Rais tupia Jicho malalamiko ya askari wako hayana afya kwa Nchi

Ushirika na Shetani haudumu
Pelekeni haya Malalamiko Lumumba CCM
 
Hivi polis wana lipi la ziada? Mbona walimu, mahakimu manesi na wafanyakazi wa kada mbalimbali hawana hizo posho? Au mnawapa posho wawaweke madarakani.yaani mnakujahapa kulalamikia hongo
 
Hivi polis wana lipi la ziada? Mbona walimu, mahakimu manesi na wafanyakazi wa kada mbalimbali hawana hizo posho? Au mnawapa posho wawaweke madarakani.yaani mnakujahapa kulalamikia hongo
Anzisha mada mpya kuwatetea uliowataja!! Kuwa na adabu acha kuyafaninisha majeshi na mambo mengine ni kada zisizofungamana kabisa
 
Hivi polis wana lipi la ziada? Mbona walimu, mahakimu manesi na wafanyakazi wa kada mbalimbali hawana hizo posho? Au mnawapa posho wawaweke madarakani.yaani mnakujahapa kulalamikia hongo
Unalala ndani wenzako wanakesha nje ndio wanakufanya utambe na keyboard Leo
 
Anzisha mada mpya kuwatetea uliowataja!! Kuwa na adabu acha kuyafaninisha majeshi na mambo mengine ni kada zisizofungamana kabisa
Polisi na nesi nani anatakiwa kupewa posho jamani? Hapa nawe unatakiwa uwe na adabu. Kila siku hawa watu wanalalamikiwa kubambika kesi rushwa na hata mauwaji, leo wanalalamia posho kweli uchwala kweli?
 
 
Polisi na nesi nani anatakiwa kupewa posho jamani? Hapa nawe unatakiwa uwe na adabu. Kila siku hawa watu wanalalamikiwa kubambika kesi rushwa na hata mauwaji, leo wanalalamia posho kweli uchwala kweli?
Rushanju toine magezi!! Ujinga wa polisi wachache usikufanye ulichukie jeshi la polisi zima,,,Unesi na Upolisi ni kada mbili zisizofungamana kabisa na unyeti wao unatofautiana pia
 
Rushanju toine magezi!! Ujinga wa polisi wachache usikufanye ulichukie jeshi la polisi zima,,,Unesi na Upolisi ni kada mbili zisizofungamana kabisa na unyeti wao unatofautiana pia
Walalamike pale watakapo kosa mshahara. Hizo posho zinaleta ukakasi kwa wafanyakazi wa kada tofauti. Kila.mfanyakazi ana umuhimu wake kazini kwake. Unaona tuendelee kuwaongeza posho kwa kuwa wana AK47?
 
Walalamike pale watakapo kosa mshahara. Hizo posho zinaleta ukakasi kwa wafanyakazi wa kada tofauti. Kila.mfanyakazi ana umuhimu wake kazini kwake. Unaona tuendelee kuwaongeza posho kwa kuwa wana AK47?
Pigania haki unazozikosa kisheria kama ambavyo askari wanapigania haki zao ambazo wanastahiki kisheria,,,,kama hazipo haki hizo utadai zanini na kwa sheria ipi!???
 
Watumishi wa umma wamekaa miaka 6 bila kuwajali.Ccm ya leo ni zimwi.
 
Vyovyot utakavyofikiria juzi kati niliandika kuhusu Walimu napo natakuwa mwl siyo!!?
Huyo aloandika siyo askari,amejivika uaskari tu kuchochea jambo.
Fanya utafiti huu.
Kabla ya 2015 haya malalamiko yalikuwa hai na kweli.
Baada yahapo waliheshimiwa sana kwa nyongeza kibao.
 
Nmesoma mpaka nilipofika kwenye neno mxhango badala ya mchango, nimeacha nafata mambo mengine
 
Polisi na nesi nani anatakiwa kupewa posho jamani? Hapa nawe unatakiwa uwe na adabu. Kila siku hawa watu wanalalamikiwa kubambika kesi rushwa na hata mauwaji, leo wanalalamia posho kweli uchwala kweli?
Magaidi yakitinga na LMG hospitali nesi atafanya kazi?
 
Hivi polis wana lipi la ziada? Mbona walimu, mahakimu manesi na wafanyakazi wa kada mbalimbali hawana hizo posho? Au mnawapa posho wawaweke madarakani.yaani mnakujahapa kulalamikia hongo
Hao uliowataja wote wenye hizo profeshino wanapatikana majeshini.
Lakini kwao huwapati askari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…