Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli.
Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.
Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.
Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!
Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.
Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.
Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.
Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .
Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?
Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh. Rais hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo.
Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.
Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.
Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!
Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.
Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.
Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.
Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .
Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?
Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh. Rais hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo.