Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za Mkapa kaachia madaraka na JK kuingia,hapa palikuwa hapatoshi na mada za Mkapa na kashfa za Kiwira,tan green na nyingine tele kama ulikuwepo hapa enzi za 2006-2010.JPM atapumzishwa siku aliyepo madarakani atakapompisha mwingine,mashambulizi yataelekezwa kwa aliyetoka madarakani.Ni kawaida hapa JF.Tofauti na JPM, mada za Nyerere, Mkapa humu JF hoja -ve ni za kuhesabu. Utasoma hata +ve tatu au nne kabla hujakutana na -ve. JPM +ve nyingi unakuta kuna -ve imereply tena kwa hasira na wakati mwingine lugha isiyofaa.
KAMA SIO WATU WALE WALE NA ID TOFAUTI, BASI INAONYESHA HUMU JF WATU WENGI WALIUMIZWA NA UTAWALA WAKE.
Kipindi fulani hivi cha mihemko.Enzi za Mkapa kaachia madaraka na JK kuingia,hapa palikuwa hapatoshi na mada za Mkapa na kashfa za Kiwira,tan green na nyingine tele kama ulikuwepo hapa enzi za 2006-2010.JPM atapumzishwa siku aliyepo madarakani atakapompisha mwingine,mashambulizi yataelekezwa kwa aliyetoka madarakani.Ni kawaida hapa JF.
Sahihi kabisa.Unaona sasa hivi SSH wanashikwa na ka uoga flan kwakuwa yupo madarakani.Subiri atoke madarakani endapo tutajaliwa uhai,ndiyo JPM atapumzishwa wanahamia kwa SSH.Utakumbuka hii comment yangu.JF inafurahisha sana [emoji3]Kipindi fulani hivi cha mihemko.
Na upo vizuri kwenye hili.Utakumbuka hii comment yangu.
kwani wewe umezuiwa kwenda chato? usituchosheKesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
G
Google translate haijakusaidia unaonesha wazi hiyo lugha imekupiga chenga.
Jifunze Qur'an utakielewa Kiarabu.Maskini umejibu kipole,google translate ndo mpango mzima. Hio lugha ya watu ntakua nakujibu hivyo daily
Jifunze Qur'an utakielewa Kiarabu.
Si unaona huelewi unajifanya unaelewa.Kwa Yesu kuna kila kitu. Kiarabu ni lugha kama kiswahili tu hakina cha kujifunza kwa kitabu kisichonihusu
Uncle Kunani 🙏Ziarae hajipangii zinapangwa na idara!!
Wameona ni sawa akiwa HUKO KWA SIKU ya KESHO!!
Jiulize BT YUPO wapi!!?
Tusubiri itakavokua Hapo KESHO!!
Polepolee alikuwa mjinga sana 🤣Si mlisema sijui system inaandaa RAIS mara sijui CCM Ina succession management kuliko upinzani mara sijui chuo Cha viongozi ni CCM. Sasa kivipi Tena unayemuita zumbukuku amekua Rais? Kumbe hakuna Cha system Wala succession management.
Urais wa Samia umewaumbua wanafiki wote. Yukwapi Polepole aliyesema ana master plan ya CCM kutawala Hadi 2075!! 🤣🤣🤣
kwani kwa nyerere na mkapa anaendaga nani??
Acha kutuchosha na Juha wenu
Safi sana.
Nataman iwepo siku ya kulichapa viboko kaburi!
Si unaona huelewi unajifanya unaelewa.
Qur'an inamhusu kila mtu. Qur'an ni kwa walimwengu wote kwa wakati wote.
Soma.
Aliambiwa COVID-19 is Real, akaleta ujuajiKiongozi aliyekufa akiwa madarakani sio mchezo. Ni mara ya kwanza kwa taifa letu.