Rais Samia yupo Afrika Kusini, kapotezea kumbukizi ya Hayati Magufuli?

Rais credible hawezi kupoteza muda kuadhimisha kifo cha DIKTETA ambaye alikuwa adui wa demokrasia, utawala wa sheria na muuaji. Hizo sherehe fanyeni wenyewe chini ya uangalizi wa Bashiru Ally
 
Acheni mambo yenu. Mama piga kazi Wala usiwasikilize hawa wajinga na wabagizi.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kakwepeshwa na mshika rimoti. Si unajua ye king'amuzi tu. Hana alijualo zumbukuku ulimwengu upo huku.
 

Yaani angebaki hata Magu alipo angemshangaa! Yaani ubaki kulia lia inasaidia nini nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…