Rais Samia, wanasiasa wanaishi bila mashaka, hakuna aliyeumwa hata na sisimizi

Mama ameshasema HAKUNA MASHAKA warudi tu
 
Ukweli ni mdogo sana kwenye haya uliyoandika. Kesi kubwa kama hiyo haiwezi kufanyika bila baraka za Raisi.
Ndio alibariki Jambo ambalo amelikuta likiwa limeanzishwa na kikundi kilichokuwa na Rais aliyemtangulia so akaja kupewa briefing iliyopikwa nae akaingia Chaka.

Kumbuka hii kesi wanadai Mbowe alipamga ugaidi ufanyike wakati wa ushaguzi Ina maana lile kundi maarufu walishaanza kusuka hii kesi kabla hata Magufuli hajafariki.

Bado nina imani kwamba Rais amekuja kujua ukweli baada ya kupitia vizuri facts na majadiliano na baadhi ya viongozi especially ambao hawakuwa sehemu ya kikosi kilichokuwa kinahusika kubambikia watu kesi na mauaji.
 
[emoji871]Amesema ameiachia Mahakama ifanye kazi yake kwa Uhuru na kwa mujibu wa Sheria.

[emoji871]Akiishamfunga Mbowe ndiyo utauelewa vizuri uanamke wake!
Mbowe ni nani ili asifungwe endapo kapatikana na hatia. Wakati mwingine ni vyema fikiri kabla hujaandika kitu.
 
Siyo kweli she knew everything from the beginning and she knows what is going on.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…