Ujinga kama hizi bado ziko Afrika kwa mtu mweusi tu. Kwanini tunataka mambo makubwa ya kizungu halafu tunayaendea kiswahili, weka reli ya kisasa weka treni mpya za kisasa za spidi kubwa ili watu walipe bei zako kubwa kwa kuwa watawahi wanakokwenda!
Weka reli mpya weka na mabehewa mpya hatutaki uchafu wa mabehewa wachina washayajambia weee!!mabehewa mapya yatadumu muda mrefu na kukuepusha na hasara za kufanya maintenance kila siku ujinga mtupu.
Treni mwendo wa konokono km 160 kwa saa eti ulivyo bwege unaweka bei za safari za ndege yani bei za SGR ni kubwa maradufu kuliko bei za bus elfu 10 tu Dar Moro halafu mwendo wake wa jongoo!!
Nani atalipa nauli sijui Dar - Moro 30,000 tsh kwa treni inakimbia km 160 kwa saa hata Bajaj inawahi mjini Moro, Waziri wa uchukuzi achana na akili za kimaskini vunja kibubu weka kichwa kipya cha treni ya SGR spidi km 250 - 500 kwa saa.
Mi nikiri nimezaliwa mjini baba yangu afisa wa sirikali nimekunywa chai ya maziwa tu nikiwa mdogo sasa nachukia sana maamuzi ya kishamba na kijinga ya nchi hii inayokamua maskini matozo kibao na hii maamuzi mengi ya kijinga ni sababu mabosi wengi bongo wamezaliwa kijijini wana akili za kimaskini mamlaka makubwa , huko bush wamelala njaa , viatu vya kushea ukoo mzima, nguo nzuri pea moja ya kuendea kanisani, maji ya matope ya kuchota kisimani kijiji cha jirani, mwanga wa kibatari umeme hamna, kupikia kuni kwenda kuziokota porini na kukimbizana na mafisi na ngiri, hawa policy makers wa bongo wengi ni wabush vijiji haviwatoki kichwani hata wakiwa makamishna wa TRA au BoT.
Tuleteeni SGR kama ulaya sio ubabaishaji mnatumia kodi zetu Mungu anawaona mjue! Mama SSH unafanya kazi iliyotukuka nakukubali sana nakuombea kila siku ila naomba nikukumbushe hili ' kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga' tuwekee SGR ya kiwango cha juu!
Hivi mbona hawa watu wajinga wafanya maamuzi hawaishi serikalini? Hawafi tu tupate maendeleo? Miaka 60 ya uhuru bado mabosi wajinga wapo tu!!