Uko sahihi, 'oratory' lina maana zaidi ya moja.An orator muongeaji au sio mkuu? Samahani kama nime kosea ni sahishe mkuu.
Uyo puto wenu anakitu anaweza Fanya kauli tu moja ya YEMEN hiii inamana Iran kashotoa ruksa MOTO na uwake apo sasa ndio Utajua uyo mlokole wenu ni PUTO tu anaogopa kushindano tu.. toka kala kona kule Iran Watu Washamsoma akikaza nww kaza YEMEN kashatoa sindano!!!!!!Jumapili Mziki unaanza tena mpaka Hamas waishe.
Una picha ya trump akilia ?TELAVIV Wataanza upya kulala kwenye mashimo na Mipanya!! Uyu Tramp aliwai kuwatisha IRAN kumbe Iran ni zaidi ya muuni alichofanywa adi Leo Tramp analalamika Iran wapo kwenye Mpango wa kumuuwa analia Tramp!!!!! Nilitegemea ataanza na Iran !!!!
Imependekezwa wapelekwe hukuRais wa Marekani Donard Trum amesema kuwa endapo hadi kufika Tarehe 15 Febuari siku ya Jumamosi saa sita mchana mateka wa Israel waliotekwa na Hamas hawajaachiwa kutatokea athari kubwa.
Trump akizungumza Washngton jana tarehe 10 Februari 2025 alipokuwa akiongea na waandishi wa habari.
Trump ameonesha wasiwasi wake kuwa mateka wengi wameua ndio maana zoezi la kuachiliwa linasuasa.
“Ikifika Jumamosi saa sita mchana hawajachilia Hamas watajua na nyinyi mtajua”
Wachambuzi wa masuala ya vita wanatabiri kuwa hii kauli ya trump ni hatua ya utekelezaji wa kuwaondoa wapalestina wote waondoke.
Pia kama hamas watakubali kuwaachia mateka wote basi watakuwa ni waoga na watakuwa wamekubali kucheza mziki wa trump na kama watakuwa wabishi basi tutegemee Gaza kuangamia na kuelekea kuzimu
View attachment 3233087
Kwema mkuu?Uzuri Wanaume Halisi Huwa Hawatishwi Na Mashoga.
pale ghaza hakuna anyeogopa kufa, Bora uniite gaidi yani umemuaa baba yangu, mama, dada, kaka pengine na mtoto wangu then niogope kufa
Upo mkuu? Nakuona kwa mbaalii unavyong'aang'aa macho.Uzuri Wanaume Halisi Huwa Hawatishwi Na Mashoga.
Hata Magaidi wa Kihouthi nao dawa yao inatokota.Uyo puto wenu anakitu anaweza Fanya kauli tu moja ya YEMEN hiii inamana Iran kashotoa ruksa MOTO na uwake apo sasa ndio Utajua uyo mlokole wenu ni PUTO tu anaogopa kisindano tu.. toka kala kona kule Iran Watu Washamsoma akikaza nww kaza YEMEN kashatoa sindano!!!!!!
Ayatollah alileta ujuaji maandazi Biden akasogeza jirani yale madude, B-52, akalialia na kuufyata chap.Mbona apigi IRAN tumuone kweli yeye ndio kiongozi wa Ile USA ya zama zileee!!
Upo vizuri sana katika mawazo yako.Huyu ni oratory mropokaji ila sio ntekelezaji, walisha mzoea
Killing innocent civilians doesn’t make you a heroDunia inaenda kushuhudia kichapo Cha mbwa Koko pale Gaza rasmi
Mbona mziki ukianza wanavaa kiraia?Hayo mauniform yao wanayavaaga kwenye parade tuu?Hamas hawana cha kupoteza hao jamaa sloga Yao inasema "ukitupiga unatuonea na ukituacha unatuogopa kufa kwetu ni sherehe" watu kaa Hawa ku deal nao unahitaji kuwa na roho ya Hitler au Idd Amini.
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka sanaaMasikini ya Mungu hata kuandika tu kiswahili hujui, eti unatoa ushauri wa kivita. Mudi aliwatapeli sana kudeal na elimu ya ahera kuwa mtapewa mabikra 72 so elimu dunia haina maana. Angalia ulichoandika sasa
Mkuu katika sehemu zote umeona uchekee chooni?
Kwema MaalimUpo mkuu? Nakuona kwa mbaalii unavyong'aang'aa macho.
Kweemaaa?
View: https://youtube.com/shorts/_JZwtSJl_mI?si=64Ti01B4CdzmqcbA
badei