Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Rais Samia: Wenye akili za kawaida ndiyo wananikosoa kusafiri nje

Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida...
Ni akili za wafuasi sugu wa mwendazake....
 
Naona sa100 ndio ana akili za kawaida.

Kushindwa kuimalisha mifumo ya ndani ya nchi..na kwenda kutembeza bakuli kuongeza madeni rukuki yeye ndio anaona inafaa?

#MaendeleoHayanaChama
Inashangaza sana mkuu.

Yaani mtu kwako kuna mali, ardhi, rasilimali za kutosha.

Unaenda kwa jirani kuomba fedha.

Kama sio kuanza kuuza ulivyonavyo, basi unaweza kujiuza hata wewe mwenyewe au watoto wako.
 
Wanaamua kwa maksudi kupotosha ukweli.

Lakini watanzania wanaelewa kazi kubwa inayo fanywa na Rais wetu.
 
Ni Kikwete na Samia tu ndo wanamawazo haya kuwa huko nje kuna mapesa wanatusubiri sisi tuende wayalete tufanyie maendeleo! Ukiona kiongozi wako ana mawazo haya jua huyo hamna kitu!

Maendeleo ya kweli yataletwa na watanzania wenyewe.
Mbona umejadili kwa akili ya kawaida? Ni wapi Rais alisema nje kuna pesa zimekaa tu? Hivi hamjui dunia imeunganishwa na mifumo ya biashara, uwekezaji wa mitaji ya moja kwa moja, taasisi za mikopo ya fedha kama za Breton woods, mikataba ya kibiashara na uchumi ya nchi na nchi?

Kwa kipindi hiki hali ya uchumi wa dunia ambayo si nzuri kuna scramble kubwa ya fursa. Bila ushawishi utaachwa. Rais Samia ameiweka ktk perspective nzuri tu.

NB: Mzee JK kaingiaje hapa kama si kujadili kwa akili za kawaida? #Tumuache Mhe. Rais atimize maono yake.🙏🙏🙏
 
Huhitaji kuwa genious kuona kwamba kuna mambo hayafanyiki sawa sawa.

Raisi yuko sawa kabisa.
 
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida

''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''

Swali akili za kawaida ndio zipi?

USSR
Na huu ndio ukweli,kukalisha makalio ofisini hakuleti Pesa bali Pesa inatafutwa.
 
Akili za kawaida Ni wale ambao hawajasoma na hawana elimu juu ya masuala ya fedha na uchumi hio kwa mtazamo wangu tu but hapa huyu mmama katudharau sana hajui karibu watanzania wote wameelimika sahv na hao ndio wapiga kura wake
Kama wewe hapo umeelimika kwa lipi hasa ikiwa huna hata uwezo wa kuelewa umuhimu wa ziara za Rais nje ya Nchi?
 
Kwhy samia anamoasulia jipu nani sasa marehemu jiwe au maana yeye ndy alikuwa hataki/hapendi kusafiri
 
Huhitaji kuwa genious kuona kwamba kuna mambo hayafanyiki sawa sawa.

Raisi yuko sawa kabisa.
Kama mambo gani? Mwaka mmja huu na miezi vipande vyote vya sgr phase 1 vina wakandarasi,phase two inaanza soon..

Wewe kilaza wa mwendazake miaka 5 mlishindwa kukamilisha km 200 za awali,stupid zenu.
 
Kama mambo gani? Mwaka mmja huu na miezi vipande vyote vya sgr phase 1 vina wakandarasi,phase two inaanza soon..

Wewe kilaza wa mwendazake miaka 5 mlishindwa kukamilisha km 200 za awali,stupid zenu.
Kwa mwaka mmoja limekamilika daraja la Tanzanite tu.
 
Huyu mama anasema anakwenda kutuombea fedha nje akinyimwa ni nini kitatokea? Hizo fedha anskwenda kuomba na kupewa bure?
Fedha haiombwi bali inatafutwa kwa mikopo na connection za biashara,ndio maana sasa hivi kapata connection ya Kurusha ATCL America,France na China..

Wanaume wazima zaidi ya kende kichwani hamna kitu,nyie ndio mlizusha Kwamba Sijui Mwigulu kampa Mchina tenda and such upuuzi.
 
Kwa mwaka mmoja limekamilika daraja la Tanzanite tu.
Unless unazungumzia Kwa miradi mikubwa ila hata sgr kipande cha kwanza tayari kiko 98%,daraja la wami, flyover ya Changaombe na hata kipande Cha pili cha sgr Kiko 87% so by next year akifunga miaka 2 mtakuwa mko kwenye sgr..Ufanisi wa Hali ya Juu kabisa.
 
Hajawa ndege bhana mbona magu alikuwa anakaa nyumbani anafuatwa tu.
Tena wanajikomba sana tu,
Ila kusafiri asafiri tu sio hakuna shida .
Unajua kuna hii kitu inasema ukipata nafasi itumie mh. Samia tumia nafasi yako bibi wawatu wakuchambe wananini na hizo akili zao za kawaida .

Wasikutishie waonyeshe
 
Kaheshimu au mstaarabu sana Jiwe angweka wazi "hawana akili"
 
Naona sa100 ndio ana akili za kawaida.

Kushindwa kuimalisha mifumo ya ndani ya nchi..na kwenda kutembeza bakuli kuongeza madeni rukuki yeye ndio anaona inafaa?

#MaendeleoHayanaChama
Tufanye kashindwa,je hili ni bakuli la wapi?👇
 

Attachments

  • 20220702_104205.jpg
    20220702_104205.jpg
    309.4 KB · Views: 8
Mmechezea rasilimali zetu kwa wazungu, leo mnageuka watumwa wao kwenda kuwaomba misaada halafu mnajiona ma genious!.
 
Kama zako wewe na misukule yote aliyotuachia yule wa kilimani chato.
Wa kilimani chato alikubutua akakuachia kilema!

[emoji23][emoji23][emoji23]Nilishaga kwambia ili kilema hicho kipone njoo tukusaidie kukulea ili usiwe unamtaja taja hovyo hataka kama uzi haumhusu
 
Cheupe dawa wangu kinuju nilikumiss sana, katika takataka alizoacha mwendazake ni wewe pekee naona utaweza kunifaa shombeshome la kizinza njoo unizalie mtoto hata mmoja wa ziada mrembo kinuju.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndio gia ya kumuita mtu aje akusugue kovu alilokuachia mwendazake?
 
Nimeshuhudia matusi, dhihaka na ghadhabu za Watanzania leo baada ya mh Rais baada ya kutetea kusafiri nje kuwa wananikosoa wana akili za kawaida

''Wale wenye akili za kawaida ni rahisi kulaumu, wanasema ‘Rais anasafiri tu, hakai, hatembelei mikoa’, nikienda mkoani tajenga siasa ya ndani hakuna maendeleo, nikienda nje nakwenda kutafuta fedha za maendeleo.''

Swali akili za kawaida ndio zipi?

USSR
sukuma gang woote wana akili za kawaida. Asante mama kuwachana ukweli. Walikuwa wanataka ujifungie kama mtu wao.
 
Back
Top Bottom