Rais Samia: Wanawake acheni kuwanyanyasa wanaume

Rais Samia: Wanawake acheni kuwanyanyasa wanaume

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya Utume wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) amesema kuwa wanawake huwanyanyasa pia wanaume.

Amesema kuwa jamii huwasikiliza sana wanawake kwa kuwa wao ndiyo hulia sana tofauti na wanaume lakini ukweli ni kuwa wanaume pia wamekuwa wananyanyaswa.

Amewataka wanawake kuacha tabia hii kwani unyanyasaji ni kitu kibaya kisichojali jinsia.
 
Rais Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya Utume wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) amesema kuwa wanawake huwanyanyasa pia wanaume.

Amesema kuwa jamii huwasikiliza sana wanawake kwa kuwa wao ndiyo hulia sana tofauti na wanaume lakini ukweli ni kuwa wanaume pia wamekuwa wananyanyaswa.

Amewataka wanawake kuacha tabia hii kwani unyanyasaji ni kitu kibaya kisichojali jinsia.
Mwanaume unanyanyaswa na mwanamke kama huna tu hela baas. You find a man cannot provide what do you expect?

Kina mpwayungu village badilikeni bana
 
Rais Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya Utume wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) amesema kuwa wanawake huwanyanyasa pia wanaume.

Amesema kuwa jamii huwasikiliza sana wanawake kwa kuwa wao ndiyo hulia sana tofauti na wanaume lakini ukweli ni kuwa wanaume pia wamekuwa wananyanyaswa.

Amewataka wanawake kuacha tabia hii kwani unyanyasaji ni kitu kibaya kisichojali jinsia.
Wavulana wanaolalamika kuliwa nauli wamepata mtetezi🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom