So unaifananisha Tanzania na US?Mambo mengine hayana tija tumeache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Tena anaweza kumteua kushika wadhifa wowote hata uwaziri, wala msimfanya chochoteSo unaifananisha Tanzania na US?
Wivu tu!1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1.Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa❌
2.Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela❌
3.Hospitali hazina dawa❌
4.Kodi mbele na nyuma❌❌
5.Tozo lukuki❌
7.Giza kila mahali❌
8.Shule hazina madawati❌
9.Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu❌
ongezeni mengine ya kuudhi!
Aiseeeee !!!1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Ya Obama hayatuhusu, Obama hakuna shule za hiviMambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Unafananisha Tz na Marekani ......kula kulingana na urefu wa kamba yakoMambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Uchumi wa Marekani ni mkubwa......!Mambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?
Weka na maelfu ya shule yaliyojengwa over th past two years
Mkuu hizo hela zinaweza tatua yote hayo? Yaani safari moja inaweza kutatua yote hayo? We have to think beyond the reasonable line!1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
Kwahiyo looting ruksa kwa vile matatizo yote hayawezi kutatuliwa na hela hizo and the rest kama ulizozianisha. Therefore tusikemee ufujaji kwa vile hizo ni hela kidogo hazitatua matatizo yote niliyoyaainisha?Mkuu hizo hela zinaweza tatua yote hayo? Yaani safari moja inaweza kutatua yote hayo? We have to think beyond the reasonable line!
Hivi mkuu unaamini kabisa hao viongozi wote wakitolewa wakawekwa wengine nchi hii inakuwa tajiri?
Magufuri hakusafiri je nchi ilibadirika ikawa tajiri?
My dear member sisi watanzania na waaafrika hatujajua sababu kuu ya huu umasikini wetu, yaani bado hatujajua, tunakisia na ku direct our weakness to other people( defensive mechanism).
Nchi nyingi za waafrika wameondoa uongozi wa juu wa maamuzi lakini hadi leo ni nchi masikini.
Zambia kimeingia chama cha upinzani, Je nchi haina shida kama yetu?
Sababu ya umasikini wa sisi watanzania ni zaidi ya hao viongozi unaowatupia lawama.
Imagine na uzalendo wote ule aliokuwa nao nyerere kakini aliicha nchi ikiwa hohe hahe!
Is there any research which conclude that our poverty is an outcome of our leadership failure?
Gabon, Bokinafaso, Mali na Niger zimefukuza viongozi wao, Je baada ya miaka 10 zitakuwa nchi tajiri?
What happened in Sudan -Southern and Northern, tawala si zimeangushwa pale, Je hizo nchi zipo wapi mpaka sasa ?
You have to scratch your brain more. Niishie hapa ili isiwe thread kamili.
That does not warrant squandering!Weka na maelfu ya shule yaliyojengwa over th past two years
Matumizi yako ya akili yanahitaji akiliMambo mengine hayana tija tumuache mazeli apumue. Tumuhoji mambo ya msingi hasa hasa bandari zetu na katiba mpya.
Kibindi kile Obama alivyokuja na wanawe hapa Tanzania kwa nini hatukuhoji wamekuja kama akina nani?