Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Rais Uhuru Kenyatta: Nchi jirani zinahitaji siasa ambazo ushindani si uadui na vita

Jamaa alikuwa anapenda ugomvi na ujeuri mpaka kwa majirani. Imagine mpaka mtu wa nje ya nchi anaona kijamaa ligomvi tu sembuse tulioishi nae mzee wa kuzurura na mabulungutu ya pesa?

Sijawahi kuona Rais anazurura na mahela kwenye begi, ule ushamba aisee ni zaidi ya kuwa papaa wa kwenye bendi za kikongo.
Kwa mtu asiyejua nini maana ya kuwa kiongozi kama wewe itakuwa vigumu kuelewa kwanini Hayati Magufuli alikuwa anatembea na hela kiasi hicho. Nafikiri unajitoa fahamu sasa kwa kujifanya kama hukuona jinsi hizo hela zilivyokuwa zikitumika kwenye kusaidia kutatua matatizo ya papo kwa papo akiwa kwenye ziara zake za kauona shida ambazo wananchi wake wanakabiliana nazo. Kiongozi gani wa ulimwengu mwingine zaidi ya Hayati Magufuli na Thomas Sanakara wameweza fanya hivyo?
 
Katika kile unachoweza kutafsiri kama ni Kenya kuguswa na siasa mpya za Tanzania, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesistiza ustahimilivu wa kisiasa hasa kwa nchi zilizoizunguka. Amesema uchaguzi unafaa kuleta utangamano wa nchi na siyo kinyume chake.

Amedai kuwa siyo siri nchi zinazoizunguka Kenya hazina utulivu mzuri wa kisiasa kama ilivyozoeleka. Amedai kuwa kukosekana kwa utulivu kwa jirani ni hatari kwa Kenya.

Huku akipigiwa makofi na wabunge Rais Kenyatta, amesisitiza kuwa wanasiasa wazee wasiwachokoze wanasiasa vijana badala yake wawalee kwa upendo.

=======

Katika hotuba yake Bungeni, Rais Kenyatta amesema:

Nchi nyingi jirani zetu leo zinahitaji kupeana mikono. Wanahitaji siasa ambazo ushindani haugeuki uadui na vita. Wanahitaji viongozi wa kisiasa waliolenga kujumuisha vijana na waliokata tamaa, bila kuwachochea kuasi dhidi ya nchi zao na wazee wao.

Tumejifunza kama Wakenya kwamba uchaguzi pekee hauwezi kuleta amani na umoja kwa watu waliogawanyika. Kwa hilo, viongozi lazima waafikiane na kuwa madaraja ya kuwavusha watu keuelekea kwenye usalama na ustawi.

------------

Many neighboring countries today need a handshake. They need politics in which competition is not turned into enmity and war. They need political leaders focused on including the young and desperate, not inciting them to revolt against their countries and their elders.

We have learned as Kenyans that elections alone cannot bring peace and unity to a divided people. For that, leaders must reach out to each other and build bridges over turbulent waters to allow the people to cross into safety and prosperity.


Jiwe lilitupwa kwa Jiwe na M7
 
Mnyonge yup aliyemsaidia? Alitoa pesa zake mfukoni au? Kama n Kodi za wananchi n haki yao s msaada huo
Kwani wewe tatizo lako lilikuwa ni nini? Tatizo lako lilikuwa ushamba wake wa kutembea na maburungutu ya pesa au? Kama ndiyo hivyo basi haijalishi kama hizo hela za umma au za kwake. Waliofaidika nazo si watanzania vile vile?
 
Kwani wewe tatizo lako lilikuwa ni nini? Tatizo lako lilikuwa ushamba wake wa kutembea na maburungutu ya pesa au? Kama ndiyo hivyo basi haijalishi kama hizo hela za umma au za kwake. Waliofaidika nazo si watanzania vile vile?
Una uhakika waliosaidiwa n wanyonge? Funguka akili weweee umejifungia kwenye boksi KODI n haki yako si msaada
 
Kwa mtu asiyejua nini maana ya kuwa kiongozi kama wewe itakuwa vigumu kuelewa kwanini Hayati Magufuli alikuwa anatembea na hela kiasi hicho. Nafikiri unajitoa fahamu sasa kwa kujifanya kama hukuona jinsi hizo hela zilivyokuwa zikitumika kwenye kusaidia kutatua matatizo ya papo kwa papo akiwa kwenye ziara zake za kauona shida ambazo wananchi wake wanakabiliana nazo. Kiongozi gani wa ulimwengu mwingine zaidi ya Hayati Magufuli na Thomas Sanakara wameweza fanya hivyo?
Jifunze kuandika kwa vituo na paragraph ndio ujibu hoja yangu. Tatizo mnatoka kuchunga mbuzi halafu ukiuza mbuzi wa ukoo unanunua techno then unakuja kujibizana na watu usiowajua.
 
Back
Top Bottom