Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Shida gani hiyo? Na reli ya Kati mbona haitumiki pia Ila inajengwa?Hii ya sasa tu haitumiki, watu wanaikwepa. Ukiwa na hotel nyota 3 alafu bado hupati wateja, solution sio kujenga ya nyota 5 hapo.bali unapaswa kujua kwa nn hiyo ya nyota 3 watu hawalali.
Reli ya tazara kuna shida kubwa ambayo ipo miaka na miaka, inapaswa kutatuliwa hiyo kabla ya kuijenga tena
Nimefarijika kuona hiyo reli inaenda Kigoma, kwa lengo kuu la kusafirisha malighafi kutoka DRC.
Serikali ianze mikakati mapema ya kunufaika na malighafi kutoka Congo. Ikewezekana wajenhe mapema masoko ya madini ya kutosha tu huko Kigoma. Lakini pia wajenge mitambo ya kuchenjua hayo madini, ili yakitoka hapo; ni sokoni moja kwa moja.
NB: Relo iishie mpakani tafadhali. Utakuwa ni ujinga wa hali ya juu iwapo serikali itakubali kushirikiana na hizo nchi kwenye ujenzi wa reli ndani ya nchi zao. Maana sisi tunajenga kwa jasho letu.
Kamwe tusikubali madudu kama yale ya TAZARA! Yaani yale majamaa ni mavivu, na muda wote yanawaza starehe tu! Na mtazamo wangu, nahisi yanachangia karibia 60% kwenye kuizorotesha hiyo reli.
Na chakushangaza, sijui Wachina waliingia mkataba wa aina gani na hizi nchi mbili! Maana sioni sababu ya nchi zote mbili kuendelea kushirikiana kuiendesha hiyo reli ya TAZARA. I wish kila nchi ingejitegemea kuendesha reli yake.
Kikwete hakwepeki katika utendaji wa SSH anategemewa tatizo anao ushawishi wenye kundi kubwa la watu nyuma yake na baadhi yao ni wachafu sana.
So what?
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akishuhudia Sherehe ya Utiaji Saini Mkataba wa SGR LOT 6 (Tabora - Kigoma) katika Ukumbi wa Kikwete Hall - Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 20 Desemba, 2022.
Kauli na vitendo vyake ni vitu tofauti. Ukubwa wa kazi anayoifanya bila ya kutumia nguvu kubwa kuyatangaza matokeo ya kazi ni umahiri alionao ambao marais wengi wanaume huwa hawana...tatizo Dr.Ssh hana uwezo.
..angekuwa strong na muelewa wa kazi yake wasingejitokeza watu wa kutaka kumsaidia.
..Dr.Ssh anazungumzia nchi kukopa halafu anasema, "...kuna wakati tutaomba msamaha wa deni...," unadhani anatosha ktk nafasi yake?
Kauli na vitendo vyake ni vitu tofauti. Ukubwa wa kazi anayoifanya bila ya kutumia nguvu kubwa kuyatangaza matokeo ya kazi ni umahiri alionao ambao marais wengi wanaume huwa hawana.
Tukio la kusaini mkataba wa SGR leo ikulu angekuwa rais wa kiume angehakikisha ardhi yote ya Tanzania mpaka ingetetemeka, lakini kwake ni tukio la kawaida tu lisilo na mbwembwe za ziada.
Namuona anatosha sana kwa mtindo wa kufanya kazi wa serikali alioamua kuja nao awamu ya sita.
It's 'Hide and seek' not 'Hide and see'‘hide and see’
Linapokuja swala la kutia shombo basi wewe bi kinara humu, daah😂😂😂.Makalla huwa hana hadhi ya kuwa mwanasiasa. Ana sura na muonekano wa mbeba mizigo wa bandarini. Huwa anaongea ujinga .
Watasema wewe ni msukuma.Kama mnalipa sana mbona linazidi kuongezeka!!?
Mabehewa mapya ni kwamba unatoa order na linaanza kutengenezwa toka chasis. Haya makampuni ni kama ndege. Hawatengenezi kitu hadi kwa order, sio kwamba utaenda ukute mabehewa yamepangwa sokoni kama nyanyaBado najiuliza sipati majibu, ...kama tumeamua kujenga reli ya kisasa, SGR_TZ .... Pembeni ya reli ya zamani MGR_TZ:
1.Reli inakamikima, Kwa nini tuliamua kununua mabehewa ya mitumba badala ya mapya? Kulikuwa na haraka gani ya kuagiza mitumba badala ya kutoa order yanunuliwe mapya?
Makalla huwa hana hadhi ya kuwa mwanasiasa. Ana sura na muonekano wa mbeba mizigo wa bandarini. Huwa anaongea ujinga .
Sijui hawa wahuni walipata wapi connection
We unategemea mshauri mwenyewe Madelu, atakushauri nini, uchumi kausomea kwenye makaratasi..Raisi anazungumzia deni la taifa kimasihara sana.
..inaelekea hajui hatari ya deni hilo kwa uchumi wa taifa.
..pia haijui historia ya nchi hii na matatizo yaliyowahi kutukuta kutokana na kufumuka kwa deni hilo.
..kauli zake kuhusu masuala ya uchumi, fedha, na deni la taifa, zinathibitisha kwamba hakujiandaa, wala hakuandaliwa, kuwa Raisi.
Madeni makubwa hayajawahi kuwa kitu kizuri kabisa kwa mataifa maskini.
Ingekuwa kuna nafasi ya kuwauliza maswali haya papo kwa papo,hawa viongozi wetu wengi wangeshakufa kwa pressure ya kuulizwa maswali yenye akili wakati huo hawana uwezo wa kujibu kwa ufasahaBado najiuliza sipati majibu, ...kama tumeamua kujenga reli ya kisasa, SGR_TZ .... Pembeni ya reli ya zamani MGR_TZ:
1.Reli inakamikima, Kwa nini tuliamua kununua mabehewa ya mitumba badala ya mapya? Kulikuwa na haraka gani ya kuagiza mitumba badala ya kutoa order yanunuliwe mapya?
2. Kama zimeagizwa Rolling Stock 5 mpya za kutumika kwenye reli mpya, kwa nini chaguo letu lilijikita kwenye treni zenye speed ya hadi kilometra 160 kwa saa? Kwa nini hatukuchagua kilometa 250-300 au hata zaidi, kwa maana ya kisasa zaidi, ukizingatia ukubwa wa nchi yetu yenye zaidi ya kilometa 900 elfu za mraba?
3. Wametumwa vijana wa kitanzania kwenda Korea ya kusini kujifunza namna ya kuendesha na kuhudumia wasafiri wa reli na treni yetu ya kisasa, Je,ni teknolojia ipi wanaenda kujifunza? ni hii ya MGR au SGR ?
Baada ya miaka kumi tutawatuma kujifunza tena baada ya hii teknolojia ya sasa tuliyochagua kuwekeza kupitwa na wakati?.
Maswali niliyonayo ni mengi mno kwenye uwekezaji huu....natamani kusoma maoni ya wengine kwenye uzi huu kwanza! [emoji848]