dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahaha, inageuzwa fasta,Kesi ya nyani unapeleka kwa sokwe 😧
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha, inageuzwa fasta,Kesi ya nyani unapeleka kwa sokwe 😧
Hahahaaa Leo huendi VICOBA? Maana pesa ya VICOBA tunalipa sisi ila siku ya kugawana.... DahJamani😂😂😂
MnatunyanyasaInakuwaje?
Yanaendelea ....Wakipewa hela ndo mateso huanza au?
Tunawanyanyasaje sasa?Mnatunyanyasa
Hahahahaa tumelalamika Hadi malalamiko yamefika kwa Rais halafu wewe hujuiTunawanyanyasaje sasa?
😂😂😂😂VICOBA Yaani wakilipwa VICOBA siku hio.....
Aiseeeh sijui kwakweeli.Hahahahaa tumelalamika Hadi malalamiko yamefika kwa Rais halafu wewe hujui
Subutuuuuu, TOZO inakuhusuAiseeeh sijui kwakeeli.
Jirani usininyanyase...Kweli kabisa
Sii angesema tuu kuwa waachenkutuiga mizinga...mambo ya kutumia tafsida ya niniRais Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya Utume wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) amesema kuwa wanawake huwanyanyasa pia wanaume.
Amesema kuwa jamii huwasikiliza sana wanawake kwa kuwa wao ndiyo hulia sana tofauti na wanaume lakini ukweli ni kuwa wanaume pia wamekuwa wananyanyaswa.
Amewataka wanawake kuacha tabia hii kwani unyanyasaji ni kitu kibaya kisichojali jinsia.
SawaJirani usininyanyase...
Thank you. Na Kazi iendelee.Rais Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba yake kwenye Maadhimisho ya miaka 50 ya Utume wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) amesema kuwa wanawake huwanyanyasa pia wanaume.
Amesema kuwa jamii huwasikiliza sana wanawake kwa kuwa wao ndiyo hulia sana tofauti na wanaume lakini ukweli ni kuwa wanaume pia wamekuwa wananyanyaswa.
Amewataka wanawake kuacha tabia hii kwani unyanyasaji ni kitu kibaya kisichojali jinsia.