Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Mwinyi aliwahi kuitisha Baraza la Mawaziri na kulivunja mbele yao

Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Mwinyi aliwahi kuitisha Baraza la Mawaziri na kulivunja mbele yao


Hata lile Daraja la Manzese(Msufini)kipindi linajengwa na upanuzi wa ile barabara ya Morogoro yalikuwa ni maendeleo makubwa na yamfano kwa kipindi hicho
Tatizo hii misukule ya mwendazake akili hamna. Na ni mzigo kwa Taifa kuwa na misukule ya aina hii. Unaweza ukaomba vibaya kuwa nayo imfuate bosi wao
 
Kipindi hicho tulikuwa tunaongopeana tu huyu anaitwa Wan yu miluzi,Bruce mawani,Bruce kijeba, aisee kwa kweli tukikumbuka shida tulizokuwa tunapata kipindi kile halafu anakuja mtoto wa miaka ya90 anamtukana(mdhalau) Mzee Mwinyi unatamani kumchapa kibao
Hii misukule ya Mwendazake inaamini kwamba nchi hii haijawahi kuwa na Rais bora kuliko Mwendazake, kumbe kinyume chake ni kwamba hatujawahi kuwa na Rais wa ajabu mwenye roho mbaya aliyekosa utu na mbinafsi anayefurahia kuumiza wengine kama mwendazake.
 
Sana.

Wewe ulikuwa hujafikiriwa kuzaliwa wakati huo!
Saiv naona umebadilika kabisa, umeacha ule ujinga ujinga wa Lumumba! Mshauri na wale kina bia yake, ussr, jingalao na stroke waache upuuzi ule hausaidii kitu...
 
Alikuwa Waryoba aliyeuliza akiwa waziri mkuu wakati huo ni katika kuweka rekodi sawa tu.
Si kweli Warioba alishukuru . Bahati mbaya kwake kuna mtu moja (Manyama Mkondya) alimkatia rufaa kule bunda na kushinda kesi. Malecela akatolewa ubalozini UK na kuja kuchukuwa nafasi yake .
 
Lakini yeye ndiye alimpachika pale inaelekea alikuwa anamuamini kumbuka aliwahi kuwa raisi wa zanzibar kwa mwaka mmoja lakini bado akamuamini kwenye nafasi ya uraisi wa Tanzania.
Alimpachika pale kwa lengo la kumshikia akili, amwambie Mwinyi fanya hivi au fanya vile nk. kumbuka moyo wa mtu msitu kwahiyo Mwinyi ukimuona kwa macho anaonekana ni mpole, lkn anachokiwaza akilini kwake hauwezi kukijua. Baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa CCM na nchi ikiwa chini ya mikono yake hapo ndo alipoanza kuonesha kuwa anaweza kufanya chochote mwenyew bila kushikiwa akili na mtu yoyote. Akaanza kwa kuufufua uchumi uliokufa enzi za mtangulizi wake, akaruhusu vitu viingie na vingine vitoke ili nchi iweze kupata hela za kigeni. Pesa ikawa nyingi mtaan hadi wauza kahawa, wachoma mahindi, wauza machungwa, mamantilie mitaani wakaanza kununua viwanja na kujenga sehem mbali mbali, mji ukapanuka, biashara zikawa nyingi, zahanati, mahospital, na maduka ya kuuza madawa yakawa mengi. I mean neema ikawa kubwa hata mtangulizi akapata tumbo joto la kupoteza heshima na legacy yake. Ndo hapo sasa akaanza kutupa madongo ya lawama kwa Mwinyi ili kujaribu kumfunga paka kengele, lkn Mwinyi alipuuza yale aliyoona hayana manufaa kwa taifa na kufanya yale aliyoona binafsi yana manufaa kwa taifa. Mema aliyofanya Mwinyi ktk nchi hii mengi ndugu nikisema niyataje siwezi kuyamaliza hapa. Kifupi huu mfumo unaoongoza leo pamoja na maendeleo muasisi wake ni Mwinyi
 
Alimpachika pale kwa lengo la kumshikia akili, amwambie Mwinyi fanya hivi au fanya vile nk. kumbuka Mwinyi akimuona kwa macho ni mpole lkn anachokiwaza akilini kwake hauwezi kukijua. Baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa CCM na nchi ikiwa chini ya mikono yake hapo ndo alipoanza kuonesha kuwa anaweza kufanya chochote mwenyew bila kushikiwa akili na mtu yoyote. Akaanza kwa kuufufua uchumi uliokufa enzi za mtangulizi wake, akaruhusu vitu viingie na vingine vitoke ili nchi iweze kupata hela za kigeni. Pesa ikawa nyingi mtaan hadi wauza kahawa, wachoma mahindi, wauza machungwa, mamantilie mitaani wakaanza kununua viwanja na kujenga sehem mbali mbali, mji ukapanuka, biashara zikawa nyingi, zahanati, mahospital, na maduka ya kuuza madawa yakawa mengi. I mean neema ikawa kubwa hata mtangulizi akapata tumbo joto la kupoteza heshima na legacy yake. Ndo hapo sasa akaanza kutupa madongo ya lawama kwa Mwinyi ili kujaribu kumfunga paka kengele, lkn Mwinyi alipuuza yale aliyoona hayana manufaa kwa taifa na kufanya yale aliyoona binafsi yana manufaa kwa taifa. Mema aliyofanya Mwinyi ktk nchi hii mengi ndugu nikisema niyataje siwezi kuyamaliza hapa. Kifupi huu mfumo unaoongoza leo pamoja na maendeleo muasisi wake ni Mwinyi
Kumbuka bado nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama alikuwa ana uwezo wa kumfanya kama Jumbe
 
Kumbuka bado nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama alikuwa ana uwezo wa kumfanya kama Jumbe
Mwinyi alianza kuleta mapinduzi zaidi baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa CCM. Soma vizur post yang ya 107 utaenielewa. Na ndipo alipouwa azimio la Arusha maana aliona halina tija kwa maisha ya wananchi masikini. Wengi waliishi maisha ya ufukara chini ya azimio hilo bila faida yoyote
 
Wazanzibar bila kuchanganyikana na Wabara ni watu waadilifu sana.Huwezi sikia mtu aliyetokea Zanzibar anahusika kwenye ufisadi wowote!
 
Si kweli Warioba alishukuru . Bahati mbaya kwake kuna mtu moja (Manyama Mkondya) alimkatia rufaa kule bunda na kushinda kesi. Malecela akatolewa ubalozini UK na kuja kuchukuwa nafasi yake .
Okay, napata picha sasa ya kwanini mawaziri wengi wakuu wa sasa ni lazima wapambane wapite bila kupingwa ili isiwakute ya Warioba
 
Alimpachika pale kwa lengo la kumshikia akili, amwambie Mwinyi fanya hivi au fanya vile nk. kumbuka moyo wa mtu msitu kwahiyo Mwinyi ukimuona kwa macho anaonekana ni mpole, lkn anachokiwaza akilini kwake hauwezi kukijua. Baada ya kukabidhiwa uenyekiti wa CCM na nchi ikiwa chini ya mikono yake hapo ndo alipoanza kuonesha kuwa anaweza kufanya chochote mwenyew bila kushikiwa akili na mtu yoyote. Akaanza kwa kuufufua uchumi uliokufa enzi za mtangulizi wake, akaruhusu vitu viingie na vingine vitoke ili nchi iweze kupata hela za kigeni. Pesa ikawa nyingi mtaan hadi wauza kahawa, wachoma mahindi, wauza machungwa, mamantilie mitaani wakaanza kununua viwanja na kujenga sehem mbali mbali, mji ukapanuka, biashara zikawa nyingi, zahanati, mahospital, na maduka ya kuuza madawa yakawa mengi. I mean neema ikawa kubwa hata mtangulizi akapata tumbo joto la kupoteza heshima na legacy yake. Ndo hapo sasa akaanza kutupa madongo ya lawama kwa Mwinyi ili kujaribu kumfunga paka kengele, lkn Mwinyi alipuuza yale aliyoona hayana manufaa kwa taifa na kufanya yale aliyoona binafsi yana manufaa kwa taifa. Mema aliyofanya Mwinyi ktk nchi hii mengi ndugu nikisema niyataje siwezi kuyamaliza hapa. Kifupi huu mfumo unaoongoza leo pamoja na maendeleo muasisi wake ni Mwinyi
Vijana wa juzi hawajui hili mkuu. Sisi tuliokuepo tunayakumbuka haya. Mzee mtulivu, mwenye subra na hekma.

Tena huyu baba alikuwa bingwa wa demokrasia, hakuogopa kukosolewa. Baba huyu aliruhusu vyama vingi 1992, pamoja na kwamba wananchi walipiga kura ya hapana. Waziri wake wa mambo ya ndani ( Augustine Lyatonga Mrema) aliingia upinzani na akawa anamkosoa haswa, lakini Mzee Mwinyi kept cool and calm.

Halafu hata Kikwete nakumbuka aliwahi kuwa waziri wake wa fedha. Nakumbuka anaingia na ile briefcase yenye budget bungeni anacheeeka, baadae alkuja kuwa Raisi mzuri sana. Alifundwa na Mwinyi. Kikwete alkua baba wa democracy, hakuogopa kukosolewa na alipenda watu wake waishi vizuri.

Mama Samia pia anaenda vizuri. Mama ni hustler, fighter, ana exposure. Mama Samia anaufahamu maisha halisi ya mtanzania, wa chini mpaka wa juu maana kayaishi. Anafahamu tumetoka wapi.
Hakika huu SASA ndo mpango wa Mungu, mama Samia atafanya wonders.

Namwombea ujasiri wa kulivunja bunge. Hii itamsaidia kupata watu sahihi wa kufanya nae KAZI KWA utii na uaminifu. Akifanikiwa kumaliza hii miradi ya hayati JPM (KWA utaratibu lakini), huku akiratibu MIPANGO ya maisha Bora KWA watu wake, atajijengea Legacy kubwa Sana.
Akimaliza awamu yake, Mungu akitupa Mwinyi Jr. Tutakua tumeula.
Nina imani Sana na Mama Samia na Mwinyi II
 
Kipindi hicho tulikuwa tunaongopeana tu huyu anaitwa Wan yu miluzi,Bruce mawani,Bruce kijeba, aisee kwa kweli tukikumbuka shida tulizokuwa tunapata kipindi kile halafu anakuja mtoto wa miaka ya90 anamtukana(mdhalau) Mzee Mwinyi unatamani kumchapa kibao
Wako wapumbavu aina mbili...
1. Ni wale waliozitukuza dhiki zile kuwa ndio uzalendo na kupenda chama na nchi!! Kisha wakaendelea kupotosha kana kwamba hali ilikuwa sawa...
2. Ni wapumbavu waliorithi upumbavu ambao hawakuutafiti kisha kuutukuza wakidhani ndio watasifiwa kujua mambo...
Ukiwatazama unasema inhiii...
 
Back
Top Bottom