Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo lilikuwa hawasaidie nyie matahila,mnunue mafuta kwa Bei ya chini, au kakosea?Mama anasema Waziri wa fedha aliondoa tsh 100 kwenye bei ya mafuta lakini akairudisha kwasababu moja ilikuwa imeshapitishwa kwenye bajeti na pili isingeleta unafuu wowote kwa walaji katika kipindi hiki cha mfumuko...
Mwigulu ana matatizo kichwani mwake, asamehewe tu.Mama anasema Waziri wa fedha aliondoa tsh 100 kwenye bei ya mafuta lakini akairudisha kwasababu moja ilikuwa imeshapitishwa kwenye bajeti na pili isingeleta unafuu wowote kwa walaji katika kipindi hiki cha mfumuko...
Hata yule Kigogo kule twitani hakuliona hili.Mie simshangai Mwigulu…nashangaa Wabunge na Wanasiasa hasa wa Upinzani pamoja na vyombo vya habari vilivyopiga kimya uvunjifu huu wa sheria...
Sheria ngapi zimevunjwa au ni hiyo tu ndiyo umeona?Mie simshangai Mwigulu…nashangaa Wabunge na Wanasiasa hasa wa Upinzani pamoja na vyombo vya habari vilivyopiga kimya uvunjifu huu wa sheria
Spika msomi kuliko wote waliowahi kutokea Ndugu Tulia nae alitulia….
Hata hii sikuiona hadi aliposema mweyewe Mh.Rais Samia Suluhu HassanSheria ngapi zimevunjwa au ni hiyo tu ndiyo umeona?
Ni mambo ya ajabu sn yanafanyika hapa TzHata hii sikuiona hadi aliposema mweyewe Mh.Rais Samia Suluhu Hassan
Kigogo kawa chawa siku hizi anawakaanga machadema kama hana akili nzuriHata yule Kigogo kule twitani hakuliona hili.