Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Usjali mkuu,now kumepambazuka ingawa Kuna watu wanamhujumu MAMA YETU,Ila hatutakubali!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alazwe Mahali Panapostahili (AMP)!Huku kwetu mwendazake aliishia kumteka ili kupora fedha.
Mwendazake alikua disaster kwa nchi yetu, potential Kama hizi hakuziona.
Kwenda zako mwendazake
Spiriani musiba,Hiv rais wa Tanzania washauri wake ni kina nani!??
Unataka kudanganya hapo SA ukiwa na id tuu yaani huduma nyingi unapata kwa zero deposit mpaka Elimu ukitaka kufungua kampuni mfano ya usafirishaji au mitambo id yako ndio dhamana Nchi gani Africa kuna kitu kama hicho ni baadhi ya watu wamelala hasa waliotoka maporini na kukosa Elimu...Umewahi kuishi South Africa?hali ya wenye asili ya nchi ile ikoje??
kwahyo Mo atakua akilipwa na huyo Rais?Hongera zake Dewji.
Rais Ramaphosa inakuwa kama ana nafasi maalum ya mshauri wa uchumi kutoka Tanzania.
Hii nafasi alikuwa nayo gavana wa zamani wa BOT Dr. Benno Ndulu mpaka anafariki hivi karibuni.
Dr. Benno Ndulu amefariki February 22 2021, Rais Ramaphosa amemteua Dewji kushika nafasi hiyo.
Utuache..Hii mada itaharibika wakija watu wa yanga🤣🤣
Wataiona imekaa kimichezo na kuipendelea simba.
hii ya wachawi ni kiboko 😂😂Ujumbe Kwa Kigwangalla,
Dangote & Mo Dewj hawakua ma billionea kwasababu tu ya kuandika "AMEN" na kugonga "LIKE" katika mitandao ya kijamii mchana kutwa. Walifanya kazi kwa juhudi!
Andika barua ya kuomba kazi kwa Mo Dewj ukiambatanisha na CV zako zote, ukatumwe hata kufuata chumvi dukani.
NOTE THAT: Tofauti ya Rais na Mchawi;
Rais: Anachagua matajiri kuwa washauri wake kwenye maswala ya biashara!
Mchawi: Matajiri wataishi kama mashetani!
😂 😂 😂Huku kwetu alitekwa kwanza,kisha akadaiwa mpunga halafu akatupwa miltaroni,wenzetu wanamthamini mchango wake
Hongera zakeRais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amemteua mfanyabiashara kijana nchini, Mohamed Dewji (Mo) kuwa kwenye jopo lake la watu watano kumshauri kuhusu masuala ya uchumi na uwekezaji.
![]()
Dewji, ambaye hivi karibuni Jarida maarufu la Forbes limemtaja kuwa bilionea kijana wa 13 kati ya 18 barani Afrika, ameingia kwenye jopo hilo ambalo lengo ni kupanga mikakati ya namna bora ya kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya Afrika Kusini.
Taarifa kwa vyombo vya habari jana, imeeleza kuwa Mo Dewji, anayemiliki kampuni ya Mohamed Enterprises Limited (MeTL), atakuwa kwenye chombo hicho kwa kipindi cha miaka mitano.
Imesema kuwa uamuzi wa Ramaphosa kumteua Mo Dewji kuwa mshauri wake umetokana na kuvutiwa na jitihada za mfanyabiashara huyo maarufu nchini, kubobea kwenye masuala ya uchumi, huku akiifanya MeTL kuwa miongoni mwa kampuni bora Afrika.
Pia, uteuzi huo umeelezwa kuwa unatokana na Ramaphosa kuthamini na kutambua mchango wa Mo katika uwekezaji ambao umekuwa kichocheo kwa uchumi wa mataifa mbalimbali Afrika.
“Ninayo furaha kubwa kukujulisha kwamba, nimekuteua kwenye Baraza la Ushauri la Rais kuhusu uwekezaji ambalo lina jukumu kubwa kuhakikisha Afrika Kusini inapiga hatua kiuchumi na kuvutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi.
😂😀Utopolo wataenda kushtaki FIFA kuwa Simba inapendelewa, kwanini asichukuliwe Ghalib.
Mwendazake alikuwa mchawiHuku kwetu mwendazake aliishia kumteka ili kupora fedha.
Mwendazake alikua disaster kwa nchi yetu, potential Kama hizi hakuziona.
Kwenda zako mwendazake