wanaoumia ni matahiraHiyo documentary aisee imewaumiza watu wengi mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaoumia ni matahiraHiyo documentary aisee imewaumiza watu wengi mno.
wewe ndio umedownload low qualitySijaona cha maana zaidi ya kufagilia usislamu wa visiwan..as if nchi hii niya wavaa kobazi.
Kulikua na haja gani ya kwenda msikitini..basi angeenda na kanisani na kwenye mapango ya kutambikia mana hii nchi ina kila aina ya imani.
Kingine picha ni low quality..yule prof sijui daktari wa UDSM alikua sahihi kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Kwahiyo unasema Wananchi watachukia wakisikia kuwa Punguwani alikufa kwa Complications zinazoletwa na Kirusi cha Covid19?Wanajua wananchi watachukia. Lakini wanasahau kwamba hii ni karne ya teknolojia,
Wote nyie niwale wale akina ”ze reki ” team BASHITE 😂😂😂Na ikawafurahisha wanaoruka kwa helikopta kukagua vibao vilivyokosewa.
Tanzania safari channel ina vitu adimu zaidi ya hiyo documentarySijaona cha maana zaidi ya kufagilia usislamu wa visiwan..as if nchi hii niya wavaa kobazi.
Kulikua na haja gani ya kwenda msikitini..basi angeenda na kanisani na kwenye mapango ya kutambikia mana hii nchi ina kila aina ya imani.
Kingine picha ni low quality..yule prof sijui daktari wa UDSM alikua sahihi kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Leta hoja acha ubishiFicha mbali huu upumbavu wako ili watu wasiuone, na hata wanao wasiurithi.
Kuna faida umepata kutokana na maneno hovyohovyo hayaImeumiza kikundi kidogo cha Wafuasi wa Punguwani.
Inaonyesha wazi baathi yenu mnachuki.Ila kwa tabia yenu mliyoionyesha czan km mtapata mtawala kutoka huko tena.Kifupi hiyo documentary ni takataka na ndio maana Serikali inatumia nguvu kubwa kuipromoti. Huku Kanda ya Ziwa ndio hatuitaki kabisa ndio maana hii kanda haimo kwenye ratiba ya uzinduzi.
Hujafa hujaumbika. Ushenzi ni tabia mbaya.Imeumiza kikundi kidogo cha Wafuasi wa Punguwani.
Kama ni kidogo kwanini kufuta?Imeumiza kikundi kidogo cha Wafuasi wa Punguwani.
Afute na kile wanashikana mikono. Kinakela wengi pia. Ooh Yeah
Kwahiyo Peter kaja kutapeli bilion 7 Tanzania [emoji28][emoji28][emoji28]wanaoumia ni matahira
Tunajua mshikishwa ukuta na wafuasi wake hawawezi kuumizwaImeumiza kikundi kidogo cha Wafuasi wa Punguwani.
Acha kukashifu dini ya watu wewe punguani.Kwani dini imekukosea nini?Firauni mkubwa weweSijaona cha maana zaidi ya kufagilia usislamu wa visiwan..as if nchi hii niya wavaa kobazi.
Kulikua na haja gani ya kwenda msikitini..basi angeenda na kanisani na kwenye mapango ya kutambikia mana hii nchi ina kila aina ya imani.
Kingine picha ni low quality..yule prof sijui daktari wa UDSM alikua sahihi kabisa.
#MaendeleoHayanaChama
Hiyo documentary aisee imewaumiza watu wengi mno
Usiwe na makengeza hata kijijini pia wanahitaji airport kwani kitabaki kijiji maisha? Ona mbali ndugu after all ile airport imeshaanza kuw busy ndege zinatua mara tatu kwa wiki kuna wachimbaji na madalali wa madini kutoka Geita wanaruka ulizia ATCL utaelezwa labda utaondoa gundu ulilo nalo kwa JPMHayo ni madogo uki compare na zile hasara za kujenga International Airport Kijijini.
Na anayeamua asipatikane tena ni nani? Mamaako? Basi sawa.Inaonyesha wazi baathi yenu mnachuki.Ila kwa tabia yenu mliyoionyesha czan km mtapata mtawala kutoka huko tena.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Pugu kajungeniRais wa manzese au wa wapi