Vijana wote wa Congo wana ndoto za kuwa wanamuziki kama vile fally pupa, kofii nk. Hayo mambo ya kujiunga na jeshi hayapo katika akili zao. Labda Tshisekedi apeleke ndugu zake na watoto wake jeshini.Vijana wa DRC watakiwa kujitayarisha kwa mapigano ya kumtoa dictator mchonganishi na snitch
Maswala ya vita yaache tu yaani unaweza dharau Ila ukatembezewa kichapo Cha karne na underdog wa dunia kwenye vita na usiamini.[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa mkuu. Mambo ya Kijeshi ni ya kukalia kimya tu. Yangekuwa marahisi basi urusi angeshaichakaza Ukraine ndani ya wiki mbili tu. Ila tizama vita inamaliza mwaka sasa.
Ndio maana sipendi kabisa kuongelea haya mambo
Namsubiri zuchu hapa Texas aje kutuburudisha sijui kama huko bongo mnalifahamu hili na tarehe 25 tunaye mwingine tena anaitwa kama sikukosea mbuso am very sorry if I despellVijana wote wa Congo wana ndoto za kuwa wanamuziki kama vile fally pupa, kofii nk. Hayo mambo ya kujiunga na jeshi hayapo katika akili zao. Labda Tshisekedi apeleke ndugu zake na watoto wake jeshini.
Kukamatwa hakupo ila kuuawa na shetani na majeshi yakeObviously mkuu, otherwise atakamatwa kiulaini kama kuku wa kizungu.
Vipi na Zuchu siku hizi anatumia mkorogo kama Kofii Olomide?Namsubiri zuchu hapa Texas aje kutuburudisha sijui kama huko bongo mnalifahamu hili na tarehe 25 tunaye mwingine tena anaitwa kama sikukosea mbuso am very sorry if I despell View attachment 2407668
Shekh tulia tutakujuzaShekh hapo msikiti wa Ikwiriri maulidi lini nije kulala ubwabwa na ngamia
Jitie dole unuseHapa Ikwiriri sisi tupo bize na MADRASA,mambo ya Congo hatunaga habari nazo
Shekh tulia tutakujuza
Omary kapata sponsor SaudiaUstaadhi omary bado yupo?
Lucas mwenyeweNimeishia kwenye huu uongo, soma shaba invasion na vita nyingine
Mkuu endelea kumuingiza maboya Tshisekedi, mwisho wa siku yatakayomkuta ni yeye sio wewe mzungumzaji.Ukiniuliza mimi kwenye vita kamili isiyo ya kujificha kati ya Rwanda na DRC nani anashinda nasema ni DRC endapo hakuna external influence baina ya pande zote mbili.
Congo ukitaka kuipima kwa kuangalia eneo lake la Mashariki utapotea, itazame nchi nzima hadi kule Magharibi. Mashariki ni kama imepotezewa na ina waasi wengi wanaojificha na kusumbua kila walijisikia. Wakipigwa wanavaa kiraia wanalima, wakipata support wanaanza mapigano. Ukija kwenye vita ya nchi na nchi hapo hujifichi, madaraja tunajua yalipo, kambi zilipo, airbase ilipo, HQ, defensive lines na mambo mengine.
Congo sio wazembe kuliko nchi nyingi za Kiafrika, tatizo lao wana rasilimali nyingi na bahati mbaya ya kunyonya na mataifa ya nje, ila nchi nyingi za Afrika hazina unafuu kijeshi kuwazidi. Hakuna nchi ina makundi ya waasi hadi 10 kama Congo ilivyo, logistics za kuipiga Congo kuanzia mpakani kwa Rwanda mpaka katikati ya nchi kule ni gharama kwa Rwanda. Rwanda kuipiga Congo sio rahisi hata kidogo