Rais Samia: Waziri wa Nishati aliondoa Tozo kwenye mafuta kimakosa kwa sababu Tozo ilipitishwa na bunge, Nimeirejesha!

Rais Samia: Waziri wa Nishati aliondoa Tozo kwenye mafuta kimakosa kwa sababu Tozo ilipitishwa na bunge, Nimeirejesha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia amesema waziri wa Nishati January Makamba alifuta tozo ya tsh 100 kwenye mafuta kwa nia njema ya kupunguza bei lakini ikaonekana kuna utaratibu haukuwa sawa.

Tozo ile ilipitishwa na bunge siyo waziri hivyo kuifuta kulitakiwa kuanzie bungeni.

Rais ameirejesha tozo ya mafuta kama awali

Source: TBC.
 
Watetezi wake watakuja kusema anahujumiwa ........haki ya Mungu huyu mtu akipita kwenye uchaguz 2025 ntajua watz tumelogwa

Hajapata kutokea raisi mweupe kichwan kiasi hiki
Ukifuatilia moja ya sifa za wamakunduchi huwezi shangaaa
 
Watetezi wake watakuja kusema anahujumiwa ........haki ya Mungu huyu mtu akipita kwenye uchaguz 2025 ntajua watz tumelogwa

Hajapata kutokea raisi mweupe kichwan kiasi hiki
Dodo chini ya mwarobaini mkuu
 
Back
Top Bottom