SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ajabu,umeuliza swali mjarabuKwani lazima iwe kila mwaka?
Na kumbukumbu ya Mkapa je?mbona hamuulizi??
Sio lazima mpaka aseme, tarehe ya tukio inajieleza.Alikwambia kuna maadhimisho nani??
Hebu tumuache Mhe. Rais afanye kazi na tumuache Hayati JPM apumzike kwa amani. Haya maneno kila uchao yanachukiza sana. Tusimtumie Hayati kuleta ufa ktk taifa. 🙏🙏🙏Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Hana mda wa kijinga huo,kumbukizi unaweza fanya mwenyewe.Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Dead men don't count.Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Inashangaza nini?Inashangaza
Inashangaza nini?
Google translate haijakusaidia unaonesha wazi hiyo lugha imekupiga chenga.الذعر ليس مفيدا لصحتك
kwani hata asipokuwepo kwani yeye ni Mungu?Awzaye yeye Mungu hawazi hayo.kila jambo na wakati wake.Kesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
mbona hata marehemu wako unawafanyia kumbukumbu kila mwaka kwani wao ni nani?Kwanini ifanyike kila mwaka kwamba akifanyiwa kumbukumbu atarudi mtu ameenda ameenda tu maisha lazima yaendelee
BREAKING: Taarifa zinazidi kuzagaa, kwa Mzee Rhuksa Mikocheni kuna movements ambazo siyo za kawaida. Usafi unazidi kufanywa na watu wanaingia na kutoka wengi. Kuna kitu kinaendelea ambacho hatukijui au halijawekwa wazi kwa Umma. #TanzaniaLeaksKesho Machi 17 ni miaka miwili ya kumbukizi ya hayati Magufuli.
Rais Samia yupo nje ya nchi, je amekwepa kwa makusudi au bahati mbaya kwenye kumbukizi ya mtangulizi wake?
Ikumbukwe mwaka jana waliadhimisha Rais Samia pamoja na Kaguta Museveni huko Chato. Mwaka huu kulikoni?
Moja jpm amefia akiwa madarakaninKwani ni lini ulisikia kumbukumbu ya Mkapa?