M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
Fedha sio suruhu ya kila tatizo, yule jamaa wa mwanza aliyeua mke kwa risasi. pesa ipo na mke alikuwa anatiwa nje kama kawa. sio mateso hayo?Mwanaume unanyanyaswa na mwanamke kama huna tu hela baas. You find a man cannot provide what do you expect?
Kina mpwayungu village badilikeni bana