Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Hajawa ndege bhana mbona magu alikuwa anakaa nyumbani anafuatwa tu.
Tena wanajikomba sana tu,
Ila kusafiri asafiri tu sio hakuna shida .
Unajua kuna hii kitu inasema ukipata nafasi itumie mh. Samia tumia nafasi yako bibi wawatu wakuchambe wananini na hizo akili zao za kawaida .

Wasikutishie waonyeshe
Who is Magu? Alifuatwa na nani? Taja hapa waliomfuata na kumpa pesa Magu..

Mwisho usilinganishe failure kama Magu na Samia,rekodi alizogikia SSH kwa Mwaka mmja hakuna layman yeyote mwenye akili average wamewahi kufikia..👇
 

Attachments

  • 20220702_104205.jpg
    20220702_104205.jpg
    309.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220704-115146.png
    Screenshot_20220704-115146.png
    116 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220704-115226.png
    Screenshot_20220704-115226.png
    43.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220704-115441.png
    Screenshot_20220704-115441.png
    60.4 KB · Views: 6
Wacha mama asafiri akalete mpunga, lakini safari za kwenda Uarabuni kukazia uuzwaji wa Loliondo kwa kampuni ya mwarabu ya OBC hatutaki
Huo mpunga upo tu kwa ajili ya kupewa yeye?
Tatizo kubwa la nchi zetu hizi ni kupenda vya burebure. Ndio maana vijana mmegeuka kuwa chawa
 
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida

''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''

Swali akili za kawaida ndio zipi?

USSR

Huyu mzanzibar is the reflection ya wenye akili za kawaida, hivi anadhani watu hatujui akienda nje anafuata nini? Does she wants to tell us that, that part of SGR is financed by Oman entities?
Kwa uchumi wa sasa hivi, there is no free lunch. It is win win kind of business, hakuna kupiga magoti kwa mtu. Ni nipe nikupe something that can be done by our ambassadørs, ndio maana tunawapeleka nje, hawapelekwi nje ili washinde kwenye ma-salon na kwenye mabaa
Now I see where this is coming from; this habit of saying: asante Mama kwa kutoa pesa kwa ajili ya kitu fulani na fulani imekutoa kwenye reli. You think you are financing all projects by your own funds? Hii ni hela yetu ya kodi, you have been placed there to supervise rightful usage of our money and you are paid for this.
Utashangaa, Waziri akipewa dakika moja ya kuongea chochote, you have your name mentioned more than three times!!!!!
Nakukubali nikikulinganisha na yule mfu. Lakini usitoke kwenye reli and dont allow your ministers to adress you like without you,they cannot use their brains to perform their duties.
 
Fedha haiombwi bali inatafutwa kwa mikopo na connection za biashara,ndio maana sasa hivi kapata connection ya Kurusha ATCL America,France na China..

Wanaume wazima zaidi ya kende kichwani hamna kitu,nyie ndio mlizusha Kwamba Sijui Mwigulu kampa Mchina tenda and such upuuzi.
kapata connection ya Kurusha ATCL America,France na China.. halafu? Wewe ni mchumia tumbo
 
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida

''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''

Swali akili za kawaida ndio zipi?

USSR
Afute tozo za miamala si anapata pesa kutokanje ya nchi, maisha ni magumu halafu anatuletea hizo
 
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida

''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''

Swali akili za kawaida ndio zipi?

USSR
Atume mawaziri na wawakilishi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio gia ya kumuita mtu aje akusugue kovu alilokuachia mwendazake?
Mwendazake hakua na nguvu za kumwachia mtu kovu... ukimwi ulishaitwaa taji yake.
 
Wa kilimani chato alikubutua akakuachia kilema!

[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishaga kwambia ili kilema hicho kipone njoo tukusaidie kukulea ili usiwe unamtaja taja hovyo hataka kama uzi haumhusu
We ambae hata samsung s9 inakushinda utamuweza nani?
 
Who is Magu? Alifuatwa na nani? Taja hapa waliomfuata na kumpa pesa Magu..

Mwisho usilinganishe failure kama Magu na Samia,rekodi alizogikia SSH kwa Mwaka mmja hakuna layman yeyote mwenye akili average wamewahi kufikia..👇
Usiliie huyo sio mama ako anawanawe
 
Back
Top Bottom