Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

Biden kaenda Camp David atakuwa huko hadi Jumatano na wapambe wake kudeal na hizi crisis tatu. COVID-19, Afghanistan na Wazamiaji ambao wanazidi kumiminika mpakani na Mexico.
Sioni Biden akirudi tena awamu ijayo,yale yale ya Trump yanaenda kujirudia.
 
Nchi ikiendeshwa kwa sheria ya dini ni nzuri zaidi, rushwa, ukandamizaji kwa wananchi haitakuwepo, haki sawa kwa kila mutu na maisha yatakuwa mazuli sana, amani itakuwepo. (Kusoma dini ndio kipaumbele na ndio itakusaidia hapa duniani na kesho akhera) Kuhusu shule uislamu haukatazi mtu kusoma shule, labda walete sheria zao.
Kwa hiyo watakuwa wanajifungia na huo uislamu wao pekee hawataruhusu watu wa dini nyingine kwenye nchi yao?
 
Jenerali yupi?
Gen. Kenneth McKenzie's(mkuu wa vikosi vilivyopo middle Easte)
Alisema kuwa Biden atafakari vizuri kauli yake maana hana imani na vikosi vya Afghanistan endapo vikosi vya marekani kama vitatolewa Afghanistan.alisema anaona mpasuko mkubwa utatokea endapo Marekani itaondoka Afghanistan
 
Taarifa za ndani zinasema 50% ya jeshi la serikali ya afghanistan ilikuwa upande wa taliban, so hilo hata yeye usa alilijua kabisa, ni kama alivoikimbia somalia miaka ya 90
 
So shule nia hiyari yako [emoji23][emoji23]
ndiyo maana umeandika mazuli badala ya mazuri!

Elimu ya kidunia hatujakatazwa kusoma na wala co dhambi kusoma, elimu ya kidunia/secular itakusaidia maisha ya hapa hapa duniani tu, baada ya kufa kwako haitakufaa/kusaidia chochote kile, but kusoma elimu ya dini itakusaidia/itakufaa kwa maisha ya hapa duniani na hata baada ya kufa kwako, elimu ya dini ndiyo kipaumbele chetu zaidi ya elimu ya secular.
 
Kwanza nalaumu sana vyombo vya habari vya kiswahili sababu siku zote vimekuwa vya mwisho kwenye kuripoti habari kwa uharaka.


Talebani wako ndani ya ikulu ya Kabul wakikagua kagua.

[emoji327]source: Aljazeera English
Vyombo vya kibongo kazi kubwa ni kutafuta umbea na kuhoji wapuuuzi hawana upana wa kutafuta habari bali umbea na udaku
 
Nimeona kwenye video Wananchi na wageni wakiwa desperate kuondoka Kabul.

Hii fall of Afghanistan kipindi cha Biden ni mbaya sana na itamgarimu kwenye uchaguzi ujao unless kuna jambo kubwa watafanya la kimkakati ku turn situation around.

Ili transition iwe smooth kusiwe na madhara kwa Amerika na dunia hususani kuhusu ugaidi na haki za binadamu kutokana na Taliban kushika tena Mamlaka ya kuongoza Afghanistan
 
Hakuna wanajeshi bana,wanajeshi gani lege lege hivyo? Hakuna hata ndege za jeshi? Hakuna vifaru? Hatusikii wakipigana zaidi ya kukimbia uwanja wa vita? Kuna wanajeshi au mgambo?

Wanajeshi wapo ila wamegoma kupigana na kuamua kusapoti Taliban

Serikali imeonekana ilikuwa ni ya wizi na misaada yote waliokuwa wanapewa wajenge nchi waligawana hao viongozi

Hata Africa nchi nyingi viongozi tu ndio wanakula keki ya Taifa ila kikinuka Jeshi litakuwa upande wa wananchi kama ilivyotokea Arab Spring
 
Back
Top Bottom