Rais Samia Ziarani Namibia

Rais Samia Ziarani Namibia

Inasikitisha sana siyo Afrika tu ni dunia nzima sema tifayti yetu na wrngine ni kuw sisi tunagombanishwa wenyewe kwa wenyewe na mabwana wakubwa.

Mfano unaiskia kuhusu Sudan, walianza na Sudan Kusini wakawa wanawapa silaha makundi kule kwa kisingizio cha dini.,mpaka uongizi wa nchi ulipostuka ukasema isiwe shida, chukuweni kusini mjitawale.

Wakaanza tena kuwapa silaha vikundi huko Kusini, paditawslike na yeyite atakaetawala anazilioia hizo silaha, wakaona haitoshi na huku
Kaskazini mali zipo, walkalianzisha la Janjaweed, la janjaweed kustukiwa wameanzisha vikundi kibao wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa ahadi za uongo wanazowapa kika kikundi kuwa watwaunga mkono mpaka wadhije madaraka, sababu yake unaijuwa?

Ni mafuta na hii...

View attachment 2613977
Wewe bibi leo umempa nani simu


USSR
 
Inasikitisha sana siyo Afrika tu ni dunia nzima sema tifayti yetu na wrngine ni kuw sisi tunagombanishwa wenyewe kwa wenyewe na mabwana wakubwa.

Mfano unaiskia kuhusu Sudan, walianza na Sudan Kusini wakawa wanawapa silaha makundi kule kwa kisingizio cha dini.,mpaka uongizi wa nchi ulipostuka ukasema isiwe shida, chukuweni kusini mjitawale.

Wakaanza tena kuwapa silaha vikundi huko Kusini, paditawslike na yeyite atakaetawala anazilioia hizo silaha, wakaona haitoshi na huku
Kaskazini mali zipo, walkalianzisha la Janjaweed, la janjaweed kustukiwa wameanzisha vikundi kibao wanauwana wenyewe kwa wenyewe kwa ahadi za uongo wanazowapa kika kikundi kuwa watwaunga mkono mpaka wadhije madaraka, sababu yake unaijuwa?

Ni mafuta na hii...

View attachment 2613977
Ninachoona pia hii ni matokeo ya Afrika kuwa na viongozi wabovu, ndo maana inakuwa ni rahisi kuwa compromised. Mfanoi issue ya Sudan, huyo General Daglo alikuwa ni kiongozi wa Janjaweed kikundi ambacho Al Bashir mwenyewe alikuwa anakiunga mkono
 
Karibu namibibia,windhoek

Najuwa kukaa kwako hapo diku 1,2,3

Mtajifunza vitu kadhaa

Ova
 
Nawaza tu watanzania hapo tulitaka mama atume mtu kwenye sensitive meeting kama hiyo au sijaelewa?

Kama mnakumbuka enzi ya Jiwe, mikutano karibuni yote ya SADC alikuwa anamuachia Samia kuhudhuria hivyo Samia was almost a fixture at these meetings! Ni muhimu sana yeye kuhudhuria kutokana na uzoefu wa yale yanayojadiliwa!!
Huwezi kumfananisha na Vasco Dagama aliyekuwa anamchukua mkewe kwenda kubembea tu!!
 
Back
Top Bottom