Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi alazwa kwa maradhi ya kifua

Nadhani taarifa waliyotoa inatosha kabisa. Tena wamefanya uungwana sana maana Magufuli alikuwa rais lakini hawakutoa taarifa yoyote. Privacy wanayotaka ni katika kumuuguza, watu wasiwachokonoe kwa kuwazongazonga. Augue pole.
Sisi wananchi tunataka tukamuone hapo wodini akiwa anapewa matibabu, ubaya uko wapi? Hadi awekewe faragha?
 
Mpwa wake nilisoma naye shule moja.....

Mzee Ruksa alikuja shuleni enzi hizo akiwa rais.

Usemayo ni kweli
 
Mola ampe nafuu
 
sengerema kweli wewe punga wa head
 
Huyo naona ana matatizo ya akili yanayomsumbua ambayo yanahitaji matibabu ya haraka sana.maana mtu mwenye akili Timamu hawezi kuandika ujinga aliouandika.
hana tatizo lolote la akili bali anatimiza wajibu wa kiraia wa kuchangia maoni kwa uhuru

mtu amekuwa Rais wa nchi ya watu milioni 60 miaka 10, unamleta kwenye jukwaa huru la kijamii halafu unategemea kupata mawazo milioni 60 yote ya kumsifia ? Kwa vile aliwafurahisha wote milioni 60 kwa kila jambo kwa miaka 10 ??? hapo ni wewe ndio una matatizo ya akili!

....acheni public figures wajadiliwe kwa namna chanya na hasi, kwa sababu walijiingiza wenyewe kwenye public life

.... hakuna kumjadili, kwa hiyo akivuta pia hakuna kujadili legacy yake ???????
 
On the throne of time death is unavoidable.

Complications za uzeeni ni indicators kwamba muda wowote waweza kuvaa mbawa.
 
Wasanii wajiandae kuingia studio
Ya Mungu mengi, tunaweza kushangaa mzee amerudi mtaani, alafu wewe ndo tunapokea habari zako hapa JF kuwa mwana JF mwenzetu I am Groot hatunae tena duniani.

Kuna muda wagonjwa wanapona wazima wanaondoka, au wazee wanaishi watoto wanakufa.

Mungu amponye na kumpa nguvu mzee wetu 🀲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…