Rais tupia Jicho malalamiko ya askari wako hayana afya kwa Nchi

Rais tupia Jicho malalamiko ya askari wako hayana afya kwa Nchi

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli.

Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.

Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.

Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!

Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.

Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.

Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.

Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .

Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?

Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh. Rais hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo.
 
Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli.

Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.

Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.

Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!

Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.

Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.

Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.

Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .

Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?

Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh.rais,,,,Hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo .
Wewe ni askari....tushakufahamu
 
Mnalinda nchi au politicians wa chama dola?human trafficking syndicates zinavusha mamia ya watu from Namanga border post hadi Mtwara na jeshi linalolinda mipaka lipo,majahazi yanashusha drugs kwenye bandari zetu bubu na jeshi lipo!timizeni kiapo chenu kwanza kwa haki.
 
Wanaojitolea kupigania haki zenu mnawapiga. Wakati wa uchaguzi mnawasadia kubeba kura za wizi mida hiyo huwa mnakuwa mmeahidiwa 20k sasa hivi mmekalia kuti kavu na familia zenu kwa ukali wa maisha ndo mnakuja mitandaoni. Kwa taarifa yako huu uzi hautawasadia chochote zaidi mtabanwa zaidi ya hapo. At least umekiri kuwa upinzani uliwafanya at least muongezewe posho, but ndo mnataka kuwafunga kwa kesi za uongo na ushahidi wa uongo. Kama vipi kila mtu ashinde mechi zake.
 
Ifike mahala majeshi yaheshimiwe na watawala na sivinginevyo! Wakubwa hawawezi kuthibiti askari wote raisi asikie kilio chao maana na wao wanafamilia zinazowategemea kuanzia elimu n.k.
 
Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli.

Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.

Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.

Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!

Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.

Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.

Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.

Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .

Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?

Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh.rais,,,,Hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo .
Isee sasa nyie mkilialia mitandaoni wakati nyie ndio wamiliki wa mi AK47 sisi uswahili tuwasaidieje fungeni mtaa
 
Wanaojitolea kupigania haki zenu mnawapiga. Wakati wa uchaguzi mnawasadia kubeba kura za wizi mida hiyo huwa mnakuwa mmeahidiwa 20k sasa hivi mmekalia kuti kavu na familia zenu kwa ukali wa maisha ndo mnakuja mitandaoni. Kwa taarifa yako huu uzi hautawasadia chochote zaidi mtabanwa zaidi ya hapo. At least umekiri kuwa upinzani uliwafanya at least muongezewe posho, but ndo mnataka kuwafunga kwa kesi za uongo na ushahidi wa uongo. Kama vipi kila mtu ashinde mechi zake.
Sio wote kuna Askari wengi smart sana
 
Kwani kuna ulazima wa kuongea na kudharau kada nyingine,,Nchi km ujerimani kada ya ualimu na afya ndo uongoza kwa kulipwa vyema,,waziri wenu alishasema wengi wenu UWEZO mdogo,,ova
Sijadharau mkuu ila ukwel ndo huo mwalimu anaweza kugoma na nchi ikawa tulivu japo watoto wetu watakosa msaada kielimu ila jiulize askari akigoma inakuwaje kwa usalama wa nchi!!!? Ndo maana nkaongea vile.
 
Niliandika asubuhi japo ujumbe haukuwa moja kwa moja kwako,,lakini uzalendo wangu umenituma kurudia tena kuandika,,,Mimi ni mwananchi ambae shughuli zangu hunifungamanisha sana na askari wa majeshi mbali mbali nafikiri toka kipindi cha Magufuli.

Binafsi sipendezwi na maneno ambayo yana malalamiko kuona yanatoka kwa askari ambae tunamtegemea akulinde wewe binafsi mh.rais ambae ni kiongozi wetu mkuu.

Askari hasa walioko wizara ya Mambo ya Ndani hasa polisi na Magereza nimewasikia mara nyingi wakilalamika kunyimwa posho zao za Maji na Umeme nadhani wewe Rais utakuwa unazielewa vema kuliko mimi,,,,wanadai labda kuna watu Wizara wanazuia posho hizo kwani wamezidai ziingizwe katika mishahara yao muda mrefu sana,,,,wanaenda mbali wanadai wewe utakuwa unalielewa vema swala hilo ila kwa sababu pengine hutambui mxhango wao ndo maana unakaa kimya.

Mh. Rais nchi yetu si maskini kiasi hicho kushindwa kuwahudumia askari wako!!!

Wakati mwingine nakutana na askari wa Jwtz nao wana malalamiko kwamba posho yao ya chakula haiboreshwi hivyo kuwapa ugumu kuendana na hali ya maisha ya sasa,,,wanasema mkuu wao amekuwa mtu wa kuwadhibiti badala ya kushughulikia maslahi yao.

Askari wanadai waliongezwa posho yao kipindi cha uchaguzi 2015 ambapo Lowasa alitingisha Nchi hivyo serikali ya ccm ikatoa kama rushwa ili kukilinda chama.

Mh.,mimi kama raia ambae nakutakia mafanikio nisingependa uyaache malalamiko ya askari yanaelea angani maana kinachoweza kutokea unakijua mama angu.

Kumbuka askari si mwalimu au nesi kusema akigoma utamuacha mpaka atakapo jisikia arudi kazini,,nadhani unawajua hawa wadudu walivyo wakorofi mama .

Lakini bado nafikiri askari wetu nao wamesahau kiapo chao cha Uvumilivu maana wameapa hivyo!!! Wengine wanasema hawajaongezwa mshahara toka 2015 mimi nilidhani ni kwa kada nyingine kumbe nao wamo!!!?

Mh.,Nakutakia kila la kheri katika utawala wako ,,,Usiruhusu askari wako wakuchukie,,,ni bora uchukiwe na makada wa chama ila siyo akari wako Mh. Rais hilo ni kundi la kwanza kujipendekeza kwalo.
Miaka yote walikuwa wanapata nini? Polisi sio spesho Sana kuliko watumishi wengine.
 
Kwenye kusimamia wizi wa kura kwenye chafuzi kuu nadhani mambo yenu huwaga yapo mswano sana, anyway watumishi wengine wana matatizo makubwa zaidi ya kutopanda madaraja na mishahara kwa miaka zaidi ya 7 na wengine wameondolewa kwa kisingizio cha vyeti feki na kuishia kukosa kila kitu hata mafao yao waliyokuwa wamechangia kwenye mifuko, ili hali nyinyi vyeti feki havikuwagusa ingawaje tunajua vimetamalaki huko.
 
Back
Top Bottom