Mjinga baba ako ...............unakuwa na mahaba mpaka unasahau jinsia yakoKwa maelezo haya ni halali tu Marekani kujitoa WHO maana ni kama wanatoa misaada ya kiafya kwa wajinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga baba ako ...............unakuwa na mahaba mpaka unasahau jinsia yakoKwa maelezo haya ni halali tu Marekani kujitoa WHO maana ni kama wanatoa misaada ya kiafya kwa wajinga.
Tatizo sio mimi wewe pereka lawama kwa Trump...........hamuwezi kuwa zaidi ya bilioni harafu mkalipa ada ya Tanzania who .....wakati sisi tuko milioni 60....................jitambue weweUnaandika ujinga sana
Uko sahihi kulingana na uelewa wako, I won't complain.Mjinga baba ako ...............unakuwa na mahaba mpaka unasahau jinsia yako
Tutarudi kwenye mwarobaini na kujifukizaWamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
🤣🤣Duh wakigusa kwenye network ya Njugumawe tumeisha😁
Hakujali,aliondoa ruzuku ya kilimo,alizuwia uuzaji mazao nje hivyo wakulima kuuza bei za chini,hakuajiri,hakupandisha watumishi madaraja,aliporomosha (ukuaji wa) uchumi, trillion mbili zilipoteaUsiende huko kwenye ad hominem attacks na vitu ambavyo havina hata mantiki mkuu. Ukabila unaingiaje hapa? Yaani katika hoja yangu yote wewe ume-infer ukabila tu?
➡️➡️➡️ Ni kweli Magufuli hakujali maslahi ya Tanzania na Watanzania?😳😳😳
Sad!
Hapa ndio utajua china sio taifa tajili kabisaa...........utajili wa china uko kwa uwingi wa watu tu na sio pesa...............labda na kutuuzia yale makoro koro yao fake........na kuchukua mitonyo yetu original...........ndio maana mi niliwapenda waliokuwa wanawatandika makontena ya michanga na kuwaambia hizo ni korosho
Likija swala la uchangiaji kwenye mashirika ya kimataifa, China huwa inajiweka kwenye kundi la nchi zinazoendelewa sawa na Tanzania. Hata mchango inaotoa mara nyingi huwa specifica kwa mambo yanayoihusu yenyewe, haingizi hela kwenye pool.
Ni lini Trump amekemea ushoga?Hapepesi macho katika kukemea vutendo vya ushoga
Unataka kureta ujuaji wakati Trump ndio kazalisha hii shida ..........mbona kama unataka kunizoea wakati inawezekana nakupita kira kitu mpaka dhambi .......maana hata hapa jamii forum wewe huna miaka hata 3 unaanza kureta mazoea ya panya buku.................matako ndio niliyompendea mama yako ..........nenda kamuulize faida yakeUnaongea ujinga sana, tumia akili badala ya matako unapojenga hoja
Unataka kureta ujuaji wakati Trump ndio kazalisha hii shida ..........mbona kama unataka kunizoea wakati inawezekana nakupita kira kitu mpaka dhambi .......maana hata hapa jamii forum wewe huna miaka hata 3 unaanza kureta mazoea ya panya buku.................matako ndio niliyompendea mama yako ..........nenda kamuulize faida yake
Iangalie vizuri hiyo chati, Magufuli hakuwepo kuanzia march 2021 - october 2021, hivyo pesa alizokopa ni 26.1 Tr (yaani 72.3-46.2).Now we are talking. Hii ni miaka 6. Alikopa trilioni 36 na kufanya maajabu. Mama kaongeza tu trilioni tungapi tangu aingie?
Wewe ni shoga, na huna marindaNi lini Trump amekemea ushoga?
TheoryNimeambiwa ni Kampuni(Tasisi) yao. How True is that?
Umeelewa swali?Wewe ni shoga, na huna marinda
Mnunue wenyewe au hao wanaozihitaji wagharamie wenyewe.Wamejitoa!?!?sasa ARV itakuwaje?
Labda itasaidia kuwaogopesha watu na kupunguza maambukizi mapyaNaona pia ARV zitaanza kuuzwa sasa maana WHO wamepungukiwa mchango wa marekani.