Bashiru alikuwaga GS wa chama. Cheo kilijifuta automatically alipoteuliwa kuwa KMK na kuhamia ikulu, serikalini.Sukuma gang ikiongozwa na Ndugai, Gwajima na Bashiru (GS wa ccm)
Acha fikra mfu hizo, nani wa kumnyang'anya hiyo kadi? Kikao gani cha kuidhinisha hilo? Waangalie makamu wenyeviti wa Chama walivo na utulivu wa akili,Kumbukq huyu hajapewa uenyekiti wa chama. Huwa ni ngumu akiwa na kofia mbili....ya chama na serikali.
Kwa jinsi Samia alivyo hivi sasa, CCM wakimpoka kadi tu hana issue
Ok. Tuwekee kufungu
👃👃👃Uchonganishi, vijana Acheni fitina. Mlichopanga hakitakua abadan.
Kila karata mtakayocheza itabuma. Mmekua wachawi siku hizi. Na Mungu atawachapa na kuwasambaratisha kila mtu njia yake.
Ndugai hana akili kujaribu kuwashawishi eti Wabunge wampigie vote of no confidence SASHA; hajui kuwa SASHA ana powers za kudisolve bunge kabla ya kupiga hiyo kura yao!!Kwanini turudie uchaguzi kisa ndugai plus unnecessary cost?
Hivi hawawezi kumvizia akienda nje ya nchi wakamuhujumu? Mama tunakupenda kwahiyo wasome vizuri step zaoNdugai hana akili kujaribu kuwashawishi eti Wabunge wampigie vote of no confidence SASHA; hajui kuwa SASHA ana powers za kudisolve bunge kabla ya kupiga hiyo kura yao!!
Ningefurahi kama spika angetimuliwa kazi
Ewe Mola wetu Mtukufu,uliyeumba mbingu na nchi tuna nyanyuwa mikono yetu juu kukuelekea wewe kukuomba bunge hili livunjwe turudi kwenye uchaguzi ili tupate viongozi tunaoridhika nao.
Ngoja tuone Mkuu kuna mvutano mkubwa sana wa kukamata usukani.
Kama anafikiria hivyo ataondoka Ndugai ataondoka asubuhi tu. Mwenyekiti was chama ataamuru wabunge wa CCM wakae kama caucus na kupitisha hoja ya bunge kutokuwa na imani na spika. Mwisho wa game. Usicheze na Rais. Kwa katiba hii ana nguvu kweli kweli!
Hivi akilivunja yeye naye si itabidi agombee urais ? Au ikoje?
Wapi ushahidi mwanangu?Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Sema wewe ndo huna imani, kibali cha kutusemea nani amekupa mkuu..Kama ndugai atafanya hivyo atafanya jambo lililojema sababu sio yeye tu na wabunge hata wananchi hawana Imani nae kabisa huyo Mama
Siku hizi ni kukaa chonjo....Alafu watu wazima na akili zao humu wanasoma na kuamini huu upuuzi...maana naona komenti za kijinga kabisa yaani mtu hajishughulishi kufikiri