Makubaliano gani si useme hapa na ushahidi utuwekee tuone.? Wabongo mnajifanyaga mnajua sana mambo kumbe ushuzi mtupu.America siyo mjinga kuna makubaliano tu yaliyofanyika na Taleban hawawezi kuondoka wakamuacha ADUI yao kuwa madarakani
Hizo taarifa za ndani umezipata wapi? Tuwekee hapa na sisi tuzione/ tuzisomeTaarifa za ndani zinasema 50% ya jeshi la serikali ya afghanistan ilikuwa upande wa taliban, so hilo hata yeye usa alilijua kabisa, ni kama alivoikimbia somalia miaka ya 90
Kama Donald Trump alifanya nao hao Taliban kikao na kupanga kuwarudisha madarakani kwanini leo Trump anamlaumu Joe Biden kwa kuondoa majeshi huko Afghanistan?Nakumbuka Trump alishafanya kikao ma hawa Wataliban ma kukubaliana nao mambo kadhaa. Isije ikawa ndiyo walishaamua kuwarudisha madarakani
Madawa ya kulevya.Jibu swali .Afghanistan kuna nini ambacho USA alikuwa anachuma? Wabongo mnapendaga kujifanya mnajua mambo kumbe ushuzi mtupu.
kutafuta maisha mazuri kumefanya watu wakose uzalendo, wanaisaliti nchi ilimradi tu mambo yao yaende. UBINAFSIKuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]
Means does not justfy the endsKama Donald Trump alifanya nao hao Taliban kikao na kupanga kuwarudisha madarakani kwanini leo Trump anamlaumu Joe Biden kwa kuondoa majeshi huko Afghanistan?
Ni fedhea Sana kwa jeshi na serikali kiujumla[emoji1787]Wanamgambo ikulu[emoji38][emoji38]
PhD ya utapeliMheshimiwa baba askofu Dr. Josephat Gwajima ni msomi wa Phd,.. ebu msikilize akiwa anatamka neno Rais, habari na hilo "vizuri" unalomzodoa nalo mwenzio, halafu uje usome tena comment yako.
'Elimu' ya ujinga ni ile isiyomsaidia mtu hata kujenga hoja tu!
Niweke nini wewe hauoni, viwanja wa vya ndege mpaka muda huu vipo chini ya America.Makubaliano gani si useme hapa na ushahidi utuwekee tuone.? Wabongo mnajifanyaga mnajua sana mambo kumbe ushuzi mtupu.