DOKEZO Rais tuokoe Wananchi wako wa Dodoma Jiji juu ya dhuluma hii ya Mkurugenzi Jiji. Mkuu wa wilaya kashindwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
CCM, Chama Cha Madhulumati. Mmesha dhulumiwa
 
Katika mambo yanayoshangaza ni hili la wananchi kukabidhi ardhi waliyopewa na mungu kwa mamlaka walizozipa mamlaka wenyewe kisha kulia lia ..... Hivi kati ya mamlaka za Serikali na binadamu kwa maana ya wananchi walioikalia hiyo ardhi hata kabla ya uhuru ni nani mwenye haki ya kumhamisha mwingine?
Nadhani Katiba mpya itakapoandikwa hili suala la ardhi liangaliwe upya. Wananchi ndio wenye mamlaka ya kuiagawia Serikali ardhi ili ipange miji....sio kinyume chake!. 😲
 
Angalau mwanga unaanza kuonekana kwa mbaaali hongera jerry slaa..
 
Toka wasainishwe check huu unaenda mwez wa pili kimya...zaidi ya miaka kibao manyanyaso yanaendelea...hii nchi ngumu sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…