kifaulongo
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 1,033
- 458
Tukubari tumetia aibu. Hakukuwa na uchaguziKenya ni moja ya nchi ya hovyo sana tu katika historia ya ukombozi wa Afrika. Wao wakati Watanzania wakimwaga damu, jasho na kutapanya rasilimali ili kumkomboa mtu mweusi mwenzao, Kenya wakiongozwa na hayati Kenyata baba wa Uhuru walijifanya Wazungu weusi. Uhuru ananini cha maana kutuambia Watanzania. Tell him to shut up his offal mouth.
Asante saaaaaaanaMwambie huyo kidampa wa wazungu wakenya wangapi wamekimbia nchi na kwenda ughaibuni? Pili mwuulize nchi yake ina madeni kiasi gani? Tatu mwuulize kwa nini kwenye nchi yake kuna taasis nyingi za kikoloni ambazo zinawafanya wakenya walemae? Na yeye kama rais akiwa mstari wa mbele kuwa mnafiki? Nne na mwisho mwuulize hizo siasa zao za BBI zinamsaidia nani au tuseme ziko kwa manufaa ya nani?
Hii miaka mitano aliyo pewa Magufuli itatutosha kuwaonyesha wakenya nana ana mfumo mzuri wa kisiasa ambao unawanufaisha wananchi wake. Tanzania itakuwa Paradize. Uwezo wa kufikia huko tunao na nia ya kufikia huko tunayo pia. Wakenya na mabeberu wao watuache sisi wenyewe tufanye mambo yetu tunavyo taka. Hatutaki kuambiwa na mtu mwingine nini cha kufanya. Sisi ni wanaume ambao wengi wetu ni rijali na tumetairiwa. Hatubabaishwi na ukoloni mambo leo.
hahaha.. we jamaa una vitukoMungu ibariki Jamhuri ya watu wa Kenya
Wewe nimeshakuambia acha kuandika ujinga!Huo ni utoto!Kenya huwa hawavukagi chochote ndiyo maana walipojaribu kuivuka korona, sasa imewarudia tena kwa "car-sea."
Ushoga umetapakaa Afrika mashariki tangu zamani. Huyu bwana ana lake na TZ kuna kundi la wabunge majeruhi kutoka chama fulani wanataka ukimbizi awachukue wanadai wanapigiwa simu za vitisho pengine ni watoto ndio wanaopiga simuKatika kile unachoweza kutafsiri kama ni Kenya kuguswa na siasa mpya za Tanzania, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesistiza ustahimilivu wa kisiasa hasa kwa nchi zilizoizunguka. Amesema uchaguzi unafaa kuleta utangamano wa nchi na siyo kinyume chake.
Amedai kuwa siyo siri nchi zinazoizunguka Kenya hazina utulivu mzuri wa kisiasa kama ilivyozoeleka. Amedai kuwa kukosekana kwa utulivu kwa jirani ni hatari kwa Kenya.
Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta, amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.
=======
Katika hotuba yake Bungeni, Rais Kenyatta amesema:
Nchi nyingi jirani zetu leo zinahitaji kupeana mikono. Wanahitaji siasa ambazo ushindani haugeuki uadui na vita. Wanahitaji viongozi wa kisiasa waliolenga kujumuisha vijana na waliokata tamaa, bila kuwachochea kuasi dhidi ya nchi zao na wazee wao.
Tumejifunza kama Wakenya kwamba uchaguzi pekee hauwezi kuleta amani na umoja kwa watu waliogawanyika. Kwa hilo, viongozi lazima wafikiane na kuwa madaraja ya kuwavusha watu keuelekea kwenye usalama na ustawi.
------------
Many neighboring countries today need a handshake. They need politics in which competition is not turned into enmity and war. They need political leaders focused on including the young and desperate, not inciting them to revolt against their countries and their elders.
We have learned as Kenyans that elections alone cannot bring peace and unity to a divided people. For that, leaders must reach out to each other and build bridges over turbulent waters to allow the people to cross into safety and prosperity.
Pengine mna makengezaTunaona hatuhadithiwi.
Kenyatta kaonesha jinsi alivyo mwepesi kujirudi na kuzungumza na mahasimu wake kisiasa kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake, hapa kwetu hilo halifanyiki, ni kiburi tu cha ushamba wa madaraka.Acha ujinga mkuu! Kenyata juzi kamtimua makamu wake kisa madaraka ya 2022 hivi unajua hilo?
Kwanza unajua kama 2007 watu 1500 walikufa sababu ya kenyata na odinga?.
Kenya pale ni ukabila tupu, full uhasama, hawana choxhote cha kutwambia.
Mbowe na chadema wanashindwa kihalali kwenye box la kura katika uchaguzi wa kidemocrasi, sasa unataka nae aitwe waridhiane nini?
huu utopora man kamwambia kua bongo kuna vita🇹🇿🇹🇿🇹🇿Katika kile unachoweza kutafsiri kama ni Kenya kuguswa na siasa mpya za Tanzania, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesistiza ustahimilivu wa kisiasa hasa kwa nchi zilizoizunguka. Amesema uchaguzi unafaa kuleta utangamano wa nchi na siyo kinyume chake.
Amedai kuwa siyo siri nchi zinazoizunguka Kenya hazina utulivu mzuri wa kisiasa kama ilivyozoeleka. Amedai kuwa kukosekana kwa utulivu kwa jirani ni hatari kwa Kenya.
Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta, amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.
=======
Katika hotuba yake Bungeni, Rais Kenyatta amesema:
Nchi nyingi jirani zetu leo zinahitaji kupeana mikono. Wanahitaji siasa ambazo ushindani haugeuki uadui na vita. Wanahitaji viongozi wa kisiasa waliolenga kujumuisha vijana na waliokata tamaa, bila kuwachochea kuasi dhidi ya nchi zao na wazee wao.
Tumejifunza kama Wakenya kwamba uchaguzi pekee hauwezi kuleta amani na umoja kwa watu waliogawanyika. Kwa hilo, viongozi lazima wafikiane na kuwa madaraja ya kuwavusha watu keuelekea kwenye usalama na ustawi.
------------
Many neighboring countries today need a handshake. They need politics in which competition is not turned into enmity and war. They need political leaders focused on including the young and desperate, not inciting them to revolt against their countries and their elders.
We have learned as Kenyans that elections alone cannot bring peace and unity to a divided people. For that, leaders must reach out to each other and build bridges over turbulent waters to allow the people to cross into safety and prosperity.
Miguna Miguna yupo wapi kwani?Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Kwahiyo unataka wote muwe viongozi ili muwe na mavx?Kwani hao watoto wa viongozi wetu wanaosoma kwenye shule za kimataifa na kutembea na maVX ya umma, ww na familia yako pia huwa mnapanda hizo VX?
Hamia Kenya dogo achana na tz.Uhuru Kenyatta is a true democrat acheni kufananisha na takataka ,huyu kibaka kiongozi wamachizi wa Lumumba
Hujui chochote kule Kenya bora ukae kimya uendelee kumfuatilia tu AmsterdamKenyatta kaonesha jinsi alivyo mwepesi kujirudi na kuzungumza na mahasimu wake kisiasa kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wake, hapa kwetu hilo halifanyiki, ni kiburi tu cha ushamba wa madaraka.
Ndio maana tunawaita watoto wadogo!Lakini kenyata hakutengeneza kura feki na kuonekana wazi wazi?.
Au na yeye alipiga wapinzani wake risasi na kuwapoteza?
Ndio ujinga mmekuwa mkilishwa miaka yote. Nenda Kenya kaone hayo matunda ya uchumi na democrasia.Kenya kiukweli wako mbali sana ktk demokrasia na kiuchumi. It is an engine of east africa economy. Uhuru Kenyata hakumungunya maneno amemrushia dogo jiwe kuwa upinzani sio uadui wala vita. Sas hivi nchi imegawanyika. Alitukuta wamoja chini ya JK leo anataka atuwache tumepalanyika kwa siasa za visasi. Eti niombee. Tangu lini shetani akaombewa na Malaika!!