Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mfano mdogo tu ambao miradi yake ilikua kabatini kwa miaka zaidi ya 50.Orodhesha hapa hayo mambo yaliyofanywa na huyo mungu mfu wenu ambayo kwa pamoja kawazidi Mwinyi,Mkapa na Kikwete.
Stiglers.
SGR..
Kuhamia Dodoma.
Hii hakuna aliyethubutu.
Ila yeye kafanya na usifikiri ni jambo dogo.
Maana siasa zake nazo hazikua ndogo ilihitajika guts haswa.