Rais Samia: Wanawake acheni kuwanyanyasa wanaume

Nowdays wanaume wengi wananyanyasika, sema mnajitutumua tu humu ila mnajua vizuri tu hii kitu.

Manyanyaso yapo aina nyingi ,pengine hata usijue unanyanyaswa ukiona ni mapenzi .
 
Usiombe mwananke awe hivi

  • Akuzidi urefu
  • Akuzidi pesa
  • Akuzidi Elimu
  • Awe pisi kali
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Sii angesema tuu kuwa waachenkutuiga mizinga...mambo ya kutumia tafsida ya nini
 
T
Thank you. Na Kazi iendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…