Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
katiba si muhimu sana 🐒Tulipofka hata wale "wajinga" sasa wameelewa hitaji la katiba mpya na sheria za uchaguzi. Maelezo ya Lisu na wenzake yameeleweka sana kwa watu hata wale usiowadhania au unaowatumainia kupata kinga kwao au kutoa Amri. Kuna ukweli karibu watu wote wanaukiri kuwa tunahijai katiba mpya!
Hatawa mwandani wako wanaukiri ukweli huo hawataki kukwambia ukweli.
Nyetere alisema pamoja na kura kuonesha kuwa watu wanataka mfumo wa chama kimoja, lakini ualisia na muda hauko hivyo! Akashinikiza mfumo wa vyama vingi.
hata na hivyo, baada ya uchaguzi mkuu ujao 2026 itatathminiwa kuona kama pendekezo hilo linafaa 🐒
Tuko pazuri, tunaelekea pazuri
R I.P.Laigwanan comrade ENL