nchi sio ngumu bali kuna binaadamu wagumu sana kuelewa.Nchi ngumu sana hii
Hata akaja hatutakuwa sawaKaribu Afrika
Huyu Raisi ana low self esteem,na vile Elimu yake ilivyo ya kuunga unga,hajiamini mbele ya wazoefu kama Mulamula,Huyu Raisi akili yake ni ndogo.Rais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Mbona hamsemi kajiuzulu?Rais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Mberwa ni balozi China hata kabla yule kijana wenu hajakamatwa na sembe, yeye ndie aliemwokoa, acha kumsingizia mwambaAlfu kweli kairuki s ilisemakana kabisa jiwe alijimilikisha kihalali kabsa ,Hadi akamtundika ujawepezi [emoji23] Kisha akampanga mbelwa china Kaz za kibalozi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watazunduka sana mkuu!Wewe mburula mtetezi wa mama anaupiga mwingi umeanza kuzinduka?[emoji23]
Mbona mtu wake Kabudi mama alimfukuza akamuweka MulaMulaWatazunduka sana mkuu!
Walifikiri wanamkomesha marehemu
Kuanzia awamu ya TANO marais huwa hawapokei barua za mawaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi wanaopeleka barua za kujiuzuru. Badala yake wanachofanya ni marais kutangaza kuwa wamewatumbua.Unajuaje kama hajajiuzulu?
Mjinga sio lazima aonekane ukiwa karibu naye, hata akiwa mbali utamtambua kwa maneno au maandiko utayosikia/kusoma toka kwake, ndio maana nimekutambua wewe nawe ni mjinga mwingine japo uko mbali nami.Unamaanisha rais kazungukwa na wajinga!!!?..kwamba wewe huku una jicho la kuona wajinga serikalini!!?..mkishiba mna shida Sana!!
Kama ni maamuzi ya kijinga ayakubali tu?Rais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Mjinga mama yako aliyekubali kupanua ukazaliwa mla kamasiMjinga sio lazima aonekane ukiwa karibu naye, hata akiwa mbali utamtambua kwa maneno au maandiko utayosikia/kusoma toka kwake, ndio maana nimekutambua wewe nawe ni mjinga mwingine japo uko mbali nami.
Ni lile bwenga lenye komwe kama tikiti majiRais Samia akiwaapisha mawaziri leo, Oktoba 3 amesema waziri hatakiwi kusema hakubaliani na maamuzi ya Serikali au kusema kuwa nimeelekezwa hivi ila sikubaliani. Hatakiwi kujitoa bali kuwa sehemu ya maamuzi.
Sijui ni waziri gani aliyesema haya ni maamuzi ya Serikali sio yangu?
Mama yuko sahihi kumtumbua Mulamula Kama kweli alipingana na madmuzi ya serikali. Mulamula alipaswa kupinga kwa hoja upitishwaji wa maamuzi haya, unaofanywa na Baraza la mawaziri ambapo naye ni mjumbeNaona exposure inawaponza wasaidizi wa Rais, Rais anataka kila mteule wake afanye vile anavyotaka yeye hata kama hana ujuzi wa jambo husika, hii sio sawa, anakosea.
Mulamula alikuwa na exposure na mambo ya nje toka enzi za JK, na hiyo exposure yake naamini ndio iliyochangia Rais kumpa kile cheo, leo iweje amuondoe yule aliyegoma kuburuzwa kwenye jambo alilo na experience nalo? lililofanya akaaminiwa na kupewa kazi? Rais hajui anachofanya.
Kuwa na wasaidizi maana yake ni kumsaidia Rais, na sio tu kufanya kazi wanazopangiwa, bali hata kwa ushauri pia, hii kauli aliyoitoa Rais itazidi kuzalisha chawa wengi zaidi, wajinga, majeuri, na viburi.
Matokeo yake kina Mwigulu wanazidi kutuburuza na tozo, huku Makamba na Nape na kauli zao za hovyo kila wakati; yeye anataka jambo lolote wakishakaa na kukubaliana serikalini lisipingwe, vyema atambue hata wajinga huwa wana maamuzi yao na yasipoangaliwa mapema yatatuumiza.
Awaache wenye uzoefu wamsaidie, unaweza kuwa na kundi kubwa la wajinga wasiojua chochote kasoro mmoja wao, na kiongozi mzuri anatakiwa kumtambua huyo mmoja.
Niondolee hilo gonjwa mkuu🤣Tulia wewee
Wewe unapotosha. Hawakatazwi kupinga lakini hawapingi maamuzi ya pamoja wanapswa kupinga wakiwa kwenye vikao kabla ya maamuzi ya pamoja ya baraza la mawaziri. Pale ambapo maamuzi hayapo kwa mambo makubwa lazima washauriane na Mh. Rais na wakubaliane, siyo kwakua unataka hiki basi unafanya bila mkuu wa nchi kuwa informed hiyo ni Insurbodination ya hali ya juu. Mwisho wa siku anayebeba dhamana ya nchi ni Rais mwenyeweNaona exposure inawaponza wasaidizi wa Rais, Rais anataka kila mteule wake afanye vile anavyotaka yeye hata kama hana ujuzi wa jambo husika, hii sio sawa, anakosea.
Mulamula alikuwa na exposure na mambo ya nje toka enzi za JK, na hiyo exposure yake naamini ndio iliyochangia Rais kumpa kile cheo, leo iweje amuondoe yule aliyegoma kuburuzwa kwenye jambo alilo na experience nalo? lililofanya akaaminiwa na kupewa kazi? Rais hajui anachofanya.
Kuwa na wasaidizi maana yake ni kumsaidia Rais, na sio tu kufanya kazi wanazopangiwa, bali hata kwa ushauri pia, hii kauli aliyoitoa Rais itazidi kuzalisha chawa wengi zaidi, wajinga, majeuri, na viburi.
Matokeo yake kina Mwigulu wanazidi kutuburuza na tozo, huku Makamba na Nape na kauli zao za hovyo kila wakati; yeye anataka jambo lolote wakishakaa na kukubaliana serikalini lisipingwe, vyema atambue hata wajinga huwa wana maamuzi yao na yasipoangaliwa mapema yatatuumiza.
Awaache wenye uzoefu wamsaidie, unaweza kuwa na kundi kubwa la wajinga wasiojua chochote kasoro mmoja wao, na kiongozi mzuri anatakiwa kumtambua huyo mmoja.
We" ni panya, hauna uwezo wa argument unajitutumua tu, bahati nzuri kwako hata wajinga wa sampuli yako huwa na confidence.Mjinga mama yako aliyekubali kupanua ukazaliwa mla kamasi
Maamuzi ya serikali sio lazima kila wakati yawe sahihi, tusiendekeze hii kasumba ya kikoloni tumeshaona ikitufelisha tulipotoka, hizi tozo zinazolalamikiwa sasa ni mfano wa kuendekeza hayo mawazo ya kijima, waachwe wenye experience watoe ushauri na wasikilizwe, na Rais asijione mungu mtu anapotezwa.Mama yuko sahihi kumtumbua Mulamula Kama kweli alipingana na madmuzi ya serikali. Mulamula alipaswa kupinga kwa hoja upitishwaji wa maamuzi haya, unaofanywa na Baraza la mawaziri ambapo naye ni mjumbe
Sasa itakuwaje huko kwenye vikao wazo la mjinga ndio likapewa umuhimu, fungueni bongo zenu, mimi nitakupinga hata nje, siwezi kukubaliana na wazo la mjinga kisa nipo nje wakati najua wazo sio sahihi.Wewe unapotosha. Hawakatazwi kupinga lakini hawapingi maamuzi ya pamoja wanapswa kupinga wakiwa kwenye vikao kabla ya maamuzi ya pamoja ya baraza la mawaziri. Pale ambapo maamuzi hayapo kwa mambo makubwa lazima washauriane na Mh. Rais na wakubaliane, siyo kwakua unataka hiki basi unafanya bila mkuu wa nchi kuwa informed hiyo ni Insurbodination ya hali ya juu. Mwisho wa siku anayebeba dhamana ya nchi ni Rais mwenyewe