Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji316][emoji316][emoji316]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushindwe ulegeeIendelee upande wa mashariki ya burundi.
Kikatiba bado ni rais mpaka mwezi wa 8 rais mpya ndipo ataingia madarakaniMbona Burundi walishafanya uchaguzi na huyo Nkurunzinza sio Raisi kwa sasa....!!
Kwa kiburi cha Nkurunzinza mimi naunga mkono kuugua kwake
Chadema mmepata ajenda!View attachment 1464901
Na hii ni taarifa nyingine huko twitter:
7 Cabinet Ministers in Burundi and a presidential advisor have tested positive for COVID-19. All are likely to be evacuated to Kenya for treatment.
Hivi huyu siku akikutwa nao tutaambiwa kweli? 🙄 🙄🙄[emoji316][emoji316][emoji316] View attachment 1464922
Ikitua kwako utajisikiaje? Maana na wewe uko mashariki mwa BurundiIendelee upande wa mashariki ya burundi.
@Salary Slip acha kutuletea balaa baba! Hujui ikitokea hilo unaweza kusikia Mbowe na Mnyika wamekamatwa kwa kosa la "Kuwaloga" na halina dhamana maana linafanana na money laundering?View attachment 1464901
Na hii ni taarifa nyingine huko twitter:
7 Cabinet Ministers in Burundi and a presidential advisor have tested positive for COVID-19. All are likely to be evacuated to Kenya for treatment.
Kwa hiyo wewe ndio unatoa hukumu mpaka aina ya kifo unaijua, utamtumia majini nini?DUA YAKO MBAYA IKUTAFUNE MWENYEWE TENA SIYO KWA KORONA BALI AJALI YA GARI KWAKUWA UMEMNENEA MBAYA MTEULE WA MUNGU.
Kwani ulishasikia raisi mpya kaapishwa!!?? Usiwe nyuma ya wakati wewe. Huyo mpya bado ni Rais mteule.....Mbona Burundi walishafanya uchaguzi na huyo Nkurunzinza sio Raisi kwa sasa....!!
Hayo ni matokeo ya kupoteza miaka mitano pasipo ku-address shida na matatizo ya wananchi na sasa wamepaniki maana hawana cha kuwaambia wapiga kura na bahati mbaya SGR,ndege,madaraja na vinginevyo vilivyopewa kipaumbele awamu hii havipigi kura.@Salary Slip acha kutuletea balaa baba! Hujui ikitokea hilo unaweza kusikia Mbowe na Mnyika wamekamatwa kwa kosa la "Kuwaloga" na halina dhamana maana linafanana na money laundering?
Hivi unajuwa walivyo changanyikiwa sasa hivi? Imefika mahali eti Dr Bashiru anamuamkia shikamoo Mbatia?
..Hivi anaweza kufa ee?
DaahHivi anaweza kufa ee?
ndo kashakufa hivyooHivi anaweza kufa ee?