030 inamuhusu
Hii kasi ni kubwa sana kwa timu Msoga kumwingilia na kumwambia oooh hali ikiwa mbaya sana sijui nini hapana
Aachwe atekeleze wajibu wake