wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Ni majambazi na magaidi.Marekani ni matapeli na malaghai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni majambazi na magaidi.Marekani ni matapeli na malaghai.
Wameishia wapi hao waliotumwa?Katuma jeshi kwenda kuwafurusha Taliban
hapo usa lazima awe mpole sababu walikubaliana kwa sababu wamarekani wakizingua kidogo wamarekani wanaotoroka kabul watachijwa wote hawa jamaa sheria zao sidhani kama zitaendana na marekaniNimeangalia live watelaban wakiingia Kabul nimegundua mambo kadhaa:kwanza hawa jamaa wananidhamu ya juu mno,sikuona wakipora vitu au mali,hawana wenge la ushindi kushangilia au kuimba au kupiga risasi juu kufurahia ushindi.
Wanahabari wapo na wanachukua habari bila bugdha.
Nimegundua pia US wamebariki kila kilichotokea,US wamemsaliti kiaina Rais wa Afghan na serikali yake ili Taleban wachukue mamlaka.
Nimegundua pia US siku za usoni atakuwa mpole kwa Taleban na wataanza upya mahusiano ya kidiplomasia pamoja na misaada,kwa.kifupi US anabadili mbinu za kupambana na Taleban.
Hii kweli kabisa,nchi nyingi hasiwezi vita vya muda mrefuMarekani na NATO wamechoka kupigana Vita,hua Ni wachumba Sana kwny Vita vya Muda mrefu.Miaka 20 wavaa makobasi wako wanapigana tu hawapoi,hawaboi.
Vietnam ilionyesha mfano,na Sasa Afghanistan imeandika historia Tena.
Tusubiri utawala wa sharia uanze hapo Afghanistan,wezi Kupigwa mawe,wazinzi kukatwa mikono,wanawake hakuna kutoka nje peke yao,lazima wavae hijabu, takbiir.
Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?jeshi mpaka USA aamue. Hiyo kitu USA kaipika. ninahisi tayari washasaliti hiyo serikali. USA hanaga rafiki
Mm nikisikia mkwara kuwa hawatotambuliwa kimataifahapo usa lazima awe mpole sababu walikubaliana kwa sababu wamarekani wakizingua kidogo wamarekani wanaotoroka kabul watachijwa wote hawa jamaa sheria zao sidhani kama zitaendana na marekani
Unawajua vizuri hao wanajeshi?Inamaana hyo nchi haina jesh
Jaman?
Sasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?
Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
Hakuna wanajeshi bana,wanajeshi gani lege lege hivyo? Hakuna hata ndege za jeshi? Hakuna vifaru? Hatusikii wakipigana zaidi ya kukimbia uwanja wa vita? Kuna wanajeshi au mgambo?Unawajua vizuri hao wanajeshi?
Migambo wamechukua nchi sasaHakuna wanajeshi bana,wanajeshi gani lege lege hivyo? Hakuna hata ndege za jeshi? Hakuna vifaru? Hatusikii wakipigana zaidi ya kukimbia uwanja wa vita? Kuna wanajeshi au mgambo?
Kama sio hujuma basi hakuna jeshiMigambo wamechukua nchi sasa
Kwanza nalaumu sana vyombo vya habari vya kiswahili sababu siku zote vimekuwa vya mwisho kwenye kuripoti habari kwa uharaka.
Talebani wako ndani ya ikulu ya Kabul wakikagua kagua.
[emoji327]source: Aljazeera English
Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.
"Parliamentary governments were barred or overthrown, with US support and sometimes direct intervention, in Iran in 1953, in Guatemala in 1954 (and in 1963, when Kennedy backed a military coup to prevent the threat of a return to democracy), in the Dominican Republic in 1963 and 1965, in Brazil in 1964, in Chile in 1973 and often elsewhere. Our policies have been very much the same in El Salvador and in many other places across the globe" (Noam Chomsky- How the world works, p.18)
Dhuuuu wanabalaaa hao kwakweliUnawajua vizuri hao wanajeshi?
🤔 Mh! Hapa ndio nazinduka hata mimiKuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]
Mkuu, huwa nashangaa akili ya US na siwaelewi kabisa. Wametumia gharama kubwa (about USD 6 Trillion + several deaths of army pesonnel) kwenye vita nchini Afghanistan ambayo finally Taleban wameshinda. US wamepata faida gani?Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani, amekimbilia Tajikistan, kwa mujibu wa Al Jazeera!
Taliban wameshinda!
Taliban wamechukua nchi!
Mwezi mmoja uliopita, Rais wa Marekani alisema bila kumung’unya maneno kuwa Taliban kuchukua nchi hakuwezekani kwa sababu jeshi la Afghanistan liko imara.
Hahahaa. Well, tayari Taliban wameshachukua nchi na Rais wa Afghanistan kala kona.
==============
Rais wa Afghanistan Ashraf Ghani ameikimbia nchi yake leo jioni baada ya wanamgambo wa Taliban kuuzingira mji mkuu wa Kabul.
Maafisa wawili wa serikali ambao hawakutaka majina yao kutajwa wameliambia shirika la habari la Associated Press kuwa Ghani ameondoka Afghanistan na inaarifiwa amekimbilia taifa jirani la Tajikistan.
Mkuu wa Baraza la Maridhiano ya Taifa nchini Afghanistan Abdullah Abdullah pia amethibitisha habari hizo kupitia mkanda wa video.
Kuondoka kwa Ghani kunatoa taswira halisi ya uwezekano wa kundi la Taliban kuchukua madaraka nchini Afghanistan wakati wowote kuanzia sasa.
Wapiganaji wa kundi hilo waliingia kwenye viunga vya pembezoni mwa mji mkuu wa Kabul leo Alfajiri baada ya kupata mafanikio makubwa katika siku za karibuni kwa kuikamata miji mingi nchini humo.
Vita ni ya USA na USA ni nchi ya watu sio ya raisi aliyeko madarakani au rais mstaafu,Sasa hii Vita si ilikuwa ya Bush? Kwa hiyo Biden aelezee nini hapo?
Kimsingi Biden amesema asingependa kumrithisha rais ajaye Vita.
US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!Mkuu, huwa nashangaa akili ya US na siwaelewi kabisa. Wametumia gharama kubwa (about USD 6 Trillion + several deaths of army pesonnel) kwenye vita nchini Afghanistan ambayo finally Taleban wameshinda. US wamepata faida gani?