Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Jamaa alikuwa anapenda ugomvi na ujeuri mpaka kwa majirani. Imagine mpaka mtu wa nje ya nchi anaona kijamaa ligomvi tu sembuse tulioishi nae mzee wa kuzurura na mabulungutu ya pesa?
Sijawahi kuona Rais anazurura na mahela kwenye begi, ule ushamba aisee ni zaidi ya kuwa papaa wa kwenye bendi za kikongo.
Hiyo sasa ni mada nyingine. Mimi sitajiingiza huko. Kama mnakosa arguments basi msipende kushindana na watu wengine walio bahatika. Subiri mda wako nawe utabahatika. Upeo wako wa kuona ni Jiji la DSM na Bahari ya Hndi. Sidhani hata kama umesha wahi panda Dreamliner ambayo Hayati Magufuli kakurahihishia kuiona.Jifunze kuandika kwa vituo na paragraph ndio ujibu hoja yangu. Tatizo mnatoka kuchunga mbuzi halafu ukiuza mbuzi wa ukoo unanunua techno then unakuja kujibizana na watu usiowajua.
ICC walisemaje au unaongea kutoka kaburini kwa Mungu wenu aliyekufa na Covid aliyoidharau?Huyu Uhuru Mungiki haki akapekwa ICC leo ndio mungu wa lissu na Chadema?
Nyie ndio mnaosababisha Magufuli anaendelea kutukanwa. Mnaabudu sanamuHuyu Uhuru Mungiki haki akapekwa ICC leo ndio mungu wa lissu na Chadema?
Haina haja. Jibu nafikiri unalo mwenyewe. Ni hela za umma. Za walipa kodi kama wewe.Mm mwenyewe n mnyonge sijawah pata huo unaouuita msaada wakati n KODI Kama angekuwa hai tungemuuliza papaaa Magufuli Kama zile pesa n zake binafs au za watanzania ?
Eti papaa Magufuli πππ na ndio ilimfaa aitwe hivyo maana alikuwa bwana tupatupa.Mm mwenyewe n mnyonge sijawah pata huo unaouuita msaada wakati n KODI Kama angekuwa hai tungemuuliza papaaa Magufuli Kama zile pesa n zake binafs au za watanzania ?
πππ Haina haja. Zile zilikuwa pesa za umma na Magufuli kazigawa kwa watanzania. Hakijaharibika kitu.Mm mwenyewe n mnyonge sijawah pata huo unaouuita msaada wakati n KODI Kama angekuwa hai tungemuuliza papaaa Magufuli Kama zile pesa n zake binafs au za watanzania ?
Sikujua kama hizo ndiyo conditions za kutoa mada au kuchangia hoja humu JF.Jifunze kuandika kwa vituo na paragraph ndio ujibu hoja yangu. Tatizo mnatoka kuchunga mbuzi halafu ukiuza mbuzi wa ukoo unanunua techno then unakuja kujibizana na watu usiowajua.
π π π Mkuu mbona unaleta vita sasa? Mgonvi wewe!Mwambie Uhuru apunguze chang'aa analiabisha Taifa la Kenya. Mkuu wa nchi anamshinda pierre liquid si balaa hiyo.