Rais Samia: Wanaosema tunakopa sana, waseme pia tunalipa sana

Rais Samia: Wanaosema tunakopa sana, waseme pia tunalipa sana

Bado najiuliza sipati majibu, ...kama tumeamua kujenga reli ya kisasa, SGR_TZ .... Pembeni ya reli ya zamani MGR_TZ:

1.Reli inakamikima, Kwa nini tuliamua kununua mabehewa ya mitumba badala ya mapya? Kulikuwa na haraka gani ya kuagiza mitumba badala ya kutoa order yanunuliwe mapya?

2. Kama zimeagizwa Rolling Stock 5 mpya za kutumika kwenye reli mpya, kwa nini chaguo letu lilijikita kwenye treni zenye speed ya hadi kilometra 160 kwa saa? Kwa nini hatukuchagua kilometa 250-300 au hata zaidi, kwa maana ya kisasa zaidi, ukizingatia ukubwa wa nchi yetu yenye zaidi ya kilometa 900 elfu za mraba?

3. Wametumwa vijana wa kitanzania kwenda Korea ya kusini kujifunza namna ya kuendesha na kuhudumia wasafiri wa reli na treni yetu ya kisasa, Je,ni teknolojia ipi wanaenda kujifunza? ni hii ya MGR au SGR ?

Baada ya miaka kumi tutawatuma kujifunza tena baada ya hii teknolojia ya sasa tuliyochagua kuwekeza kupitwa na wakati?.

Maswali niliyonayo ni mengi mno kwenye uwekezaji huu....natamani kusoma maoni ya wengine kwenye uzi huu kwanza! [emoji848]
Waliwahi 20% ndo maana wakaharakisha
 
Mabehewa mapya ni kwamba unatoa order na linaanza kutengenezwa toka chasis. Haya makampuni ni kama ndege. Hawatengenezi kitu hadi kwa order, sio kwamba utaenda ukute mabehewa yamepangwa sokoni kama nyanya

Sasa order ya mabehewa mapya inaweza kuchukua miaka mitatu, wakati ya mitumba yanachukua labda kuanzia miezi sita, ndio maana wakaamua tuanze na ya mitumba wakati tunasubiri mapya, na ukizingatia mabehewa yaliyopo ni chakavu sana, yana kunguni na viroboto na breki zake nadhani ulishaona picha mitandaoni. Ukumbuk pia order ya mabehewa ni kwa ajili ya SGR na reli ya zamani.

Na pia kama ambavyo gari used la Mjapan ni sawa na jipya kwa Mtanzania, behewa used la Mjerumani ni sawa na jipya kwa Mtanzania. Wazungu hawana upuuzi wa kukojoa ndani ya behewa au kuchana viti makusudi

Swali ulilopaswa kuuliza ni kwamba - kwa nini hawakufanya timing ya order ya mabehewa na ujenzi wa SGR, ili ujenzi unapokamilika na mabehewa yanakuwa tayari - na jibu ni hapo ni watu wenye akili ndogo kupewa mamlaka makubwa.
Umeandika ujinga kwani reli imeanza kujengwa leo
 
Mimi naamini bandari iliyotakiwa kujengwa ni ya TAzara
TAzara ndio inapita mpaka wa tunduma ambako ndio Kuna mizigo mingi ya DRC na Zambia Hadi Zimbabwe, na Tena ni route fup zaidi kuliko hii ya Kati, sijui kwa Nini hatukujenga Tazara
TAZARA ni Ubia na ZAMBIA hivyo tutagawana faida, nahisi ndio tatizo lilipo. Mm natamani tuwe na Njia nne kutoka DAR TO TUNDUMA
 
Ingekuwa kuna nafasi ya kuwauliza maswali haya papo kwa papo,hawa viongozi wetu wengi wangeshakufa kwa pressure ya kuulizwa maswali yenye akili wakati huo hawana uwezo wa kujibu kwa ufasaha

Haukuona Yusufu alivyoulizwa swali alivyowaka?
 
Hii ya sasa tu haitumiki, watu wanaikwepa. Ukiwa na hotel nyota 3 alafu bado hupati wateja, solution sio kujenga ya nyota 5 hapo.bali unapaswa kujua kwa nn hiyo ya nyota 3 watu hawalali.

Reli ya tazara kuna shida kubwa ambayo ipo miaka na miaka, inapaswa kutatuliwa hiyo kabla ya kuijenga tena
Hapa napata darasa kwenye hii sentensi yako ya nyota tano kwamba, badala ya kujenga reli mpya tungeboresha iliyopo kwa kiwango kikubwa. Aidha kama ilikuwa lazima kujenga Standard gauge kufuata sera za kikanda na Afrika kunganishwa kwa reli za STG, Basi tungefanya kweli kwa kujenga reli ya STG ya kisasa zaidi kuliko ile ya Morocco kwa Afrika, mabehewa ya kisasa na mwendo tungelenga mkubwa zaidi, kitu kama kilometa 250-300 kwa saa, nchi yetu ni kubwa na inadai bado.
 
Bora hiyo mi nikimuona naona kama ni dalali flani hivi..
Amekaa kidalali dalali sana..
 
TAZARA ni Ubia na ZAMBIA hivyo tutagawana faida, nahisi ndio tatizo lilipo. Mm natamani tuwe na Njia nne kutoka DAR TO TUNDUMA
Ndivyo inavyokuwa hata kwa magari ya Tanzania yanalipa Zambia
Kama tungeshindwana yangeenda mpaka Tunduma kuwe na bandari kavu
 
Tunatokaje kwenye huu mtego wa washamba kutuamulia namna ya kuishi ?🤔
Japo inaudhi lakini ni ukweli, tunaangushwa sana na watu wenye attitudes za kimasikini kila sekta...Kisha utakuta mtu anatamba kabisa mimi nilikuwa nashindia nyanya etc then njoo sasa kwenye maisha yake, anataka tumia kodi ya umma kuishi kifalme...Spending za ajabu ajabu, unakuta mtu mzima anafanya ulimbukeni kwa kodi ya umma...No creativity, no nothing!
 
Bado najiuliza sipati majibu, ...kama tumeamua kujenga reli ya kisasa, SGR_TZ .... Pembeni ya reli ya zamani MGR_TZ:

1.Reli inakamikima, Kwa nini tuliamua kununua mabehewa ya mitumba badala ya mapya? Kulikuwa na haraka gani ya kuagiza mitumba badala ya kutoa order yanunuliwe mapya?

2. Kama zimeagizwa Rolling Stock 5 mpya za kutumika kwenye reli mpya, kwa nini chaguo letu lilijikita kwenye treni zenye speed ya hadi kilometra 160 kwa saa? Kwa nini hatukuchagua kilometa 250-300 au hata zaidi, kwa maana ya kisasa zaidi, ukizingatia ukubwa wa nchi yetu yenye zaidi ya kilometa 900 elfu za mraba?

3. Wametumwa vijana wa kitanzania kwenda Korea ya kusini kujifunza namna ya kuendesha na kuhudumia wasafiri wa reli na treni yetu ya kisasa, Je,ni teknolojia ipi wanaenda kujifunza? ni hii ya MGR au SGR ?

Baada ya miaka kumi tutawatuma kujifunza tena baada ya hii teknolojia ya sasa tuliyochagua kuwekeza kupitwa na wakati?.

Maswali niliyonayo ni mengi mno kwenye uwekezaji huu....natamani kusoma maoni ya wengine kwenye uzi huu kwanza! 🤔
Unalipa when, where 😂😂😂
 
Si ndio ‘debt trap’ yenyewe hiyo; nI mwendo wa kukopa na kulipa tu. Sio muda mrefu hela unayokopwa unaanza kupangiwa uitumie vipi.

Hivi toka ameinga madarakani ameshaanzisha ata mradi mmoja wa barabara yenye kilometer 50-200. Interconnection ya mikoa kwa barabara ndio watu wasahau tena hiyo mission imekufa na mwenyewe.
Tatizo wanakopa na kuwekeza kwenye mambo yasiyo na direct returns. Hivi unaenda kujenga shule kwa pesa ya mkopo kisha utegemee utatoka kwenye debt trap?

Na hujengi kwa nia ya maendeleo, ni kisiasa ili upate political legitimacy, aise, washauri sijui wanakwama wapi? Kama ni kura kwani si kuna miradi ambayo ingeleta returns within a year na uka maximize votes huku ukiongeza pato la kaya ambalo lingejenga hizo shule ndani ya mwaka tena kila kijiji? Experts wetu wa mipango na uchumi, hilo somo la uchumi linawapiga chenga mbaya sana! Wapo kinadharia sana kuliko halisia na moja ya mambo ni hayo ya ulimbukeni, yakutanguliza mkukuta kwanza kabla ya social needs
 
Tatizo wanakopa na kuwekeza kwenye mambo yasiyo na direct returns. Hivi unaenda kujenga shule kwa pesa ya mkopo kisha utegemee utatoka kwenye debt trap?

Na hujengi kwa nia ya maendeleo, ni kisiasa ili upate political legitimacy, aise, washauri sijui wanakwama wapi? Kama ni kura kwani si kuna miradi ambayo ingeleta returns within a year na uka maximize votes huku ukiongeza pato la kaya ambalo lingejenga hizo shule ndani ya mwaka tena kila kijiji? Experts wetu wa mipango na uchumi, hilo somo la uchumi linawapiga chenga mbaya sana! Wapo kinadharia sana kuliko halisia na moja ya mambo ni hayo ya ulimbukeni, yakutanguliza mkukuta kwanza kabla ya social needs
Ukimsikiliza raisi na waziri wake ni watu wanaofanya mambo kwa kudra za mwenyezi mungu, lakini sio watu wenye agenda ya maendeleo.

Main goal yao ni piga ua wakamilishe miradi mitatu tu ya kimkakati inayojulikana zaidi (reli, daraja la busisi na bwawa la umeme), wasichekwe kwa mtazamo wao. As if alietangulia alikuwa amefocus kwenye hayo mambo matatu tu katika infrastructure project zenye long term economic impact.

Kwa wao mambo mengine ni ya TAMISEMI not national agenda na ndipo asilimia kubwa ya mikopo inapoishia. Na kuna ufujaji wa hali juu huko TAMISEMI, imefikia hatua ziara za PM zinakuwa kama anazunguka kucheza ‘whack-a-mole’ na mafisadi (akimaliza kupiga kelele mkoa/wilaya moja kesho anaenda rudia kwengine; nothing changes).

Huko kwenye mikopo tulipokuwa tunaelekea tumeshafika ni swala la muda tu kuambizana ukweli tunakopa ili kulipa mikopo, serikali aina makusanyo ya kulipa yenyewe.
 
Ujinga kama hizi bado ziko Afrika kwa mtu mweusi tu. Kwanini tunataka mambo makubwa ya kizungu halafu tunayaendea kiswahili, weka reli ya kisasa weka treni mpya za kisasa za spidi kubwa ili watu walipe bei zako kubwa kwa kuwa watawahi wanakokwenda!

Weka reli mpya weka na mabehewa mpya hatutaki uchafu wa mabehewa wachina washayajambia weee!!mabehewa mapya yatadumu muda mrefu na kukuepusha na hasara za kufanya maintenance kila siku ujinga mtupu.

Treni mwendo wa konokono km 160 kwa saa eti ulivyo bwege unaweka bei za safari za ndege yani bei za SGR ni kubwa maradufu kuliko bei za bus elfu 10 tu Dar Moro halafu mwendo wake wa jongoo!!

Nani atalipa nauli sijui Dar - Moro 30,000 tsh kwa treni inakimbia km 160 kwa saa hata Bajaj inawahi mjini Moro, Waziri wa uchukuzi achana na akili za kimaskini vunja kibubu weka kichwa kipya cha treni ya SGR spidi km 250 - 500 kwa saa.

Mi nikiri nimezaliwa mjini baba yangu afisa wa sirikali nimekunywa chai ya maziwa tu nikiwa mdogo sasa nachukia sana maamuzi ya kishamba na kijinga ya nchi hii inayokamua maskini matozo kibao na hii maamuzi mengi ya kijinga ni sababu mabosi wengi bongo wamezaliwa kijijini wana akili za kimaskini mamlaka makubwa , huko bush wamelala njaa , viatu vya kushea ukoo mzima, nguo nzuri pea moja ya kuendea kanisani, maji ya matope ya kuchota kisimani kijiji cha jirani, mwanga wa kibatari umeme hamna, kupikia kuni kwenda kuziokota porini na kukimbizana na mafisi na ngiri, hawa policy makers wa bongo wengi ni wabush vijiji haviwatoki kichwani hata wakiwa makamishna wa TRA au BoT.

Tuleteeni SGR kama ulaya sio ubabaishaji mnatumia kodi zetu Mungu anawaona mjue! Mama SSH unafanya kazi iliyotukuka nakukubali sana nakuombea kila siku ila naomba nikukumbushe hili ' kila mtu ni mchunga na ataulizwa kwa alichokichunga' tuwekee SGR ya kiwango cha juu!

Hivi mbona hawa watu wajinga wafanya maamuzi hawaishi serikalini? Hawafi tu tupate maendeleo? Miaka 60 ya uhuru bado mabosi wajinga wapo tu!!
Hakuna kitu mbaya kama kuwa "kichwa Nazi" mbaya zaidi koroma.
 
TUMEKUELEWA RAIS WETU SONGA MBELE, VICHWA NAZI WATAKUJA KUKUELEWA BAADAE.
 
Back
Top Bottom