Rais Samia yuko wapi?

Rais Samia yuko wapi?

Jibu hoja mpuuzi wewe, hizo teuzi zake na hamisha zinatija gani kwa wananchi zaidi gharama, mtu anateuliwa baada ya miezi 2 ana hamishwa, unajua gharama za kumteua DC/DAS/DED n.k? nyie UWT hamna akili
Tangia lini na wewe ukawa na hoja ya kuhitaji kujibiwa? Tangia lini na wewe umeanza kujitambua? Tangia lini na wewe ukawa na ufahamu wa masuala ya msingi na uelewa? Wewe ulishavurugwa akili yako na kupofuka akili yako.
 
Tangia lini na wewe ukawa na hoja ya kuhitaji kujibiwa? Tangia lini na wewe umeanza kujitambua? Tangia lini na wewe ukawa na ufahamu wa masuala ya msingi na uelewa? Wewe ulishavurugwa akili yako na kupofuka akili yako.
Taja faida za hizo teuzi, tengua, hamisha n.k, maisha magumu hata nyie UWT mnapambana nayo, sahivi kila kitu kimepanda mara 3 ya bei ya mwaka 2021, nyama choma nao ni elf 15, UWT wangapi wanaweza kununua?
 
Unafikiri naye hana kazi za kufanya kama wewe na kukalia umbeya kama wewe? Unaacha kufanya kazi unakalia umbeya wako hapa halafu baaadaye unaanza kusema maisha magumu,.sijuwi unataka uletewe chakula na kulishwa kama kinda la ndege?
Kikao chenu Mwanza mnamaliza lini? safari hii mgeni rasmi ni nani? kilianza jana lakini mpo kimya sn
 
Acheni ujinga wenu na utoto wa kijinga.mnataka aonekane muda wote hadharani kwani yeye amekuwa jua? unaposema habari za kuhudhuria kikao cha kamati kuu, kwani ni lazima aongoze vikao vyote yeye. Nini maana ya uwepo wa makamu zake wenyeviti. Acheni ulimbukeni na ushamba wenu. Kama huna cha kuandika si bora ukae kimya tu.
Na wewe upunguze sasa kiherehere.
 
Back
Top Bottom