Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Rais Trump amesaini amri ya kuiondoa Marekani kwenye uanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO)

Unaandika ujinga sana
Tatizo sio mimi wewe pereka lawama kwa Trump...........hamuwezi kuwa zaidi ya bilioni harafu mkalipa ada ya Tanzania who .....wakati sisi tuko milioni 60....................jitambue wewe
 
Usiende huko kwenye ad hominem attacks na vitu ambavyo havina hata mantiki mkuu. Ukabila unaingiaje hapa? Yaani katika hoja yangu yote wewe ume-infer ukabila tu?

➡️➡️➡️ Ni kweli Magufuli hakujali maslahi ya Tanzania na Watanzania?😳😳😳

Sad!
Hakujali,aliondoa ruzuku ya kilimo,alizuwia uuzaji mazao nje hivyo wakulima kuuza bei za chini,hakuajiri,hakupandisha watumishi madaraja,aliporomosha (ukuaji wa) uchumi, trillion mbili zilipotea
 
Hapa ndio utajua china sio taifa tajili kabisaa...........utajili wa china uko kwa uwingi wa watu tu na sio pesa...............labda na kutuuzia yale makoro koro yao fake........na kuchukua mitonyo yetu original...........ndio maana mi niliwapenda waliokuwa wanawatandika makontena ya michanga na kuwaambia hizo ni korosho
Unaongea ujinga sana, tumia akili badala ya matako unapojenga hoja
 
Likija swala la uchangiaji kwenye mashirika ya kimataifa, China huwa inajiweka kwenye kundi la nchi zinazoendelewa sawa na Tanzania. Hata mchango inaotoa mara nyingi huwa specifica kwa mambo yanayoihusu yenyewe, haingizi hela kwenye pool.
Hivi una akili sawasawa?

Hujui kuwa China ndio machangiaji mkubwa namba 2 baada ya Marekani katika bajeti za mashirika ya U.N

Tatizo kubwa la Watanzania ni kubwabwaja bila fact

Katika kila msaada unaopata kutoka mashirika ya U.N ujue Mchina ameshakuchangia maskini wewe

 
Unaongea ujinga sana, tumia akili badala ya matako unapojenga hoja
Unataka kureta ujuaji wakati Trump ndio kazalisha hii shida ..........mbona kama unataka kunizoea wakati inawezekana nakupita kira kitu mpaka dhambi .......maana hata hapa jamii forum wewe huna miaka hata 3 unaanza kureta mazoea ya panya buku.................matako ndio niliyompendea mama yako ..........nenda kamuulize faida yake
 
Huu uzi kuna watu unawakwangua marinda sana ..........utadhani wana hata ndugu marekani au china.............sijui nini kinawawasha au sababu wameambiwa ARV zitakuwa hakuna tena za bure??...........hata mkinuna hiyo NHIF yenu inawapa msaada gani wakati hata ukiwa nayo na dawa upati na mko kimyaa kama mnachambia mrenda............tulia dawa ikuingie kumuona daktari utatakiwa kutoa 35 .........au 50 ......na utalipa kisha vipimo pia utalipia kama ni yutiyai au gono.......utajua mwenyewe........kisha utarudi kwangu nakuchorea dawa .........utaenda dukani pia utatoa pesa ndio akili yako itakaa sawa..........Trump kama mjumbe tu hauwawi
 
Unataka kureta ujuaji wakati Trump ndio kazalisha hii shida ..........mbona kama unataka kunizoea wakati inawezekana nakupita kira kitu mpaka dhambi .......maana hata hapa jamii forum wewe huna miaka hata 3 unaanza kureta mazoea ya panya buku.................matako ndio niliyompendea mama yako ..........nenda kamuulize faida yake
Unajisifu kuwa kwenye mtandao wa kishamba kama huu kwa miaka mingi, una ujinga mwingi wewe jamaa

Nimekuchana kwa sababu hoja yako ni pumba tupu
 
@naombamkuje all those who are thinking critically...............do you know the meaning of this forum or are you just being ridiculous........this forum is not your living room where you can give orders on what to do and talk.......and someone can contribute anything and everything they see fit now where do you find the opportunity or reason to bring your own bias into someone's argument......??do you want them to do what you see fit for you were all born in the same family or are you smarter than all the people who joined this community forum? First of all, you just joined yesterday, you haven't even been here for 5 months, you want to compete with Doni Cincinnatti, who I joined in 2010.........at that time, you are in a hurry, even though you don't know the city well, you are just wondering about the apartments, you idiot..........you learned the Internet yesterday, you have no brain, you idiot, I own nothing in this world except your ass, stay calm.......I have been using the Internet since 1998...........you have nothing to say to me, you ass.......just because even the fees for my last child, where is the money, you idiot, you haven't been paid for a month yet
 
Now we are talking. Hii ni miaka 6. Alikopa trilioni 36 na kufanya maajabu. Mama kaongeza tu trilioni tungapi tangu aingie?
Iangalie vizuri hiyo chati, Magufuli hakuwepo kuanzia march 2021 - october 2021, hivyo pesa alizokopa ni 26.1 Tr (yaani 72.3-46.2).
Hizo 10Tr kwa miezi saba ni za Samia, hii inaelezea kwanini kutoka March 2021 mpaka sasa tumekopa pesa nyingi kuliko jumla ya walizokopa marais wote toka uhuru.
 
Back
Top Bottom