Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Those are the matters of the past ambayo hata sisi tunazo past zetu zilizotokea awamu ya kwanza ambazo hata rais nyerere alikiri alikosea ...mfano Operesheni Vijiji watu wengi walikufa kwa kuliwa na wanyama , kulala nje na njaa kutokana na kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye maeneo yao ya asili na kuhamishiwa kwenye vijiji vya ujamaa ..... hata sasa ukiongelea mauwaji na utekaji ndio yameshamiri ...
Mkuu Philemon Mikael, kwa hiyo tumlinganishe Mwalimu Nyerere na Mzee Kenyatta kwa mabaya yaliyofanyika kwenye enzi zao?

Kuna kumbukumbu zozote ulizonazo kuhusu Mwalimu kuhimiza yeye moja kwa moja kuwadhuru raia zake, kama huko kuwapeleka maporini kuliwa na simba; au hayo ni matokeo mabaya ya watendaji kuhusu utekelezaji wa yaliyokuwa yameamriwa na vikao?

Unaweza kweli ukalinganisha unyama wa Kenyatta aliokuwa akiwafanyia waliokuwa wakipinga mambo yake kama akina JM Kariuki na ubinaadam aliokuwa nao Mwalimu?

Sijasema hapa kwamba hapakufanyika makosa chini ya utawala wa Mwalimu, lakini kuwalinganisha Kenyatta na Mwalimu ni kupotosha maksudi kabisa.

Huyu Kenyatta wa sasa, hata yeye sio msafi kivile. Anajaribu sana sasa hivi kujisafisha, lakini mabaya aliyofanya katika ngwe yake ya kwanza na katika chaguzi zake zote mbili na hata kabla ya hapo, makosa yaliyompeleka ICC yote hayo hayaonyeshi usafi wowote.

Kenya wameua watu wengi, maelfu kwa kila chaguzi wanazofanya. Hawana chochote cha kujivunia zidi ya nchi nyingine.

Naomba nisieleweke kuwa nawatetea hawa waliopo madarakani sasa wanaotupeleka kwenye mambo ya kusikitisha sana ndani ya taifa letu.
 
Inawezekana kwa sasa hayazidi lakini dunia inaona dalili za kuelekea kuwazidi sio Kenya tu hadi mataifa mengine yanayojulikana hayana demokrasia kwa kasi ..
Leo hii tumekaa wiki karibu tatu bila mitandao ...na hata ikiwepo haiwezi kudownload ...jiulize hasara ...kiasi gani imepatikana kwenye uchumi ??

Kuna makampuni yanategemea mitandao kwa kila kitu kuanzia kuuza , kununua,kutafuta wateja ,uendeshaji etc
Kuna vijana wamejiajiri kuendesha taxi , TAXIFY,BOLT , UBER
Kuna vijana wanauza bidhaa mtandao duka lao ni INSTAGRAM , FACEBOOOK etc

Hapo hatujaongelea uhuru wa kuwasiliana na kupata habari ambao ni takwa la kikatiba na haki za binadamu kimataifa chini ya "Bill of Rights" ambayo Tanzania imeridhia .
Ilizimwa kwa sababu za kusalama!

Ni heri hasara ya wiki tatu kuliko hasara ya miaka kungetokea machafuko kisa wajinga wachache wa mitandaoni.
 
Those are the matters of the past ambayo hata sisi tunazo past zetu zilizotokea awamu ya kwanza ambazo hata rais nyerere alikiri alikosea. Mfano Operesheni Vijiji watu wengi walikufa kwa kuliwa na wanyama, kulala nje na njaa kutokana na kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye maeneo yao ya asili na kuhamishiwa kwenye vijiji vya ujamaa. Hata sasa ukiongelea mauwaji na utekaji ndio yameshamiri.

Sasa kwakuwa nao walishapata shida huko nyuma kwa upendo wana haki ya kutukumbusha tusiende huko kwenye shida.
Leo hii Ulaya wanaisema Afrika juu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kiukooo, lakini ukisoma historia ya ulaya wakati wa primitive age wao waliuwana sana kwenye vita vya kikabila, kabla ya kufikia CIVILIZATION. Ukiwa mtu mjinga wakikusema uache ubaguzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe utasema mbona hata nyie mlishawahi kuuwana? that is primitive excuse

Kama 2017 kwako ni 'primitive past' you must be kidding. Ukiacha enzi za Mau Mau, hakuna kipindi siasa za Kenya zimesababisha mauaji makubwa na ukiukwaji wa haki za binadam kama uchaguzi Mkuu wa 2017. Na hadi leo hii mambo bado hayajakaa sawa - fuatilia mzozo kati ya Uhuru na Ruto, pia kesi ya Wakili Gicheru inayoendelea sasa ICC. Nasema tena, Kenya sio ya kuinyooshea kidole TZ kwa changamoto za kisiasa. Tuna changamoto ndiyo, lakini wao ni zaidi.
 
Sipo kwa Trump hapa. Turudi TANZANIA.inawezekana vipi MTU mnayemsifu kwa kutengeneza mabarabara, mahospital, kununua ndege n.k.
ALAFU AKAINGIA TENA IKULU KWA WIZI WA KURA? Kipi Cha kujivunia kwenye miaka yake5 Iliyopita?
Binafsi yangu simuhesabu magufuli kama ni rais halali
Hayo mengine ni malalamiko yako tu!

Hata trump saa hii analalamika kuibiwa, ila ukweli ni kwamba wananchi wamemkataa kwenye box la kura
 
Sipo kwa Trump hapa.turudi TANZANIA.inawezekana vipi MTU mnayemsifu kwa kutengeneza mabarabara,mahospital, kununua ndege n.k.
ALAFU AKAINGIA TENA IKULU KWA WIZI WA KURA?
kipi Cha kujivunia kwenye miaka yake5 Iliyopita?.
Binafsi yangu simuhesabu magufuli kama ni rais halali
Wewe unao huo ushahidi wa kuibiwa kura?

Mmeibiwa kura ngapi?
Kwenye vituo kipi ngapi na kipi ngapi?

Mnao huo ushahidi au ni malalamiko tu kama yale ya trump?
 
Those are the matters of the past ambayo hata sisi tunazo past zetu zilizotokea awamu ya kwanza ambazo hata rais nyerere alikiri alikosea ...mfano Operesheni Vijiji watu wengi walikufa kwa kuliwa na wanyama , kulala nje na njaa kutokana na kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye maeneo yao ya asili na kuhamishiwa kwenye vijiji vya ujamaa ..... hata sasa ukiongelea mauwaji na utekaji ndio yameshamiri ...
Sasa kwakuwa nao walishapata shida huko nyuma kwa upendo wana haki ya kutukumbusha tusiende huko kwenye shida..
Leo hii Ulaya wanaisema Afrika juu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kiukooo ...lakini ukisoma historia ya ulaya wakati wa primitive age wao waliuwana sana kwenye vita vya kikabila ...kabla ya kufikia CIVILIZATION ...ukiwa mtu mjinga wakikusema uache ubaguzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe utasema mbona hata nyie mlishawahi kuuwana ?? that is primitive excuse
Umejibu vyema sana!Sijui kama watakuelewa!
 
Kosa lake kuwaambia ukweli ??? hamuoni aibu nchi dunia nzima inaongelewa vibaya ...kwani yeye ndio wa kwanza duniani kuisema Tanzania na mwelekeo wake ??? no wounder marafiki zetu wamekuwa madikteta kama Uganda , Burundi etc
Ukweli gani kausema hapo? Mbona miaka yote hadi leo amemzuilia Miguna Miguna kizuizini Canada? Mbona anampiga vita Makamu Rais wake? Mbona anawatesa loyalists wa Dr. Rutto??? Serial liar & hypocritical politician!
 
Ilizimwa kwa sababu za kusalama!

Ni heri hasara ya wiki tatu kuliko hasara ya miaka kungetokea machafuko kisa wajinga wachache wa mitandaoni.

Huo Uvunjifu wa Amani ungetokana na nini ? kwani ni mara ya kwanza kufanya uchaguzi ,mbona ilikuwa haizimwi .....Kama hapakuwa na nia ovu kulikuwa na haja gani ya kuwazimia wananchi mitandao ...only China and North Korea do that ..Technology is powerful ..pamoja na kuwa mitandao ilizimwa bado habari zote zimevuja kupitia VPN users ...hivyo huo usiri waliotaka hawajafanikiwa ..

SO KIMSINGI MITANDAO ILIZIMWA ILI KUZUIA UASI WA WANANCHI ILI WAIBE NA KUTANGAZA MATOKEO KWA NGUVU .....NA KUAPISHA. LAKINI MADHARA YAKE NI MAKUBWA SAANA KWENYE MIOYO YA WATU ...KILA MWANANCHI UNAYEKUTANA NAYE ANAJUA USHINDI NI WA DHULUMA. HII NI HATARI KINAWEZA TOKEA JAMBO DOGO TU REACTION YA WANANCHI IKACHANGANYA HASIRA ZOTE HIZO. TUOMBE MUNGU TU!!

NDIO MAANA TUNAHITAJI MARIDHIANO HARAKA SANA NA KUOMBA NA KUTANGAZA MISAMAHA
LEO HII MWANANCHI MFANO WA MTWARA AU LINDI ANAWEZA KUJIKUTA HATOI USHIRIKIANO KWA NCHI YAKE INAPOKABILIWA NA ADUI NA AKAWA RAHISI KULISHWA PROPAGANDA KWAKUA ANA CHUKI ..ANGALIENI HILO ...ANA HASIRA NA WATAWALA HADI POLISI .

HIVYO USIWAITE HAO WA MITANDAONI KUWA NI WAJINGA WACHACHE NA KUWA WEREVU NI WALE WALIOIBA KURA TU.

HAPAKUWA NA HAJA YA KUIBA KURA MAGUFULI ANGEWEZA KUSHINDA LAKINI SIO KWA HIZO ASILIMIA 84% AMBAZO TOKA MWANZO KINA BASHIRU NDIO WALIKUWA WANAZIHUBIRI angeweza kupata asilimia hata 55% ...mara ya mwisho alipata 58% ..na angetawala kwa amani kabisa na heshima.

CCM Wangepata wabunge majority lakini wapinzani kwa ujumla wao wasingekosa viti vya majimbo pamoja na zanzibar minimum 100 na tungeishi kwa amani, lakini kusema mnawapa wapinzani viti 2 vya majimbo tena kwa kuchagua nani mumtangaze "kashinda" ....ni kidonda . Inajulikana kuwa Hawa ghasia na Keissy hawajashindwa kura bali imeamuliwa tu watolewe kafara kwa kuangalia aina ya mediocity mliyotaka "ishinde"
 
Those are the matters of the past ambayo hata sisi tunazo past zetu zilizotokea awamu ya kwanza ambazo hata rais nyerere alikiri alikosea ...mfano Operesheni Vijiji watu wengi walikufa kwa kuliwa na wanyama , kulala nje na njaa kutokana na kuhamishwa kwa nguvu kutoka kwenye maeneo yao ya asili na kuhamishiwa kwenye vijiji vya ujamaa ..... hata sasa ukiongelea mauwaji na utekaji ndio yameshamiri ...
Sasa kwakuwa nao walishapata shida huko nyuma kwa upendo wana haki ya kutukumbusha tusiende huko kwenye shida..
Leo hii Ulaya wanaisema Afrika juu ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na kiukooo ...lakini ukisoma historia ya ulaya wakati wa primitive age wao waliuwana sana kwenye vita vya kikabila ...kabla ya kufikia CIVILIZATION ...ukiwa mtu mjinga wakikusema uache ubaguzi na vita vya wenyewe kwa wenyewe utasema mbona hata nyie mlishawahi kuuwana ?? that is primitive excuse
"Matters of the past"? Mbona risasi zenu "sea-tar" zimekuwa mada kuu, ngonjera na wimbo wa dunia??? Kama hiyo ndiyo theory yako, kumbe kila kitu kinaruhusiwa kwa sababu once something has been done, inaingia kwenye kundi la "matters of the past!" Wrong thinking! Uhuru is in a state of desperation na anatafuta world attention kupitia cheap popularity. But be will always be a BIG LOSER kama ilivyokuwa kwenye mtanduko wa korona.
 
Na mnahimizwa "kulinda amani"!

Ulishaona wapi jambazi anavamia halafu yeye ndie anakuwa wa kwanza kuwaambia anaowavamia wasifanye vurugu na kujilinda!

Mtu wa ajabu sana huyu tuliyempata awamu hii.
Hakuna amani Bali Watanzania tumejzzwa hofu. Vijana wachache waliojitikeza kulinda kura wamepoteza maisha.
 
Ukweli gani kausema hapo? Mbona miaka yote hadi leo amemzuilia Miguna Miguna kizuizini Canada? Mbona anampiga vita Makamu Rais wake? Mbona anawatesa loyalists wa Dr. Rutto??? Serial liar & hypocritical politician!
Angalau anawafanyia "fitna" ya kisiasa ..hajawapiga ,kuwafunga ,kuwauwa au kuwateka huwezi kuhalalisha ukandamizaji unaoendelea hapa na fitna za kisiasa ....hata hapa wakati wa Kikwete wapinzani walikuwa wanfanyiwa fitna ...kwenye siasa fitna ndio namna ya siasa .....not below the belt .
Huyo Miguna kitendo alichokifanya ni treasonable .....kumuapisha kiongozi wa Upinzani aliyeshindwa kama rais wa jamuhuri...alafu baada ya hapo huyo Raila badala ya kushtakiwa kwa uhaini anaunga mkono juhudi ....amemjeuka Miguna ..unategemea arudi Kenya afanye nini sasa ......lakini zaidi ana uraia wa Canada ...tayati , sisi hapa kwetu asingeweza hata kuruusiwa kwakuwa hatuna uraia pacha .
 
Huo Uvunjifu wa Amani ungetokana na nini ? kwani ni mara ya kwanza kufanya uchaguzi ,mbona ilikuwa haizimwi .....Kama hapakuwa na nia ovu kulikuwa na haja gani ya kuwazimia wananchi mitandao ...only China and North Korea do that ..Technology is powerful ..pamoja na kuwa mitandao ilizimwa bado habari zote zimevuja kupitia VPN users ...hivyo huo usiri waliotaka hawajafanikiwa ..

SO KIMSINGI MITANDAO ILIZIMWA ILI KUZUIA UASI WA WANANCHI ILI WAIBE NA KUTANGAZA MATOKEO KWA NGUVU .....NA KUAPISHA ..LAKINI MADHARA YAKE NI MAKUBWA SAANA KWENYE MIOYO YA WATU ...KILA MWANANCHI UNAYEKUTANA NAYE ANAJUA USHINDI NI WA DHULUMA ....HII NI HATARI KINAWEZA TOKEA JAMBO DOGO TU REACTION YA WANANCHI IKACHANGANYA HASIRA ZOTE HIZO ...TUOMBE MUNGU TU !!
NDIO MAANA TUNAHITAJI MARIDHIANO HARAKA SANA NA KUOMBA NA KUTANGAZA MISAMAHA
LEO HII MWANANCHI MFANO WA MTWARA AU LINDI ANAWEZA KUJIKUTA HATOI USHIRIKIANO KWA NCHI YAKE INAPOKABILIWA NA ADUI NA AKAWA RAHISI KULISHWA PROPAGANDA KWAKUA ANA CHUKI ..ANGALIENI HILO ...ANA HASIRA NA WATAWALA HADI POLISI .

HIVYO USIWAITE HAO WA MITANDAONI KUWA NI WAJINGA WACHACHE NA KUWA WEREVU NI WALE WALIOIBA KURA TU .............
HAPAKUWA NA HAJA YA KUIBA KURA MAGUFULI ANGEWEZA KUSHINDA LAKINI SIO KWA HIZO ASILIMIA 84% AMBAZO TOKA MWANZO KINA BASHIRU NDIO WALIKUWA WANAZIHUBIRI ..angeweza kupata asilimia hata 55% ...mara ya mwisho alipata 58% ..na angetawala kwa amani kabisa na heshima ...
CCM Wangepata wabunge majority lakini wapinzani kwa ujumla wao wasingekosa viti vya majimbo pamoja na zanzibar minimum 100 ...na tungeishi kwa amani ......lakini kusema mnawapa wapinzani viti 2 vya majimbo tena kwa kuchagua nani mumtangaze "kashinda" ....ni kidonda . Inajulikana kuwa Hawa ghasia na Keissy hawajashindwa kura bali imeamuliwa tu watolewe kafara kwa kuangalia aina ya mediocity mliyotaka "ishinde"
Siasa yenu ya hotuba na maneno ya uchochezi, ghasia, ushauri, fujo, vurugu na machafuko na kupinga kila kitu ndizo zimewafanya wananchi wamewakataeni kwenye sanduku la kura. Ndiyo maana walioshindwa wamekimbia majimboni mwao kwenda kuwaandamanisha watu wa Dar, maana walikuwa wamechokwa majimboni mwao. Mlaumuni huyo Mr Mzungu wenu mliyemwajiri kuubomoa upinzani. Kuzimwa kwa intaneti ni sawa kabisa kutokana na kauli zenu za kuichoma nchi; ulitaka jeshi la polisi likae tu bila kuchukua tahadhari? Inajulikana vyema jamaa yenu alitumwa kuvuruga uchaguzi na hivyo kukusanya evidence ya machafuko aliyoyachochea mwenyewe. Sasa amekwama mkakati wake anabaki kubumbabumba matukio eti wapinzani wanawindwa. Jifunzeni kuwa wazalendo nyie!
 
Makamanda amieni Kenya kwenye siasa safi,Kenya wanaruhusu maandamano nchinzima bila kikomo.
msibaki Tanzania mnalialia kwenye mitandao.
 
Siasa yenu ya hotuba na maneno ya uchochezi, ghasia, ushauri, fujo, vurugu na machafuko na kupinga kila kitu ndizo zimewafanya wananchi wamewakataeni kwenye sanduku la kura. Ndiyo maana walioshindwa wamekimbia majimboni mwao kwenda kuwaandamanisha watu wa Dar, maana walikuwa wamechokwa majimboni mwao. Mlaumuni huyo Mr Mzungu wenu mliyemwajiri kuubomoa upinzani. Kuzimwa kwa intaneti ni sawa kabisa kutokana na kauli zenu za kuichoma nchi; ulitaka jeshi la polisi likae tu bila kuchukua tahadhari? Inajulikana vyema jamaa yenu alitumwa kuvuruga uchaguzi na hivyo kukusanya evidence ya machafuko aliyoyachochea mwenyewe. Sasa amekwama mkakati wake anabaki kubumbabumba matukio eti wapinzani wanawindwa. Jifunzeni kuwa wazalendo nyie!
Mimi ni mchambuzi huru tu , ni mtanzania wakikosea wapinzani nitasema na wakikosea ccm nasema , ukiongelea swala la kuchokwa ..tambua hadi sasa madiwani karibu 10 wameshakufa katika mazingira ya kutatanisha ikiwemo kuchomewa nyumba .... , wabunge karibu watatu imeripotiwa kufurushwa na wananchi kwa mawe ikiwemo wengine kuyakimbia majimbo yao baada ya wananchi kutishia kuwa watawachoma moto wao na familia ....kuna wasimamizi wa uchaguzi wameshambuliwa ikiwemo wa Tandahimba aliyechinjwa kama kuku ....kutokana na kuonekana hatendi haki ....Je watanzania wanahitaji kulipia gharama yote hii kama kuna HAKI ?

Nitaomba kama tunajadiliana tujadili kama watanzania na sio mirengo ya kichama .....wengine sio kama yule anayesema " maendeleo hayana chama " na akimaliza kusema hivyo anasema ;" kama hamnichagui , sileti maendeleo "
 
Kenya mmekomaa kisiasa. Sisi pia inabidi tuingie mtaani ndo viongozi watapata akili. Ila siku itafika tu ambayo wananchi wengi watasema sasa yatosha kuvumilia. Wenyewe wataingia mtaani.
Hiyo siku ni lini? mana mnapewa chances after chances na viongozi wenu lakini ndo kwanza siku ikifika kila mtu anajifungia ndani anabakia kuandamana kwenye keyboard, kama mlishindwa kuona yatosha alipopigwa risasi lisu, sizani kama kuna yatosha nyingine, kama mmeshindwa kuona yatosha kwenye uchaguzi huu hadi viongozi wenu wanatafuta hifadhi nchi za watu kisa wako hatarini, sizani kama kuna yatosha nyingine, sana sana nnachokiona mtazidi kudhoofika na mambo ya siasa mark my word, come 2025 hatakuwepo mwenye nguvu kuanzia viongozi wenu waliobaki hadi wanachama ambao kimsingi mtabakia wachache sana mana wengi wenu watabakia kuwa nutural tu kwenye mambo ya siasa
 
Back
Top Bottom