Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amteua Mohamed Dewji (Mo) kuwa mshauri wake kwenye masuala ya Uwekezaji

Meko alitaka kumuua huyu.
 
Ajabu ni kwamba sisi kwetu tunamuona MO kama mfadhili/mdhamini wa Simba na mfanyabiashara mkubwa...wenzetu wanamtumia kupiga hatua kimaendeleo kama nchi
 
🥱🥱kwa Bongo tunakumbuka tu watu wasiojulikana
 
Hapa Tanzania kikundi fulani cha watu wenye uchu na hila kilimteka na mwishowe tukaletewa ile ccctv ya Sirro na gari lake la Msumbiji
 
Ona lijiwe lilivyoifanya nchi, marais wengine wanawatumia matajiri wetu kuinua uchumi wao, sisi tunafanya nini..mama naamini atatumia mbinu hio lengo na sisi tufaidike na hawa matajiri kwa kuzingatia sheria ambazo si kandamizi kwao.
 
Huku kwetu mwendazake aliishia kumteka ili kupora fedha.
Mwendazake alikua disaster kwa nchi yetu, potential Kama hizi hakuziona.

Kwenda zako mwendazake
Moderator kama mnaruhusu ujinga huu ijulikane basi
 
Mbona lile taahira lenu kule twiter mnaloliamini sana kina muona tapeli na huwa mnashangilia
Nani huyo?
Nilivhomaanisha ni kuwa mo alitekwa na kina Bashite wakachukua mpunga mrefu wakamrudisha.
Kwa hio hutaki?
 
Ukiwa Rais Safi sana, watu wako wa kuoiga nao story unawateuwa basi huku tunadhani ni cheo kapata
 
Wawekezaji wote walikuwa wanaangalia Kama ni wahujumu uchumi. Kwa maana nyingine wenye akili ya kibiashara walikuwa wanabezwa badala yake wanakumbatiwa bodaboda, mama ntilie au mambumbumbu ndo jamaa anayakumbatia.

Hebu angalia nchi zenye akili na mwelekeo mzuri wa uchumi Kama south africa wamemuomba no dewji awe mshauri wa masuala ya uchumi na biashara wa rais wao lakini sisi tuliishi kumteka na kumharas tu.

Sijui jpm angemaliza miaka kumi nchi ingekuwa na Hali gani. Labda wote tungekuwa machinga nchi hii au bodaboda Mana ndo ilikuwa dreams zake ili abaki tajiri peke yake.

We had the fake president.
 
Na mbaya zaidi mwendazake alikuwa ashawatia hii akili mbovu baadhi ya watanzania
 
Umewahi kuishi South Africa?hali ya wenye asili ya nchi ile ikoje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…