Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

Rais Tshisekedi siku zake zinahesabika

Vijana wa DRC watakiwa kujitayarisha kwa mapigano ya kumtoa dictator mchonganishi na snitch
Vijana wote wa Congo wana ndoto za kuwa wanamuziki kama vile fally pupa, kofii nk. Hayo mambo ya kujiunga na jeshi hayapo katika akili zao. Labda Tshisekedi apeleke ndugu zake na watoto wake jeshini.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisa mkuu. Mambo ya Kijeshi ni ya kukalia kimya tu. Yangekuwa marahisi basi urusi angeshaichakaza Ukraine ndani ya wiki mbili tu. Ila tizama vita inamaliza mwaka sasa.

Ndio maana sipendi kabisa kuongelea haya mambo
Maswala ya vita yaache tu yaani unaweza dharau Ila ukatembezewa kichapo Cha karne na underdog wa dunia kwenye vita na usiamini.

Hakuna vita nyepesi. Kama wamejiandaa kulea yatima na wajane wa kutosha basi wapigane.

Ni rahisi sana kuingia vitani sekunde tu ila vita haviishi ndani ya sekunde itachukua muda mrefu mambo kurudi kawaida
 
Vijana wote wa Congo wana ndoto za kuwa wanamuziki kama vile fally pupa, kofii nk. Hayo mambo ya kujiunga na jeshi hayapo katika akili zao. Labda Tshisekedi apeleke ndugu zake na watoto wake jeshini.
Namsubiri zuchu hapa Texas aje kutuburudisha sijui kama huko bongo mnalifahamu hili na tarehe 25 tunaye mwingine tena anaitwa kama sikukosea mbuso am very sorry if I despell
FB_IMG_1667651810707.jpg
 
Kwa namna yoyote ile Rwanda hawezi ipiga Congo, ila Congo ni raisi sana kuipiga Rwanda. Njia pekee Rwanda anaweza shinda vita na Congo ni kwa kumu eliminate Tshekedi, otherwise Rwanda mwenyewe hayupo tayari Kigali ifumuliwe aanze ijenga na upya.
 
Wee Mnyarwanda. Haidhuru. Lakini fanya utafiti kabla ya kujiandikia tu, pia jaribu kusoma kwa uhakika trends za dunia. Miaka, mawiki na hata siku hazifanani.
Safari hii kama Rwanda haita climb down, huenda mambo yakawawia vibaya. Afrika ndiyo hivyo: Ngoma ikisifiwa sana hupasuka!
 
Ukiniuliza mimi kwenye vita kamili isiyo ya kujificha kati ya Rwanda na DRC nani anashinda nasema ni DRC endapo hakuna external influence baina ya pande zote mbili.

Congo ukitaka kuipima kwa kuangalia eneo lake la Mashariki utapotea, itazame nchi nzima hadi kule Magharibi. Mashariki ni kama imepotezewa na ina waasi wengi wanaojificha na kusumbua kila walijisikia. Wakipigwa wanavaa kiraia wanalima, wakipata support wanaanza mapigano. Ukija kwenye vita ya nchi na nchi hapo hujifichi, madaraja tunajua yalipo, kambi zilipo, airbase ilipo, HQ, defensive lines na mambo mengine.

Congo sio wazembe kuliko nchi nyingi za Kiafrika, tatizo lao wana rasilimali nyingi na bahati mbaya ya kunyonya na mataifa ya nje, ila nchi nyingi za Afrika hazina unafuu kijeshi kuwazidi. Hakuna nchi ina makundi ya waasi hadi 10 kama Congo ilivyo, logistics za kuipiga Congo kuanzia mpakani kwa Rwanda mpaka katikati ya nchi kule ni gharama kwa Rwanda. Rwanda kuipiga Congo sio rahisi hata kidogo
Mkuu endelea kumuingiza maboya Tshisekedi, mwisho wa siku yatakayomkuta ni yeye sio wewe mzungumzaji.
 
Back
Top Bottom