Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Eti kuna kipindi tulikuwa matajiri🐒

images - 2022-07-05T093051.071.jpeg
 
"Wenye uwezo wa Kawaida wa Kufikiri ( Nadhani akina GENTAMYCINE ) wanasema kuwa ninasafiri sana Nje ya nchi. Ukweli ni kwamba nikisafiri Mikoani nakuza tu Siasa za Ndani ila nikienda huko Ulaya naenda Kuwaletea Pesa kama hizi"

Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kufanya Ziara za Mikoani kwa Rais wa Tanzania ni kuitia tu Njaa nchi na kuendeleza Umasikini ila kumbe ukienda Ulaya unaenda Kuchota Fedha za Watanzania Masikini walizozihifadhi kwa Wazungu.

Halafu Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kura nyingi tunazowapeni pale mkigombea Urais ni za kuwatumeni tu Kuzurula Ulaya kuomba Pesa na kwamba Shida za Watanzania Masikini wengi tutakuwa tunazimaliza Wenyewe na 'Miungu' yetu tunayoiomba na Maombi ya akina Mitume Mwamposa na Kuhani Richard Mwacha.

Sawa Mama Safiri ukatuletee Fedha.
Kwamba akili kubwa inafanya kazi akili ndogo tulieni
 
"Wenye uwezo wa Kawaida wa Kufikiri ( Nadhani akina GENTAMYCINE ) wanasema kuwa ninasafiri sana Nje ya nchi. Ukweli ni kwamba nikisafiri Mikoani nakuza tu Siasa za Ndani ila nikienda huko Ulaya naenda Kuwaletea Pesa kama hizi"

Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kufanya Ziara za Mikoani kwa Rais wa Tanzania ni kuitia tu Njaa nchi na kuendeleza Umasikini ila kumbe ukienda Ulaya unaenda Kuchota Fedha za Watanzania Masikini walizozihifadhi kwa Wazungu.

Halafu Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kura nyingi tunazowapeni pale mkigombea Urais ni za kuwatumeni tu Kuzurula Ulaya kuomba Pesa na kwamba Shida za Watanzania Masikini wengi tutakuwa tunazimaliza Wenyewe na 'Miungu' yetu tunayoiomba na Maombi ya akina Mitume Mwamposa na Kuhani Richard Mwacha.

Sawa Mama Safiri ukatuletee Fedha.
Ndiyo ujue kuwa hawa siyo wenzetu
 
"Wenye uwezo wa Kawaida wa Kufikiri ( Nadhani akina GENTAMYCINE ) wanasema kuwa ninasafiri sana Nje ya nchi. Ukweli ni kwamba nikisafiri Mikoani nakuza tu Siasa za Ndani ila nikienda huko Ulaya naenda Kuwaletea Pesa kama hizi"

Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kufanya Ziara za Mikoani kwa Rais wa Tanzania ni kuitia tu Njaa nchi na kuendeleza Umasikini ila kumbe ukienda Ulaya unaenda Kuchota Fedha za Watanzania Masikini walizozihifadhi kwa Wazungu.

Halafu Rais Samia Mwanao GENTAMYCINE nilikuwa sijui kuwa kumbe Kura nyingi tunazowapeni pale mkigombea Urais ni za kuwatumeni tu Kuzurula Ulaya kuomba Pesa na kwamba Shida za Watanzania Masikini wengi tutakuwa tunazimaliza Wenyewe na 'Miungu' yetu tunayoiomba na Maombi ya akina Mitume Mwamposa na Kuhani Richard Mwacha.

Sawa Mama Safiri ukatuletee Fedha.
Hahahaha mtani relax kwanza!lzm tumkumbuke chuma JPM kwa hizi mambo zinazoendelea
 
Rais lazima atengeneze deals zitakazoiingizia nchi mapato, iwe ni deal za biashara na uwekezaji, au mikopo ama misaada

Sio jambo la kuficha kuwa nchi yetu ni maskini, wananchi wazawa hatuna mitaji ya kuwekeza kwenye miradi mikubwa, uwezo wetu wa kulipa kodi pia ni mdogo

Kufanya zuara za mikoani tu utaishia kuambiwa tuna shida ya maji, barabara, hospitali n.k lakini fedha hakuna, utatatua vipi hizo shida?

Magufuli yeye alikuwa akikopa mikopo kutoka benki za kibiashara, ambayo riba ni kubwa na muda wa kulipa ni mfupi, so unataka Samia afabya hivyo?

Wewe unaenlaumu Samia wewe mchango wako ni upi kuhakikisha nchi inajitegemea kwenye mapato hasa ya kufanya miradi mikubwa? Kulalamikia kodi na tozo?
Nakubaliana na ww raisi anapaswa kusafiri, Ila pia Kuna kipimo.
Haipaswi kuwa kama ilivyokua wakati wa magufuli

Sikubaliani na ww kusema Magufuli alikuwa anakopa kwenye mabenki. Deni letu kutoka kwenye mabenki ni 30% tu ya deni lote la taifa ambayo ni sawa na trillion 20. Magufuli alikopa 12% ya deni lote la nje kutoka kweye mabenki ambayo Ni sawa na tril 8. Je Magufuli alikopa tril 8 tu???

Unasema huyo analalamika tozo tu, tutatoa wapi pesa?
Si tuna rasilimali? Kazi ya tuliowapa kuongoza ni ipi ikiwa hawawezi kutumia rasilimali zilizopo kutatua changamoto zetu?
 
Masalia ya mwendazake hawaridhiki kila mama anachokifanya ,
Mwendazake alikopa kwa Siri mapesa kwa Taasisi zenye riba kubwa....
Unajua humu kumekua na hulka Kati ya wafuasi wa jiwe na wafuasi wa CCM walamba asali. Mwisho hata ukweli hatuujui ni upi maana kila mtu anavutia kwake.

Ila mm kwenye hii mikopo naona wengi mnatuacha njia panda. Ni taasisi zipi mwendazake alikopa na zina riba kubwa?
 
hii nchi ni kubwa, bila misaada (bakuli) na kuita wawekezaji waje aisee hatutoboi huo ndiyo ukweli, tunatumia zaidi ya tunachozalisha.
Na ndio tutazidi kuwa maskini. Tusipoenda ni vilevile na tukienda ni vilevile.
Hata mama Samia asiposafiri bado sioni Kama itasaidia chochote. Cha umuhimu akienda aache tu kutoa ahadi za kuwapa rasilimali
 
Back
Top Bottom