evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Hata asipokuwepo hana lolote la maana analofanyia nchi hii.
Ikiwezekana apotee milele
Ikiwezekana apotee milele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wapwaAnajiandaa kwenda msibani Iran
Kariakoo au Magomeni 😂😂Acha utto wako.nenda ofisini kwake kama una shida. Unataka azurule mitaani kama chinga.
Utapotea Mwenyewe na roho lako la kishetani hilo.Hata asipokuwepo hana lolote la maana analofanyia nchi hii.
Ikiwezekana apotee milele
Unarudia yale yale, hebu soma post yako #12, kwani ungemulewesha mleta mada bila kumtolea lugha chafu ingekupunguzia nini? Unapokosea jambo na ukikosolewa kwani inakupunguzia nini kukiri kukosea? Una lugha za kuudhi sana jirekebishe.Embu nijibu swala kwamba ni lazima kwa Rais kuongoza vikao vyote vya chama? Kutokuwepo kwa Rais katika kikao kile cha hapa majuzi kulikuwa na uajabu gani na vipi lilikuwa ni tukio jipya kiuongozi na kikanuni? Nini kazi ya makamu wenyeviti? Umesoma na unaielewa katiba ya CCM? Tuacheni habari kufutilia vitu vidogo vidogo vya umbea umbea tu kama watu tuliokosa kazi za kufanya. Akionekana sana kila sehemu ya matukio mnaanza kuongea mara ooo matukio mengine inatakiwa atumage wawakilishi. Yaani mnakuwa kama popo vile hamueleweki kama ninyi ni wanyama au ndege.,
Msamehe yupo busy kwenye mafunzo Mwanza na wenzakeKwa jibu lako hili naanza kuwa na shaka na uwezo wako wa kufikiri. Unataka kubishana for the sake of it lakini huwezi kujibu swali uliloulizwa kwa vile liko juu ya uwezo wako wa utambuzi. Umejibu kihuni sana na imekupunguzia credibility yako sana. Usiwe unakimbilia kujibu mada bila kusoma na kuelewa mada yenyewe. Umekurupuka kumtukana mleta uzi huu kuwa ni mjinga kwa kuuliza Rais yuko wapi,na ametoa sababu zake nzuri tu kwa nini ameuliza. Lakini wewe kwa kiherehere chako umemuelewa ndiyo sivyo sivyo na kumtukana badala ya kumuelewesha,naamini kwa nature ya mleta hoja angekuelewa tu bila ya kumtukana.
Lucas Mwashambwa una tatizo moja,unajihesabia haki 100% hukubali kuwa wewe ni binadamu na unaweza kukosea,muungwana yoyote akikosea hukubali kosa na kuomba radhi ikibidi,lakini hata ukirekebishwa utaleta lugha za dharau na kuona kila mwenye mtazamo tofauti na wewe ni mjinga,kichaa,mlevi na mvuta bangi. JIREKEBISHE.
Nashauri tumpe muda maana yupo kwenye mafunzo na wenzake MwanzaUnarudia yale yale, hebu soma post yako #12, kwani ungemulewesha mleta mada bila kumtolea lugha chafu ingekupunguzia nini? Unapokosea jambo na ukikosolewa kwani inakupunguzia nini kukiri kukosea? Una lugha za kuudhi sana jirekebishe.
ATAKUWA UTURUKI NADHANISijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Umejuaje? Na ataenda na alivyo mdiniAnajiandaa kwenda msibani Iran
VascoMuacheni apumzike mama wa watu. Juzi tu katoka Ufaransa. Unataka asipate hata muda wa kumfulia nguo mumewe? Zingatia neno nguo.
Mitano tena
Hatawahi, wale wanazika hapaUmejuaje? Na ataenda na alivyo mdini
Kwani anamume??Muacheni apumzike mama wa watu. Juzi tu katoka Ufaransa. Unataka asipate hata muda wa kumfulia nguo mumewe? Zingatia neno nguo.
Weeee mpumbavu sana, usijibuNitalinganeje na wewe mkurupukaji na mropokaji kama mlevi wa gongo.
Sh!!! PULIZI DU NOTI DISTABU. 4ara oni sisheni.Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Lazima nikujibu utake usitake.Weeee mpumbavu sana, usijibu
Kiroboto katika ubora wake.Huna adabu kabisa wewe.inaonyesha umekosa malezi mazuri ya wazazi wako. Acha kuandika vitu utafikiri umelewa Pombe.
Anajiandaa kusafiri kwenda China! Kwa maelezo zaidi nitafute!Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize