Rais Samia, wanasiasa wanaishi bila mashaka, hakuna aliyeumwa hata na sisimizi

Rais Samia, wanasiasa wanaishi bila mashaka, hakuna aliyeumwa hata na sisimizi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya DW amesema wanasiasa wakubwa wa upinzani wako wengi nchini Tanzania na hakuna anayeishi kwa mashwaka kwa kuwa hakuna aliyenyukuliwa hata kuumwa na sisimizi, hivyo Tundu Lissu aulizwe mashaka yake ni yapi.

Aidha kuhusu kauli yake ya awali iliyookana kuingilia uhuru wa mahakama kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawezi kuitolea ufafanuzi kwa kuwa watu wanasema mengi hawezi kutolea ufafanuzi kila kitu.


1645166852290.png
 
Mashaka ya Lissu yanatokana na alichofanyiwa wakati wa mwendazake, na baadhi ya wale wahuni waliomfanyia Lissu ubaya bado wapo kwenye system mpaka leo.

Ni haki kwa Lissu kuwa na mashaka kwa usalama wake, vyema atoe kauli moja kama mkuu wa nchi Lissu na wenzake wawe na amani warudi nchini.

Samia asiangalie wanasiasa wakubwa tu, atazame na wadogo pia, bado polisi wanahangaika kuzuia hata mikutano ya ndani ya Chadema, hawa wanatakiwa kukemewa.

Kuhusu kauli yake anayogoma kuitolea ufafanuzi juu ya kesi ya Mbowe kwa kuogopa watu kusema mengi, hapo ndipo nakubali tuna Rais mwanamke, kama anaogopa hadi maneno ya watu mitandaoni kazi ipo.
 
Mashaka ya Lissu yanatokana na alichofanyiwa wakati wa mwendazake, na baadhi ya wale wahuni waliomfanyia Lissu ubaya bado wapo kwenye system mpaka leo.

Ni haki kwa Lissu kuwa na mashaka kwa usalama wake, vyema atoe kauli moja kama mkuu wa nchi Lissu na wenzake wawe na amani warudi nchini.

Samia asiangalie wanasiasa wakubwa tu, atazame na wadogo pia, bado polisi wanahangaika kuzuia hata mikutano ya ndani ya Chadema, hawa wanatakiwa kukemewa.

Kuhusu kauli yake anayogoma kuitolea ufafanuzi juu ya kesi ya Mbowe kwa kuogopa watu kusema mengi, hapo ndipo nakubali tuna Rais mwanamke, kama anaogopa hadi maneno ya watu mitandaoni kazi ipo.
Kama ni hivyo basi kila mtu alindwe, maana wote ni binadamu tuna damu. Hakuna binadamu aliye muhimu kushinda mwingine!
 
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya DW amesema wanasiasa wakubwa wa upinzani wako wengi nchini Tanzania na hakuna anayeishi kwa mashwaka kwa kuwa hakuna aliyenyukuliwa hata kuumwa na sisimizi, hivyo Tundu Lissu aulizwe mashaka yake ni yapi

Aidha kuhusu kauli yake ya awali iliyookana kuingilia uhuru wa mahakama kuhusu kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawezi kuitolea ufafanuzi kwa kuwa watu wanasema mengi hawezi kutolea ufafanuzi kila kitu
Point taken, mama amemjibu inavyotakiwa.
 
Sukuma gang watajinyonga walahi. Maana mama amewapiga na kitu kizito kichwani kwa kukutana na kufanya mazungumzo na adui mkubwa wa mzimu wao wa Chato
 
..uwezo wa Maza kujibu, au kukwepa, maswali ni wa kiwango ambacho sio kizuri.
 
Minikajua atajibu Lisu nimemruhu arudi na ntampa ulinzi!
Mama anawapiga watu chenga ya mwili sasa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mama kapiga u turn ya maana!

Ila Lisu nae akili zake anazijua mwenyewe, eti "nataka rais atamke hadharani kwamba ananikaribisha nyumbani"

Sijui anajiona nani huyu jamaa!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Alichokisema SSH kuhusu TAL kurejea ni kumkaribisha nyumbani. Katumia busara sana kuwananga mataga na sukumagang
 
Back
Top Bottom