Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Inabidi tujitambue, tuache matumizi mabovu kama;
-Goli la mama
-Ununuzi wa magari holela ya viongozi
-Ununuzi wa MABASI YA CCM☹️
-N.K

Kinyume na hivyo tujiandae kuzika/kuzkwa.
CCM Haijali alimradi yao yanawaendea nyie mtazikana tu. Kifo ni Kifo tu
 
Umeongea ukweli kabisa, kwa ufupi tunaweza sema ni wabinafsi

Marekani itatummia Kila njia kuhakikisha pesa zilizokuwa zinatolewa kama misaada zinawezesha watu wao ndani kwanza
China hachangii kwenye uzembe wako unaokuletea magonjwa na njaa.
China anakusaidia mambo ya uchumi ujikomboe mfano rail ya TAZARA n.k.
Just be responsible for your actions, stop unprotected sex or abstain, observe hygiene and good health practices, work hard to obtain good shelter and proper diet.
 
Yoooh we are going to die😥😥😥
 
Tuanzishe viwanda vya arv na condoms zetu wenyewe
 
Acha nimrudie Mungu sasa wakisitisha huduma nimekufa mimi😭😭
 
Nachukizwa na hii tabia ya kutembeza bakuli.. Kuwa ombaomba.. Misaada ni utumwa🤬
Mi nachukizwa zaidi na mabango yanayonesha kwamba "matundu haya ya Choo yamejengwa kwa msaada wa Watu wa Marekani". Of all things, shitholes!!
 
JPM ???????

Angalau kwa hili alikuwa sawa?

Kuanza kujaribu kutubadilisha fikra zetu kwamba hakuna mjomba wala shangazi wa kutusaidia kuleta maendeleo bali inabidi tukomae sisi wenyewe na makinikia zetu?
Huyo kiumbe ali haribu kabisa nchi yetu, bora Mola alivyoingilia kati
 
Kama haogopi wanachama wa NATO watamaindi vipi akiichukua Greenland atashindwaje kujitoa WHO? Ajitoe tu hata UN kama anaona marekani ndio inachangia hela nyingi kuliko mataifa mengine
 

Hivi wewe unafanya utafiti coz mimi nina watu nawafah wamepona magonjwa sugu kwa dawa za kiasili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…