Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,636
Kusema ukweli ndo ubaguzi?Yaani nyie mna laana ya ubaguzi. Na hii dhambi itawatesa sana.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema ukweli ndo ubaguzi?Yaani nyie mna laana ya ubaguzi. Na hii dhambi itawatesa sana.
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Maadhimisho gani hayo mnayozungumzia!!Kwani kuna ubaya gani kwake kuwepo kwenye maadhimisho ya mara moja kwa mwaka?
Huko Afrika Kusini ameenda kufungua nchi au kuifunga?
SUKUMA GANG WAJINGA SANA WANAMWONA MAGUFULI KAMA YESUKwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Kumbukeni Jiwe alikufa akiwa MadarakaniKwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
MAJIPU .....mna hasira utafikiri aliewapasua bado yupo[emoji16][emoji16][emoji16]kwani kwa nyerere na mkapa anaendaga nani??
Acha kutuchosha na Juha wenu
Kesho asubuhi Rais atakuwa amesharudi Tz. Huenda akawepo huko Chato kama kuna shughuli ya kitaifa ya kumbukumbu ya mwendazake.Kesho ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Ya mkapa inafanyika mkuu tena katika viwangi vikubwa sana nadhani kuliko marais wote kupitia ile BM Foundation in two or three days of discussions.Kwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Kwahiyo atafufuka?? Unakatwa sio bureKiongozi aliyekufa akiwa madarakani sio mchezo. Ni mara ya kwanza kwa taifa letu.
Yule hakustahili kuzikwa ilifaa atupwe baharini kama Osama bin laden laanah matullah yule.Mhutu mjomba wako wa shangazi yako
Shida yako Uislamu umekula akili yakoKwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Si mlisema sijui system inaandaa RAIS mara sijui CCM Ina succession management kuliko upinzani mara sijui chuo Cha viongozi ni CCM. Sasa kivipi Tena unayemuita zumbukuku amekua Rais? Kumbe hakuna Cha system Wala succession management.Kakwepeshwa na mshika rimoti. Si unajua ye king'amuzi tu. Hana alijualo zumbukuku ulimwengu upo huku.
Magufuli ni nani nchi hii mpaka awe na kumbukizi. Unawashwa?Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
lidikteta lilikuwa pumbavu sana, sukuma gang wapambane wenyewe.Mwache aende tushamjua sio mwenzetu huyo pengine angetuharibia sala na vijana wake wa chadema.