Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

Rais wa Afghanistan kakimbia nchi!

US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!

Ndio mana mimi nikionaga wapinzani wanawashobokea hawa weupe napata hasira sana!

Ni kweli tawlaa zetu hasa waafrika zina shida, ila nikiona watu kama Lisu wameenda kwa hawa beberu kutafuta sapoti huwa nawadharau sana.
Mkuu, Afghanistan wana rasilimali gani hadi waweze kuwalipa USD 6 trillion x 100?
 
Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?

Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
Walipiga pressure hata lengo la vita ya Iraq,si unakumbuka hata Tony Blair aliwekwa kitimoto na bunge aeleza kwa nini alipeleka vijana Iraq wakafe?.
Ila baadae mambo yalipoa na hakuna mtu anauliza tena,so hata hili litapoa tu.
Kikubwa vita ya Afghanistan ilikuwa haina maslahi yyte kwa marekani na NATO hata wanajeshi walikuwa washachoka na kukata tamaa,so lazima wangesitisha vita tu.
 
Walipiga pressure hata lengo la vita ya Iraq,si unakumbuka hata Tony Blair aliwekwa kitimoto na bunge aeleza kwa nini alipeleka vijana Iraq wakafe?.
Ila baadae mambo yalipoa na hakuna mtu anauliza tena,so hata hili litapoa tu.
Kikubwa vita ya Afghanistan ilikuwa haina maslahi yyte kwa marekani na NATO hata wanajeshi walikuwa washachoka na kukata tamaa,so lazima wangesitisha vita tu.
Kwa sasa US ana uhakika na ushawishi wake ndio mana anaachia Urusi sasa. Ila matokeo yatakuwa mabaya zaidi kwa Marekani baadae
 
Raia wa USA ambao ndugu jamaa na marafiki zao wameuawa kwenye hiyo vita wamesha anza kuipiga pressure White house ili ieleze lengo la hiyo vita lilikua ni nini hasa?

Hii ngoma ndio kwanza inaanza,tutajua mengi.
unadhani wataweza watashindana na USA!!???
 
America siyo mjinga kuna makubaliano tu yaliyofanyika na Taleban hawawezi kuondoka wakamuacha ADUI yao kuwa madarakani
 
Kuna watu wanaona CIA wamekimbia, na huu ni ushindi kwa Taliban. Binafsi siwaamini CIA, huenda hii kitu imepangwa. Tayari kuna jambo lao wanataka litokee hapo. Fikiria wale wenyeji wa Afghanistan waliofanya kazi na CIA walikwea pipa na kupelekwa USA muda mfupi baada ya CIA kutimua. Na walisema wazi kabisa lengo ni kuwanusuru wasipate kichapo cha ulipizaji kisasi toka kwa Wataliban. Tuhesabu siku , tuone yajayo.[emoji1752][emoji1548]
Ni moja la kosa kubwa sana alilolifanya Biden katika utawala wake,kama angemsikiliza yule Generali wake wala yasingetokea haya yote
 
US hapo wamepata mara 100 ya hizo dola walizotumia!

Ndio mana mimi nikionaga wapinzani wanawashobokea hawa weupe napata hasira sana!

Ni kweli tawlaa zetu hasa waafrika zina shida, ila nikiona watu kama Lisu wameenda kwa hawa beberu kutafuta sapoti huwa nawadharau sana.
Hmm??

Wamepata nini sasa? Ushahidi wa walichokipata, ukiacha sadiki, ni upi?

Marekani wamechemka. Wamekaa huko miaka 20.

Maelfu ya askari wao wamekufa.

Wamesaidia kuunda jeshi na wametumia mahela mengi kweli na mwishowe jeshi hilo limeyeyuka!

Mwisho wa siku Taliban wamerudi madarakani.

Hakuna chochote ambacho Marekani imefaidika nacho hapo.

Huo ndo ukweli. Mengine ni nadharia njama na usadiki tu.

Marekani huwa haipatii kila kitu. Kuna mengine hukosea.
 
Nmemuonea huruma mama mmoja alikuwa waziri wa elimu ila anasema kutokana na hatu hiyo ya rais kukimbia nchi itamgharimu yeye mama kwa kuwa aliiunga mkono serikali.

Taliban siyo wabaya ila mibaya ni ile misimamo yao mfano wanawake hawatakiwa hata kwenda shule

Nchi ikiendeshwa kwa sheria ya uisilamu ni nzuri zaidi na ndivyo inavotakiwa, rushwa, ukandamizaji, zulma kwa wananchi hayatakuwepo, haki sawa kwa kila mutu na maisha yatakuwa mazuli sana, amani itatawala. (Kusoma dini ndio kipaumbele na ndio itatusaidia hapa duniani na kesho akhera) Kuhusu shule uislamu haukatazi mtu kusoma shule za secular, labda walete sheria zao binafc.
 
Nchi ikiendeshwa kwa sheria ya dini ni nzuri zaidi, rushwa, ukandamizaji kwa wananchi haitakuwepo, haki sawa kwa kila mutu na maisha yatakuwa mazuli sana, amani itakuwepo. (Kusoma dini ndio kipaumbele na ndio itakusaidia hapa duniani na kesho akhera) Kuhusu shule uislamu haukatazi mtu kusoma shule, labda walete sheria zao.
So shule nia hiyari yako [emoji23][emoji23]
ndiyo maana umeandika mazuli badala ya mazuri!
 
Hmm??

Wamepata nini sasa? Ushahidi wa walichokipata, ukiacha sadiki, ni upi?

Marekani wamechemka. Wamekaa huko miaka 20.

Maelfu ya askari wao wamekufa.

Wamesaidia kuunda jeshi na wametumia mahela mengi kweli na mwishowe jeshi hilo limeyeyuka!

Mwisho wa siku Taliban wamerudi madarakani.

Hakuna chochote ambacho Marekani imefaidika nacho hapo.

Huo ndo ukweli. Mengine ni nadharia njama na usadiki tu.

Marekani huwa haipatii kila kitu. Kuna mengine hukosea.


Uko vizuri sana
 
Back
Top Bottom