We jamaa ukiteuliwa nahamia burundiAcheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Unamtaka wapi?Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Yupo kwenhye mipango ya kuuza raslimali za nchi yetu.Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
😀Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
Inawezekana huyo huyo ndiye 'Abdul' mwenyewe.Sawaa, ila punguza kiherehere...yaani umemzidi hadi mwanae Samia mwenyewe wa kumzaa, Abdul!!.
Lucas, unamwambiaje huyo mwamba hapo juu kuhusu ushauri wake?Usipende kuropoka ropoka tu utafikiri umetoka usingizini.
Mpuuzi kama wewe huelewi maana ya public figure! Halafu wewe siyo Personal assistant wake kumjibia! Ukiwa chawa jipime kabla ya kuyavaa!Acha utto wako.nenda ofisini kwake kama una shida. Unataka azurule mitaani kama chinga.
Narudia tena wewe si PA (personal assistant) wa kiongozi wa Nchi! Huwezi kung'ang'ania upuuzi wa kumlinda Rais wa jamhuri ya Muungano! Ni mali yetu au kifupi ni kinyago tulichokichonga wenyewe tunza mshono!Embu nijibu swala kwamba ni lazima kwa Rais kuongoza vikao vyote vya chama? Kutokuwepo kwa Rais katika kikao kile cha hapa majuzi kulikuwa na uajabu gani na vipi lilikuwa ni tukio jipya kiuongozi na kikanuni? Nini kazi ya makamu wenyeviti? Umesoma na unaielewa katiba ya CCM? Tuacheni habari kufutilia vitu vidogo vidogo vya umbea umbea tu kama watu tuliokosa kazi za kufanya. Akionekana sana kila sehemu ya matukio mnaanza kuongea mara ooo matukio mengine inatakiwa atumage wawakilishi. Yaani mnakuwa kama popo vile hamueleweki kama ninyi ni wanyama au ndege.,
Kama una shida ya kiofisi nenda ofisini na siyo kupiga mayowe na makelele yako humu.Narudia tena wewe si PA (personal assistant) wa kiongozi wa Nchi! Huwezi kung'ang'ania upuuzi wa kumlinda Rais wa jamhuri ya Muungano! Ni mali yetu au kifupi ni kinyago tulichokichonga wenyewe tunza mshono!
Tuna historia mbaya sana kwa JPM nyie chawa mlihemka hivix2 hadi tukapata habari mbaya! Sasa tunasema hivi "Give us a break" kunguni wakubwa
Maria Sarungi-hivi aliolewa akaachika?Sijamsikia siku mbili hizi.
Hakuongoza kikao cha Kamati Kuu Unguja.
Siku hizi wapo watu wengi wanautamani urais,kwa hiyo rais akitoweka lazima tuulize
He'quaram muhimAcheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Kwani wapi katiba iliposema kuwa kazi ya Rais ni kujionyesha hadharani kila siku kama bango la matangazo? Kama una shida naye nenda ofisini kwak